Ni nini Tafsiri ya HAPA KAZI TU?

Ni nini Tafsiri ya HAPA KAZI TU?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,849
Reaction score
50,566
Tangu Mgombea wa CCM ajitenge na chama chake na kuibuka na kauli mbiu ya "Hapa kazi tu" kundi kubwa la wanachama wa chama chake wameishabikia kauli mbiu hiyo yenye utata! Magufuli anaposema hapa kazi tu anamaanisha kazi hazipatikani, waliopo hawafanyi kazi,sasa hivi hakuna kazi yeye ndiyo ataleta kazi, kazi hazina tija, kazi hazina maslahi,au kazi zilizostahili kufanywa na wazawa ambazo kwa sasa zinafanywa na wageni akiingia yeye ndiyo wazawa watapewa??
 
yaani yeye hana porojo nyingi na anachojua ni kufanya kazi zaid
 
Kauli ya kihuni huni tu kwa kuwa maCCM yanajua watanzania weengi hawana uwezo wa kuchambua na kutafakari bali ushabiki tu so ikaletwa kauli mbiu ya kihuni huni tu isiyo na weledi bali ushabiki wa vijembe au shombo,kama maneno maneno ya hovyo ya taarabu,ooh inahusu?! Oh unalo,oh utajibeba,oh mbele kwa mbele,oh wataisoma namba, Wote ni huu ni upumbavu tu na mpigia chapuo wa CCM ni mpumbavu tu!!
 
Wewe utakuwa unaitumia lugha ya kiswahili kama lugha yako ya 3 ..si bure!
 
Tangu Mgombea wa CCM ajitenge na chama chake na kuibuka na kauli mbiu ya "Hapa kazi tu" kundi kubwa la wanachama wa chama chake wameishabikia kauli mbiu hiyo yenye utata! Magufuli anaposema hapa kazi tu anamaanisha kazi hazipatikani, waliopo hawafanyi kazi,sasa hivi hakuna kazi yeye ndiyo ataleta kazi, kazi hazina tija, kazi hazina maslahi,au kazi zilizostahili kufanywa na wazawa ambazo kwa sasa zinafanywa na wageni akiingia yeye ndiyo wazawa watapewa??

Tafsiri SAHIHI Ya HAPA KAZI Ni Kwamba Mwanaume Anatakiwa KUGANGAMALA Muda Wote Na Siyo KUTOA HAJA KUBWA Hovyo Hovyo, KUTETEMEKA, KUSINZIA Na Kutokwa Na UDENDA Wakati Wa Kuhutubia.
 
Kauli ya kihuni huni tu kwa kuwa maCCM yanajua watanzania weengi hawana uwezo wa kuchambua na kutafakari bali ushabiki tu so ikaletwa kauli mbiu ya kihuni huni tu isiyo na weledi bali ushabiki wa vijembe au shombo,kama maneno maneno ya hovyo ya taarabu,ooh inahusu?! Oh unalo,oh utajibeba,oh mbele kwa mbele,oh wataisoma namba, Wote ni huu ni upumbavu tu na mpigia chapuo wa CCM ni mpumbavu tu!!

unapost huku unapumiliwa shingoni.? Au wewe ni kichaaaa
 
kazi ya kuwadanganya na kuwahadaa watanzania kwa kutangaza ilani zilizo na wingu la ufisadi
 
Wewe utakuwa unaitumia lugha ya kiswahili kama lugha yako ya 3 ..si bure!
Jibu hoja wewe, kauli mbiu ya jamaa yenu ina utata! Hakuna Lugha nyingine ninayoijua zaidi ya hii!!
 
Tafsiri SAHIHI Ya HAPA KAZI Ni Kwamba Mwanaume Anatakiwa KUGANGAMALA Muda Wote Na Siyo KUTOA HAJA KUBWA Hovyo Hovyo, KUTETEMEKA, KUSINZIA Na Kutokwa Na UDENDA Wakati Wa Kuhutubia.
Tafsiri ya Mwanaume kwako ni ipi? Kwa hivo wewe ukikutana na Kuli na Mtaalamu wa kihindi mtengeneza Programu za Kompyuta wewe kwa akili yako utaona kuli ndiye MWANAUME!!
 
magufuli ni kasuku anaiga na vitu vya hovyo hovyo hii kauli ni yawana mziki wa tmk lile kundi lililokuwa linaongozwa na juma nature kabla ya lijasambaratika
 
Hapa kazi tu,nyie mtaendelea kusota tu.
 

Attachments

  • 1443703883429.jpg
    1443703883429.jpg
    8.8 KB · Views: 260
Tangu Mgombea wa CCM ajitenge na chama chake na kuibuka na kauli mbiu ya "Hapa kazi tu" kundi kubwa la wanachama wa chama chake wameishabikia kauli mbiu hiyo yenye utata! Magufuli anaposema hapa kazi tu anamaanisha kazi hazipatikani, waliopo hawafanyi kazi,sasa hivi hakuna kazi yeye ndiyo ataleta kazi, kazi hazina tija, kazi hazina maslahi,au kazi zilizostahili kufanywa na wazawa ambazo kwa sasa zinafanywa na wageni akiingia yeye ndiyo wazawa watapewa??
"Hapa Kazi Tu" ni kauli mbiu iliyobuniwa na mtu asiyeona mbali.Mimi ninaitamkakwa kusema "Hapa Zika Tu" Na ni kweli hawa mapushups tutayazika 25/10.
 
yaani kazi yakuuza raslimari zetu,kupandisha twiga kwenye ndege,kufisadi fedha za watz,kuingia mikataba feki,kuwabebesha wasanii unga......"HIPO KAZI TU"
 
hapa kazi tu...
ccm ni ile ile...
kazi yao itakuwa kutenda yale yale tu.... kupiga push-ups na kutukana...eti magufulika.... !!

ccm wanafalsafa wameisha... Walikuwa na kauli mbiu moja matata sasa... "Umoja ni Ushindi"...sijuhi waliisi nini wakaja na hizi za kihuni huni...??

Labda maana halisi ya "hapa kazi tu" inaweza kuwa anaogopa kuwaweka watu wazi kuwa yeye anachotafuta ni KAZI ya URAIS ili naye apige madili kama Kikwete..!!
Quote me wrong now..!!
 
Jibu hoja wewe, kauli mbiu ya jamaa yenu ina utata! Hakuna Lugha nyingine ninayoijua zaidi ya hii!!

Yaani upelekwe shule, ufaulu, ufikie kuelewa lipi ni lipi alafu bado hata sentensi inayotolewa kwenye lugha yako ya kuzaliwa unaitisha kikao watu wakusaidie kukupa maana yake? ndo maana nimehoji kama kweli hii ni lugha yako rasmi, any way, sisi hatujafundishwa kupakua kabisa, tafakari mwenyewe utajua maana yake ..hii ni h.work yako leo.
 
Hii kauli inanipa shida kidogo.Tutakuwa tunafanya sana kazi bila kujali malipo in kiasi gani.Na ukiuliza jibu hapa kazi tuu.Naomba ufafanuzi hapa.Kasi mpya nguvu mpya maisha bora kwa kila mtanzania ilituteka sana! Lakini yule jamaa alitudanganya kwamba ataongeza mishahara tulikuwa very attentive mwishowe kumbe zuga tuu.Sasa huyu binge la threats eeeh."Utafukuzwa kazi ndio kauli mbiu ofisi nyingi sana za selikari"watumishi watajilindaje?
 
Back
Top Bottom