Ni psychological problem au nature au ni kawaida? Msaada jamani

Duuu hapa ndo nilipokwama na inanicost pakubwa
 
ajaribu hii mbinu itamsaidia.!
 
The first step ku deal na inferiority complex (Tatizo ambalo naamini unalo ama ulikuwa nalo)
Hatua ya kwanza ni kujikubali yaani usijilinganishe na watu try to appreciate what yourself. Pili una tatizo la Anti Social njia ya ku deal na hili jaribu sana kujichanganya na watu tofauti tofauti itakusaidia kwa kuanza anza na hayo.
 
naona ni spiritual problem
utakua una uwezo mkubwa wa kujenga hoja sasa huo uwezo umekamatwa rohoni as a result umekua muoga
jaribu kutafuta watumishi walio wazito kiroho wakusaidie
Tufafanulie kiundani zaidi ni kivipi, imekakaaje hii... ukiachana na haiba pamoja na mazingira ya mhusika in general hii naona mpya.

Tudadambulie plz katuwakilisha kijana mwenzetu huyu.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…