1. Neno Ughaibuni, linatokana na neno la Kiarabu (al-)Ghaib (غيب): Likimaanisha visivyo onekana au visivyo julikani/vilivyo vichikana
Mfano, mtu anataka kuelezea umbo la Mwenyezi Mungu au kuelezea jambo ambalo lipo nje ya uwezo wake kisha akaelezea kimakosa, anaambiwa kuwa hiyo kwake ni ilmu Ghaib, yaani elimu iliyofichikana kwake/kutoijua kwa hiyo kwake inakuwa ni ghaib.
Waswahili wanalitumia ili neno kuelezea nchi za mbali zisizojulikana (Kwa wakati huo wa zamani)... Amekwenda Ughaibuni... Abroad.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.