Katiba ya Tanzania inasemaje kuhusu uchaguzi na ya Kenya inasemaje ? ukimaliza kujiuliza hilo swali utapata jibu kwa nini hawakwenda mahakamani.Nimefuatilia mwenendo wa kesi ya kupinga ushindi wa Kenyatta nikaona jinsi haki inavyojidhihirisha mahakamani.
Nimelinganisha utendaji wa mahakama za Kenya na za hapa kwetu nikaona hakuna utofauti wowote linapokuja suala la kutoa hukumu/haki. Waliotangaza ushindi wa Kenyatta ni majaji sawa kabisa na waliotangaza ushindi wa Pombe na Shein. Waliotengua ushindi wa Kenyatta ni majaji wenye profession sawa kabisa na waliotengua ushindi wa Maalimu Seif.
Tofauti ni kuwa Nasa wameonyesha uzalendo kwa kuziamini mahakama zao na UKAWA wakawaamini wazungu ambao bado wanaendelea na upelelezi.
Swali langu ni kwa nini Ukawa hawakwenda Mahakani ikiwa walikuwa na ushahidi sana na waliokuwa nao CCM Longido na CHADEMA kule Bunda?
Sent using Jamii Forums mobile app
Usikurupuke kuandika bila kuelewa jambo unaloliandikia. Itawachukua watanzania miaka mingi sana kuelewa maana ya kuwa na katiba mpyaNimefuatilia mwenendo wa kesi ya kupinga ushindi wa Kenyatta nikaona jinsi haki inavyojidhihirisha mahakamani.
Nimelinganisha utendaji wa mahakama za Kenya na za hapa kwetu nikaona hakuna utofauti wowote linapokuja suala la kutoa hukumu/haki. Waliotangaza ushindi wa Kenyatta ni majaji sawa kabisa na waliotangaza ushindi wa Pombe na Shein. Waliotengua ushindi wa Kenyatta ni majaji wenye profession sawa kabisa na waliotengua ushindi wa Maalimu Seif.
Tofauti ni kuwa Nasa wameonyesha uzalendo kwa kuziamini mahakama zao na UKAWA wakawaamini wazungu ambao bado wanaendelea na upelelezi.
Swali langu ni kwa nini Ukawa hawakwenda Mahakani ikiwa walikuwa na ushahidi sana na waliokuwa nao CCM Longido na CHADEMA kule Bunda?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe katiba ya nchi umeisoma au unapiga tu makelele huku kwenye mitandao? Bendera fuata upepo?Nimefuatilia mwenendo wa kesi ya kupinga ushindi wa Kenyatta nikaona jinsi haki inavyojidhihirisha mahakamani.
Nimelinganisha utendaji wa mahakama za Kenya na za hapa kwetu nikaona hakuna utofauti wowote linapokuja suala la kutoa hukumu/haki. Waliotangaza ushindi wa Kenyatta ni majaji sawa kabisa na waliotangaza ushindi wa Pombe na Shein. Waliotengua ushindi wa Kenyatta ni majaji wenye profession sawa kabisa na waliotengua ushindi wa Maalimu Seif.
Tofauti ni kuwa Nasa wameonyesha uzalendo kwa kuziamini mahakama zao na UKAWA wakawaamini wazungu ambao bado wanaendelea na upelelezi.
Swali langu ni kwa nini Ukawa hawakwenda Mahakani ikiwa walikuwa na ushahidi sana na waliokuwa nao CCM Longido na CHADEMA kule Bunda?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi walioitosà katiba ya warioba ni CHADEMA? Kwanini unaogopa kulaumu wahusika unaañza kusakama wengine? Ndo nyie watu wanabomolewa nyumba kinyume cha sheria badala ya kulaumu wahusika mnalaumu chadema eti wapo kimya! Acheni uoga watanzaniaKatiba inasema rais akishatangazwa na NEC ndo stori imeisha hapo, ni katiba mbovu sana hii! Chadema wakianzisha mapambano kutaka ya rasimu ya warioba nitawaumga mkono na ndio silaha pekee ya wao kuitumia! Kupinga ufisadi walishaipoteza kwa kumkaribisha lowassa.
Wewe katiba ya nchi umeisoma au unapiga tu makelele huku kwenye mitandao? Bendera fuata upepo?
Matokeo ya Uraisi Tanzania hayaruhusiwi kuhojiwa mahakamani au mahali popote. Nenda ukasome katiba ndo uje huku.
akili yako na wewe,hujui kupinga matokeo ya urais mahakamani inaelezwa kwenye katiba ya kenya,katiba yetu imezuia haki hiyo!!!!jiongeze na wewe
Kifungu kimojawapo cha kijinga sana hiki kuahibtokeza ktk katiba ya nchi!
Wewe spaced ni mmoja wa watu wapuyzi na inaonekana hata hujui katiba yetu inasema mara baada ya Rais kuapishwa.Nimefuatilia mwenendo wa kesi ya kupinga ushindi wa Kenyatta nikaona jinsi haki inavyojidhihirisha mahakamani.
Nimelinganisha utendaji wa mahakama za Kenya na za hapa kwetu nikaona hakuna utofauti wowote linapokuja suala la kutoa hukumu/haki. Waliotangaza ushindi wa Kenyatta ni majaji sawa kabisa na waliotangaza ushindi wa Pombe na Shein. Waliotengua ushindi wa Kenyatta ni majaji wenye profession sawa kabisa na waliotengua ushindi wa Maalimu Seif.
Tofauti ni kuwa Nasa wameonyesha uzalendo kwa kuziamini mahakama zao na UKAWA wakawaamini wazungu ambao bado wanaendelea na upelelezi.
Swali langu ni kwa nini Ukawa hawakwenda Mahakani ikiwa walikuwa na ushahidi sana na waliokuwa nao CCM Longido na CHADEMA kule Bunda?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla hujakurupuka saa nyingine muulize hata jirani huenda akakueleza kitu kabla hujaleta jambo hapa JFNimefuatilia mwenendo wa kesi ya kupinga ushindi wa Kenyatta nikaona jinsi haki inavyojidhihirisha mahakamani.
Nimelinganisha utendaji wa mahakama za Kenya na za hapa kwetu nikaona hakuna utofauti wowote linapokuja suala la kutoa hukumu/haki. Waliotangaza ushindi wa Kenyatta ni majaji sawa kabisa na waliotangaza ushindi wa Pombe na Shein. Waliotengua ushindi wa Kenyatta ni majaji wenye profession sawa kabisa na waliotengua ushindi wa Maalimu Seif.
Tofauti ni kuwa Nasa wameonyesha uzalendo kwa kuziamini mahakama zao na UKAWA wakawaamini wazungu ambao bado wanaendelea na upelelezi.
Swali langu ni kwa nini Ukawa hawakwenda Mahakani ikiwa walikuwa na ushahidi sana na waliokuwa nao CCM Longido na CHADEMA kule Bunda?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesema kweli kabisa. Pointless arguments tu ndo utazisikia kutoka kwa watzWabongo wengi wajuaji lakini kichwani weupe kama saruji,huyu ni mmoja wapo