structuralist
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,230
- 906
Tembea tu kwa miguu mkuu hutambugudhi mtu na wala hutamdhulumu mtu,hakika hata kwa Muumba hutakuwa na dhambi. Zaidi ya hilo ni udhalimu tu
we sio mtu mwema ..jamaa hana nauli ya daladala...corolla anatoa wapi?Nunua gari, hata corola.,hutalipa nauli tena.
Kuna jamaa aliumbuka eti nimelipa tayari wskati konda ndio ananza kukusanya.Njia bora nikuhifadhi risiti za daladala,halafu unakaa unajifanya unachati huku una risiti moja mkononi, konda akiona risiti anafikiri ulishalipa mda, hii ni njia rahisi, au unaweza ukawa umepanda na mtu anayeshuka mapema akakuachia risiti yake halafu utaionesha pale itakapohitajika.....
Kazi ni kwako
Sasa Siyo Siri Tena Kuwa Maisha Yamekuwa Magumu Ambapo Kama Usipokuwa Mbunifu Unaweza Kujikuta Hela / Pesa Yako Yote Ya Mshahara Unagawana Na Makondakta Na Kuishi Maisha Magumu Sana.
Hivyo Binafsi Nimetafakari Sana Na Nimeona Kuwa Inabidi Nijiongeze Ili Maisha Yaende Sawa Nimeamua Sasa Rasmi Kuwa Mbunifu Kwa Kukwepa Kulipa Nauli. Tafadhali Kama Kuna Member Yoyote Yule Mwenye Ujuzi Mbadala Wa Kunifanya Niweze Kuwakwepa Makondakta Katika Kuwalipa Nauli Zao au Kuchengana Nao Mule Mule Ndani Ya Basi Anisaidie Na Nitamshukuru Mno.
Kila Siku Najitahidi Kuwakwepa Lakini Wananishtukia Tu.[/QU OTE]
Ndugu yangu Gentamycine mbona sikuelewi? Humu jamvini mnalalamika sana kuhusu majibu ambayo bado hayajatumbuliwa. Mnalalamikia uzembe, rushwa, matumizi mabaya ya fedha za umma vile vile mnazungumzia uadilifu na uaminifu kama taifa. Hizi ndiyo zimekuwa ngonjera zetu. Sasa wewe huoni kwa kufanya hivyo unajiingiza kwenye kundi la majipu? au malalamiko yetu yanatokana na kuwaonea wivu wale ambao wako jikoni na kutamani nasi tungepata nafasi hizo ili tule? Unachokifikiria hapa ni yale tunayoyapiga vita. Ushauri wa bure. kama kweli maisha ni magumu basi tuache vijumba hasara, tupunguze anasa na kula misosi ya mchana kwa bei za hatari wakati nyumbani tunaacha buku 2 ili hiki kidogo tunachokipata tuweze kutumia vizuri pamoja na familia zetu.
Tz 11?Tumia usafiri binafsi kiongozi.
Tz 11?Tumia usafiri binafsi kiongozi.
Labda sio kwa makondakta hawa wa Mbagala au Gongo la mbotoNjia bora nikuhifadhi risiti za daladala,halafu unakaa unajifanya unachati huku una risiti moja mkononi, konda akiona risiti anafikiri ulishalipa mda, hii ni njia rahisi, au unaweza ukawa umepanda na mtu anayeshuka mapema akakuachia risiti yake halafu utaionesha pale itakapohitajika.....
Kazi ni kwako