umukagame
Mchizi atajisikia vibaya sana akikusoma hivi maana si umesema mmekutana JF! Kaa nayo siku kadhaa then mrudishie, utakuwa umejenga uaminifu kwake na siku nyingine ukiwa na shida ya kweli anaweza kuwa msaada kwako
Haiwezekani Huna shida ya hela. I don't understand. Nahisi it's a cooked story.
Ndo nshadata sasa
Hutakiwi kumrudishia wala hutakiwi kukaa nayo, ntumie mimi
Haaaa sikukusoma....
Anawachora wanaojipinda kutoa ushauri
Sio msukuma wangu huyoo maana mi bado ndoa changa we umukagame wewe kaa mbali ntakunyoa nywele zote na kisu alaaa
Heaven on Earth umemuona umukagame teh teh teh cc Evelyn Salt
Mama ahsante saana kwa ulivyonifanyia ...ukwel ulivyosema niji active mwenzio nikafungua id nyingine..plz nirudishie changu faster kabla mashetan ya nyumban hayajapanda...plz plz