Ni nini tofauti kati ya Visa na Passport?

Ni nini tofauti kati ya Visa na Passport?

Visa ni kibali kinachotolewa Na nchi husika ili uweze kuishi ktk nchi hiyo Kwa shughuli/jambo Fulani.

Mfano kuna visa ya Biashara & Utalii.
Passport

Ni hati/Nyaraka inayomilikiwa Na nchi husika,ambayo inamuwezesha muhusika kusafiri kutoka nchi moja kwenda nyingine.
Ufafanuzi mjarabu kabisa
 
Kwa kuongezea, passport inatolewa na nchi yako, visa inatolewa na nchi unayotaka kwenda.

Kwa mfano wewe ni mtanzania, basi unapaswa kuwa na passport ya tanzania.

Kama unataka kwenda Marekani, basi wakati unafuatilia utaratibu pale ubalozi wa US, wataibandika visa ya Marekani kwenye passport yako.
(Baadhi ya nchi wanagonga muhuri tu na kujaza idadi ya siku utakazo kaa kwenye passport yako)

Kwahiyo passport ni utambulisho wako kama mtanzania huko ugenini, wakati visa ni kibali cha wewe kuingia na kufanya shughuli iliyokupeleka huko ugenini.

NB. Passport inakua na kurasa nyinginyingi, hivyo kila anaposafiri viza huwekwa kwenye ukurasa tofauti, hadi pale passport yako itakapo jaa.
Kuna jambo pia huwa linanitatiza.

Mmesema visa ni kibali cha kukubaliwa kuishi nchi fulani kwa jambo fulani ambalo umepanga uende kufanya.

Swali: Sasa kwanini baadhi ya nchi, wakikukagua na kuona hujakidhi kuishi nchini mwao huwa wanakurudisha?
Je,wale waliokukatia visa hawakujiridhisha hapo awali kabla ya kukupa hiyo visa?
Au wakishakukagua ndipo wanakupa visa?

Maana kuna jamaa yangu mmoja karudishwa Airport kisa tu wameona hana uwezo wa kumudu gharama za kuishi nchini Hispania. Je,wakati wanamkatia visa hapa Tanzania hawakukagua hayo mpaka kafika huko Hispania ndio wakaliona hilo?
Visa ni kibali kinachotolewa Na nchi husika ili uweze kuishi ktk nchi hiyo Kwa shughuli/jambo Fulani.

Mfano kuna visa ya Biashara & Utalii.
Passport

Ni hati/Nyaraka inayomilikiwa Na nchi husika,ambayo inamuwezesha muhusika kusafiri kutoka nchi moja kwenda nyingine.
 
Kuna jambo pia huwa linanitatiza.

Mmesema visa ni kibali cha kukubaliwa kuishi nchi fulani kwa jambo fulani ambalo umepanga uende kufanya.

Swali: Sasa kwanini baadhi ya nchi, wakikukagua na kuona hujakidhi kuishi nchini mwao huwa wanakurudisha?
Je,wale waliokukatia visa hawakujiridhisha hapo awali kabla ya kukupa hiyo visa?
Au wakishakukagua ndipo wanakupa visa?

Maana kuna jamaa yangu mmoja karudishwa Airport kisa tu wameona hana uwezo wa kumudu gharama za kuishi nchini Hispania. Je,wakati wanamkatia visa hapa Tanzania hawakukagua hayo mpaka kafika huko Hispania ndio wakaliona hilo?
Kuna ukakasi,pengine Kwa rafiki yako,either kwa afisa uhamiaj wa nchi aliyofikia,ikiwa documents zote zipo sawa Na kule akakataliwa kuna kua Na factors nyingi ila kinachofanyika angeomba kuonana na kiongozi wake hapo angeruhusiwa kupita mara nyingi hua ni ubaguzi wa rangi,angekomaa angepita.
 
