Heaven on Earth
Platinum Member
- Mar 21, 2013
- 37,233
- 26,753
amejitoa humu nilimshauri tutoke kaideactivate ac yake kabisa
Tangu lini mtu akaweza Ku deactivate account ya Jf.....?
amejitoa humu nilimshauri tutoke kaideactivate ac yake kabisa
kuacha kuchati nae siwezi kuacha coz ni mtu mzuri sana kwangu yani siwezi nlichohitaji ni ushauri je nirudishe pesa zake ama nikaushe of coz nackia kama hukumu flan i wish nimrudishie japo sijui atareact vipi!
amejitoa humu nilimshauri tutoke kaideactivate ac yake kabisa
daah maisha haya
unakuta huyo baba mwanawe karudishwa ada tena lakini 2 imebaki amalizie mpaka leo bado kakaa home week mbili
ila kwako ikatumwa baada ya muda gani vile?
Tangu lini mtu akaweza Ku deactivate account ya Jf.....?
Atakua hana majukumu, likely ndoa ni changa wenye mambo ya stress za maisha haya ya kibongo seldom kuwaona humu plus kuchat sana mpk wakapendana
naomba ban
duuuhh
Ukute jamaa home anaacha hela ya maharage na dona. Hakika mkewe atakoma hadi mwezi uishe!!
Haupewi wala nini... Iksipiriensi yangu
hicho kitu hakiwezekani nilivyoona mtoa mada kasema kinawezekana ndo NIKAOMBA BAN