Habari za asubuhi wanajamvi.natumai weekend ilienda
vizuri na leo tunawajibika kama kawaida.
Kwenye pitapita zangu weekend hii nkakutana na hili swali kutoka kwa msichana m1 rafiki yangu.hivi ni nini/tabia gani ambazo zitakufanya umwache/ufikirie kumwacha wife/gf wako?
vizuri na leo tunawajibika kama kawaida.
Kwenye pitapita zangu weekend hii nkakutana na hili swali kutoka kwa msichana m1 rafiki yangu.hivi ni nini/tabia gani ambazo zitakufanya umwache/ufikirie kumwacha wife/gf wako?