Ni sahihi au si sahihi?

Ni sahihi au si sahihi?

Mh! hayaa
Hata kama hukupendezwa na tabia yake ungemueleza tu kwa utaratibu!isitoshe mi sioni tatizo lolote!kwani hamuaminiani?labda kama unahisi anacheat,umeshaona dalili zozote nyingine?
 
Tatizo mwanzo alikua karibu sana yan full ananitafuta na nikipiga akiwa bize fasta anakata na kunipigia mimi ila sikuizi ndoivyo unapiga ata hajali na sio mala moja ingawa sijawai kumuuliza anaongea na nani pia ata kuduu ni kitambo kinapita mpaka niitaji mm
 
Hata kama hukupendezwa na tabia yake ungemueleza tu kwa utaratibu!isitoshe mi sioni tatizo lolote!kwani hamuaminiani?labda kama unahisi anacheat,umeshaona dalili zozote nyingine?

Kweli siibiwi apo?
 
Nishawekaga uzi humu kuwa hivyo viulalamishi vya kijinga jinga ni kukosa kujiamini...
 
Jaribu kujieshimu ndugu kabla sijafika mbali

We fika tu mbali lakini ujue mwanaume ni kujiamini. Sasa mademu walalamike,... wanaume nao tulalamike. ... hizo ni akili kweli?...
 
We fika tu mbali lakini ujue mwanaume ni kujiamini. Sasa mademu walalamike,... wanaume nao tulalamike. ... hizo ni akili kweli?...

Mimi sikuja apa kulalamika ila nimeuliza kua nilichofanya ni sahihi au si sahii, tuwe tunasoma mada mkuu kabla yakuchangia
 
Mimi sikuja apa kulalamika ila nimeuliza kua nilichofanya ni sahihi au si sahii, tuwe tunasoma mada mkuu kabla yakuchangia

Mi siongelei kulalamika hapa... bali dem wako kuongea na simu, baadae unaanza kumgombeza huko ndiko kulalamika ninakoongelea na ndio kukosa kujiamini. Baada ya kumaliza kuongea na simu wewe ungepiga simu yako na kuongea mambo mengine bila kujali sijui aliongea na mtu mwingine wala nini... ndio uanaume huo
 
Mi siongelei kulalamika hapa... bali dem wako kuongea na simu, baadae unaanza kumgombeza huko ndiko kulalamika ninakoongelea na ndio kukosa kujiamini. Baada ya kumaliza kuongea na simu wewe ungepiga simu yako na kuongea mambo mengine bila kujali sijui aliongea na mtu mwingine wala nini... ndio uanaume huo

Mimi sijakasirika kisa anaongea na mtu bali ni ile hali ya kupotezea simu yangu wakati siku za nyuma uwa anasitisha stori na ananitafuta mimi kwa dakika chache anasikiliza ni nini namwambia kisha anaendelea na stori zake, sa kwann saivi ananipuuzia apo ndo amenikera
 
Mimi sijakasirika kisa anaongea na mtu bali ni ile hali ya kupotezea simu yangu wakati siku za nyuma uwa anasitisha stori na ananitafuta mimi kwa dakika chache anasikiliza ni nini namwambia kisha anaendelea na stori zake, sa kwann saivi ananipuuzia apo ndo amenikera

Kwa nini usichukulie tu ize kuwa anaongea na simu akimaliza atanitafuta. Ok... basi imekukera sawa... kwanini usimwambie tu kwa sentensi moja kuwa ... aisee Sijapenda ulivyonipotezea, siku nyingine usifanye hivyo... kisha ukaendelea na mambo mengine. Ya nini kumgombeza?
 
Kwa nini usichukulie tu ize kuwa anaongea na simu akimaliza atanitafuta. Ok... basi imekukera sawa... kwanini usimwambie tu kwa sentensi moja kuwa ... aisee Sijapenda ulivyonipotezea, siku nyingine usifanye hivyo... kisha ukaendelea na mambo mengine. Ya nini kumgombeza?

Mh! Aina shida nimekupata vyema
 
mkizoeana matatizo km haya hayatakuwepo..
 
ulimgombeza kisa simu iko busy au kwa kujibu msg after one hour!!
na huyo gf aliomba msamaha wa kosa gan.......
 
Back
Top Bottom