Kuna ukakasi,pengine Kwa rafiki yako,either kwa afisa uhamiaj wa nchi aliyofikia,ikiwa documents zote zipo sawa Na kule akakataliwa kuna kua Na factors nyingi ila kinachofanyika angeomba kuonana na kiongozi wake hapo angeruhusiwa kupita mara nyingi hua ni ubaguzi wa rangi,angekomaa angepita.
Hapo kwenye ubaguzi ndio naona kidogo naweza pata mwanga
Kwa maana alienda nchi kama 5, nne kati ya hizo wala hakukuwa na tatizo wakati wa kukaguliwa visa yake.
Ila alipotua tu Hispania ndipo wakaona hilo tatizo.
Maana walimkagua mpaka hotel atakakayofikia wakakuta kweli kalipia vizuri tu ,ila tatizo likawa kwenye pesa za ziada za matumizi wakaona huyu hatamudu hivo akarudishwa Tz.
Hivo akakatwa %ya usumbufu katika hotel,zilizobaki akarudishiwa.

Tulimuuliza kwanini asingekomaa, anasema visa waliichana baada ya kuona anataka kwenda kisheria zaidi.
Akaona ya nini kufia ugenini...akaamua kurudi nyymbani.
 
Kuna mtu ananiambia hapa kuwa:

Visa ni yai bovu.

Passport ni picha ndogo ya kichwa.

Kwa lugha rahisi ya kimtaa!
Na hawa ndo watu pori Wenyewe wamekuja kumpoteza fala sana we jamaa🤣😂🤦🤪
 
Kwa kuongezea, passport inatolewa na nchi yako, visa inatolewa na nchi unayotaka kwenda.

Kwa mfano wewe ni mtanzania, basi unapaswa kuwa na passport ya tanzania.

Kama unataka kwenda Marekani, basi wakati unafuatilia utaratibu pale ubalozi wa US, wataibandika visa ya Marekani kwenye passport yako.
(Baadhi ya nchi wanagonga muhuri tu na kujaza idadi ya siku utakazo kaa kwenye passport yako)

Kwahiyo passport ni utambulisho wako kama mtanzania huko ugenini, wakati visa ni kibali cha wewe kuingia na kufanya shughuli iliyokupeleka huko ugenini.

NB. Passport inakua na kurasa nyinginyingi, hivyo kila anaposafiri viza huwekwa kwenye ukurasa tofauti, hadi pale passport yako itakapo jaa.
Ikitokea huko Marekani ,ukapoteza passport na visa,utafanyaje?
 
Hapo kwenye ubaguzi ndio naona kidogo naweza pata mwanga
Kwa maana alienda nchi kama 5, nne kati ya hizo wala hakukuwa na tatizo wakati wa kukaguliwa visa yake.
Ila alipotua tu Hispania ndipo wakaona hilo tatizo.
Maana walimkagua mpaka hotel atakakayofikia wakakuta kweli kalipia vizuri tu ,ila tatizo likawa kwenye pesa za ziada za matumizi wakaona huyu hatamudu hivo akarudishwa Tz.
Hivo akakatwa %ya usumbufu katika hotel,zilizobaki akarudishiwa.

Tulimuuliza kwanini asingekomaa, anasema visa waliichana baada ya kuona anataka kwenda kisheria zaidi.
Akaona ya nini kufia ugenini...akaamua kurudi nyymbani.
Minimum requirements ni $5000 Kama reserve balance kuishi ktk nchi yeyote Kwa kichwa kimoja,au viwili..
 
Ni hati/Nyaraka inayomilikiwa Na nchi husika,ambayo inamuwezesha muhusika kusafiri kutoka nchi moja kwenda nyingine.
Kwa kuongezea kidogo, Ni Hati ambayo mamlaka ya nchi/Rais/Ufalme una(ana)kutambulisha kuwa wewe ni Raia wake katika nchi za ugenini, Hivyo anaomba upate msaada wowote unahohitajika ndani ya nchi ya ugenini, mara nyingi kuingia kwenye nchi husika.
 
je passport ile ya kijani mwisho kubadili ni lini? je kama ninayo na haija expire nikipata deal lakusafiri nje naweza itumia?
 
Kuna jambo pia huwa linanitatiza.

Mmesema visa ni kibali cha kukubaliwa kuishi nchi fulani kwa jambo fulani ambalo umepanga uende kufanya.

Swali: Sasa kwanini baadhi ya nchi, wakikukagua na kuona hujakidhi kuishi nchini mwao huwa wanakurudisha?
Je,wale waliokukatia visa hawakujiridhisha hapo awali kabla ya kukupa hiyo visa?
Au wakishakukagua ndipo wanakupa visa?

