utafiti
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 12,783
- 7,671
Ulimgombeza kisa nini?? Cjaelewa
Nenda kalale tena usiku saivi
Ulimgombeza kisa nini?? Cjaelewa
ha ha ha ha ha ha aya bwana komaaa
ungemuuliza mpenzio!it could be anyone!sasa unataka nikupe moyo ni sawa ulivyomgombeza au ndo una guilty consious ndo unataka utolewe hofu?Saa nne za usiku lisaa lizima anaongea na nani?
sasa hapa kosa liko wapi hasa?
hivi mwanamke ndio hana haki ya kuwa bize? eti kisa mpenzi wako?
WTF!!! who are you btw?? nyie ndo mnawachezea then mnakimbia tu!!!!
busy awe mwanaume, akiwa mwanamke, eti MALAYA!!!!!! ANA WANAUME WENGI!!!
BADILIKENI, MABADILIKO NI NINYI!!!!
Kwa kuzarau simu yangu na kungoja adi mda wake yeye anaojiskia
Kivipi nikomae
halafu watu wengine bwana!yaani mtu mpaka alie ndo uone umekosea!hujui kutofautisha kati ya baya na zuri?Kitendo cha yeye kulia kimenifanya nihisi nimekosea
Ndio umekosea!hukupaswa kumgombeza!Uamuzi wangu sikuona kama ni mmbaya ila swali ni je kilio chake kinamaanisha nimemkosea au na wewe waona kweli nimekosea au