Swali tamu sana hili hasa kwa kulumangia na kachumbali
utaliaaa kwa kupendwa zaidii bora uache Tu,au wapenda hivyo hivyo
Haha mie nmezaliwa Kagame city, wabongo mna shida sana hasa videm vya uswazi hamjiamini hahahah
Hahaha ntajuaje mie mnato weka picha nione,,mbona alivyoonja kadat sema namuonea huruma coz kanambia kaoa last year
Haaaaaa we na umukagame ni wajinga mnanichekeshaje
Hahaha ntajuaje mie mnato weka picha nione,,mbona alivyoonja kadat sema namuonea huruma coz kanambia kaoa last year
hhhhhhaaaaa mwenzio kazaliwa kagame city anajivuniaa wakati lami za bongo zikishahamishiwa huko hakuna hata pa kupanda mti
Haaaaaa mbavu zangu mtoto wa Kagame City.... Haaaaaa unacheza na mtoto was Kagame
kuacha kuchati nae siwezi kuacha coz ni mtu mzuri sana kwangu yani siwezi nlichohitaji ni ushauri je nirudishe pesa zake ama nikaushe of coz nackia kama hukumu flan i wish nimrudishie japo sijui atareact vipi!
Khe khe kheeeeeeee eti nimejipinda lol! sikaja kuomba ushauri? Mie nimempa ushauri wangu wa thumni lol! Mzima weye? Weekend wapi?