Jamani hii ni aibu.
Licha ya kuwa tukio hili lilitokea siku nyingi, lakini naamini kabisa ni miongoni mwa mambo yaliyosababisha kuporomoka kwa muziki wa BONGO FLEVA.
huyu aliye mtupu ndio MFALME WA RHYME, je huyo mtu wa kawaida atafanya nini kwenye kadamnasi iwapo mfalme wake anavua nguo hadharani?
View attachment 22423