Ni nini chanzo cha GIZA kwenye universe.

Ni nini chanzo cha GIZA kwenye universe.

Hata kuwepo au kutokuwepo kwa aliyebitengeneza ni nadharia tu.

Kikubwa hiyo nadharia iwe na mshiko japo iweze kuthibitisha inachoongelea.



Hakuna kitu kinatokea pasipo kutengenezwa/kuumbwa/created. Lazima awepo aliefanya hivyoo hiyoo sio nadharia ni uhalisia.


Gari lipo limetengezwa na alielitengeneza yupo and vice versa to darkness.

Ukitaka kujua gari limetengenezwajwe linafanyaje kazi lazima umuulize muusika. Usipo fanya hivyo utatengeneza nadharia zinaendana na mfumo wa gari right or wrong.
 
Biblical definition of Darkness
Darkness represents sin in the Bible. Additionally: "Darkness" is the "natural state" of the human mind: selfish and hostile to authority; whether it be the laws of man or of God. It's a "slumbering human spirit" that's blinded [or deceived by the god of this world] to the Truth of God

darkness is eternity, light is always temporal. darkness is the true light simply because it is eternal. darkness is the mother of light. darkness can not be made of anything because only things that exist are made of stuff.
 
Giza linakuja pale tu kunapokosekana mwanga, mfano mzuri ni jioni pale mwanga wa jua unapokosekana
 
Giza ni kutokuepo kwa reflectors za mwanga. Kumbuka unaweza kuona nuru pale tu mwanga utatoka kwenye source na kugonga object iliyojiran na upeo wa macho yako na kureflect, hapo ndo utaona mwanga. Na hili linathibitishwa kwamba ukimulika angani na taa au tochi wakat wa giza, hautaona mwanga, au utaona miale hafifu kwasababu small particles (vumbi) zilizopo angan kwenye upeo wa macho yako zimereflect huo mwanga (so kuna issue ya size ya reflecting object pia).

Kwahyo, giza linazalishwa pale object zilizopo zinaposhindwa kureflect kiasi cha mwanga uliopo na kusababisha uone nuru kwa upeo wa macho yako. Na hii inatokana na mambo matatu makubwa au manne:

1. Kutokuwepo/kuzibwa (obstruction) kwa source of light (jua, reflecting objects eg stars)

2. Distance between source of light and reflecting object

3. Uangavu/uwezo (mkubwa/mdogo) wa object zilizopo jiran na ww kureflect mwanga. Mfano vitu vyenye rangi nyeusi vinauwezo mdogo wa kureflect mwanga vs. whitish/bright objects.

4. Size of the reflector (big reflector mwanga mkali)

Ni kama kusema hakuna kitu kinachoitwa giza, ispokua ni hali inayotokana na reaction ya source of light, reglector na upeo wa muonaji.
Kiasi nimekupata mkuu,.
shukrani sana
 
Wakuu sote tunafahamu kuwa giza hutokea pale mwanga unapotoweka..
Tumeona kuwa vyanzo vya mwanga ni kama vile nyota, umeme na kadhalika.

But CHANZO HALISI cha giza ni nini?(source of darkness).
na Linatokea/linazalishwa wapi kwenye hii Universe?

Im sorry for this sound like a strange question..
Wajuzi msaada tafadhali.
7f90a68297b89346bb9450441d32d2c5.jpg
Ukisema giza maana yake ni kwamba brain na jicho imeshindwa kudetect presense ya electromagnetic wave kutokana na kuzidi au kupungua kwa frequency za rangi saba ..so kinachozalisha kiza ni ubongo wako kushindwa kudetect frequency za juu au za chini baina ya frequency za rangi saba(light) katika electromagnetic spectrum.
Kunabaadhi ya viumbe vinaona fresh tuu kwenye kiza mfano nyoka.
Nyoka anaona kweny kiza
Binadamu haoni kwenye kiza
So kiza doe not exist in universe it exist in your brain..and no where it comes from.
 
Giza Ni absence of light.
Giza Ni kama utupu.
Giza sio kitu.
Kila sehemu Kuna Giza...yes kila mahali unapopajua wewe lipo Giza.
Unapo apply mwanga ndo unaona mwanga.

Universe Ni total darkness ila kwa vile Kuna jua(natural light) na vibatari (artificial light). Ndo tunaona kama tuonavyo leo
Hili ndio jibu la kisayansi...
Nadhani maada imeishia hapa
 
Ukisema giza maana yake ni kwamba brain na jicho imeshindwa kudetect presense ya electromagnetic wave kutokana na kuzidi au kupungua kwa frequency za rangi saba ..so kinachozalisha kiza ni ubongo wako kushindwa kudetect frequency za juu au za chini baina ya frequency za rangi saba(light) katika electromagnetic spectrum.
Kunabaadhi ya viumbe vinaona fresh tuu kwenye kiza mfano nyoka.
Nyoka anaona kweny kiza
Binadamu haoni kwenye kiza
So kiza doe not exist in universe it exist in your brain..and no where it comes from.
Safi sana nimekuelewa mkuu
 
Elimu ya mambo ya dunia hii ni kama udondoshe kitone kimoja ndani ya bahari.
 
ILA ninachojua MWANGA umeumbwa na Giza pia limeumbwa kwa ajili ya manufaa mbali mbali. Sambamba na hillo, je ushawahi kujiuliza kwanini huwa tunalala? Kwann MTU usiwe macho through out?! Hivi ndo vitu ambavyo vinakuwa beyond our limits na kuthibitisha uwepo wa Mungu Muumba.
 
Back
Top Bottom