Hahaa achana nao mkuu. Ni wazi kabisa wabongo wengi wetu ni watu ambao uthubutu uliishia kwa mababu zetu. Tumeathiliwa sana na mfumo wa elimu yetu. Wengi wetu hatuwezi kabisa kutoka nje ya box, waoga wa kufa mtu, wababaishaji. Tunaongea kwa hisia kila jambo na kulitetea kuaminisha ufupi wa akili zetu. Tunakwama sana!!!!Kweli nimeamini penye miti hkn wa kwezi!!! wewe si mjilipuaji!! ila una tu iga iga tu!!!! uko nyorornyoro sana!! inaonekana huko baba hapa kufai!!
tulitishwa ooh! Dar maisha magumu kaeni hapahapa kwa baba yenu! maweee! nani? Tata nyarusare au!!