Maana kuna jamaa yangu mmoja karudishwa Airport kisa tu wameona hana uwezo wa kumudu gharama za kuishi nchini Hispania. Je,wakati wanamkatia visa hapa Tanzania hawakukagua hayo mpaka kafika huko Hispania ndio wakaliona hilo?
Ni kweli unaweza kuwa na visa halali na bado ukazuiwa kuingia nchi husika.

Nadhani ni utaratibu tu wa kujihakikishia kuwa visa ilitolewa kwa kuzingatia vigezo vyote, kwasababu watu wa ubalozini wanaweza kufanya makosa au unaweza kufanikiwa kuwadanganya.

Hivyo ukifika point of entry ni lazima wahakiki taarifa zako upya na kama kuna makosa yalifanyika ubalozini basi utazuiwa kuingia.
 
Ni kweli unaweza kuwa na visa halali na bado ukazuiwa kuingia nchi husika.

Nadhani ni utaratibu tu wa kujihakikishia kuwa visa ilitolewa kwa kuzingatia vigezo vyote, kwasababu watu wa ubalozini wanaweza kufanya makosa au unaweza kufanikiwa kuwadanganya.

Hivyo ukifika point of entry ni lazima wahakiki taarifa zako upya na kama kuna makosa yalifanyika ubalozini basi utazuiwa kuingia.
Aisee, ndio shida ya nchi za wenzetu.

Asante sana mkuu kwa kunielewesha.
Huenda kuna kimoja kati ya hapo kilitokea ukute
 
Kwa kuongezea, passport inatolewa na nchi yako, visa inatolewa na nchi unayotaka kwenda.

Kwa mfano wewe ni mtanzania, basi unapaswa kuwa na passport ya tanzania.

Kama unataka kwenda Marekani, basi wakati unafuatilia utaratibu pale ubalozi wa US, wataibandika visa ya Marekani kwenye passport yako.
(Baadhi ya nchi wanagonga muhuri tu na kujaza idadi ya siku utakazo kaa kwenye passport yako)

Kwahiyo passport ni utambulisho wako kama mtanzania huko ugenini, wakati visa ni kibali cha wewe kuingia na kufanya shughuli iliyokupeleka huko ugenini.

NB. Passport inakua na kurasa nyinginyingi, hivyo kila anaposafiri viza huwekwa kwenye ukurasa tofauti, hadi pale passport yako itakapo jaa.
Asante sana kwa ufafanuzi mkubwa mno mkuu, kwa msaada wenu tayari nimeweza kushughulikia passport na nimeshaipata, SWALI ni je zile kurasa za passport zikijaa kabla ya passport kuisha muda wake utaratibu ukoje je utaomba passport nyingine au kuna utaratibu mwingine?
 
Kipindi Chao walikuwa hawajastaarabika.
Ndo maana walikuwa wanachezea almas BAO .hayo Mambo ya visa na passport wangeyajulia wapi?.
Astaghafiluuu! Babu zetu hao walitawala nini mawee! Mkwawa, Milambo, Mkama marumbo, isike weee temea mate chini! somo la Hx ulikimbia wewe!
 
Asante sana kwa ufafanuzi mkubwa mno mkuu, kwa msaada wenu tayari nimeweza kushughulikia passport na nimeshaipata, SWALI ni je zile kurasa za passport zikijaa kabla ya passport kuisha muda wake utaratibu ukoje je utaomba passport nyingine au kuna utaratibu mwingine?
Utaomba passport nyingine ndugu
 
Kipindi Chao walikuwa hawajastaarabika.
Ndo maana walikuwa wanachezea almas BAO .hayo Mambo ya visa na passport wangeyajulia wapi?.
Big noooooooo! Ulilishwa matango pori hayoo! mpaka umevembewa, na bado umevembewa!... ndo tatizo ya shule za kata!! Sisi tulikuwa wajanja tangia Misri ya kale ni mali yetu ile! tunaitaka irudi,

Na hapo MIsri siyo mbali na Shinyanga yaani unatirirIka na mto Nile tuu mpaka victoria ! unajaa Maganzo! asa iweje wao watufundishe matumizi ya haya makitu wakati ni yetu? na Pharaos wa misri walikuwa wanazitumia Miaka dahari?

Hapo bado sijasema Middle east!
 
Back
Top Bottom