Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,219
- 79,486
Wajameni naheshimu mengi ya mawazo ya huyu Prof. ila naomba kujua anasimama wapi juu ya masuala ya zanzibar na muungano! maana kuna suala la kujifunga bao la kisigino lets say kama akiwa kiongozi wa kamati maalum ya katiba Mpya! naomba tulijadili kulijadili kistaarabu simchukii mtu na mimi nimfuatiliaji wa articles na vitabu vyake kwa sana