- Thread starter
- #21
Huyo Mungu mmoja nitamjuaje ili nisiendelee kupotoshwa?. Zingatia pia kunipa reference huru ili niweze kuthibitisha ili na wewe usije nipotosha.Miungu ni mingi, ila Mungu aliyeumba mbingu na nchi ni mmoja. Kumbuka hii miungu ninayoisema ina wafuasi/waamini wake wanayoitambua kama Mungu. Kwa hiyo kila wafuasi wanamnasibisha kuwa mungu wao ndiye muumba wa mbingu na nchi, na vitu vyote vilivyomo.
Endelea kuutafuta ukweli, utaupata na utakuwa huru kweli kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app