Ni sababu ya mimba kutoka

Ni sababu ya mimba kutoka

NostradamusEstrademe

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2017
Posts
3,840
Reaction score
5,096
Nimeona niulize kupita ukurasa huu ni kitu gani hasa kinachosababisha mimba kutoka
Mods najua hii mada hii sio sehemu yake naomba muiache kwanza watu waelimike mtakuja kuhamishia kule baadae
 
Sababu ni nyingi, weka wazi mimba huwa inatoka ikiwa imefika wiki ya ngapi au trimester ipi??
 
Kama umegongesha sana besera( kutoa mimba) mji wa mimba unakuwa weak, hivyo ujauzito kuwa rahisi kutoka....By Dk Macheni.
 
Back
Top Bottom