Ni nini chanzo cha GIZA kwenye universe.

Ni nini chanzo cha GIZA kwenye universe.

Vitu vyote vya asili huwezi kupata ukweli wake ZAIDI ya nadharia tu. Ukweli wa Giza utaupata kwa alieanzisha Giza. Nje ya hapo utapata nadharia tu. Zenye namba na Maelezo mengi ilikutetea hoja lakini sio ukweli.
 
Lkn kuna viumbe vingine kwenye giza vinaona zaidi kuliko mwanga


Hapa pia swala ni maana ya Giza ni ipi? Kwangu mimi ni relative nikimaanisha kwamba inategemeana na Bailojia ya kiumbe husika ni sawa labda na uwezo wa kusikia, kwa kuwa tu hausikii chochote haimaanishi kwamba hakuna sauti ni kwamba uwezo wa masiko yetu kudaka frequency za sauti haziruhusu kusikia kila kitu kwani kuna vitu ambavyo kwa mfano Mbwa anasikia lkn sisi hauwezi kusikia.

Vivyo hivyo nafikiri kwenye kuona kwa kuwa tu sisi hatuoni usiku/Giza haimaanishi kwamba ni Giza kwa kila kiumbe ni kwamba tu macho yetu hayana uwezo wa kuona zaidi.
 
Kijiografia giza husababishwa na dunia kujizungusha kwenye muhimili wake(Earth's rotation in its axis) . Sasa kadri dunia inavyojizungusha ndivyo pande za dunia zinavyopata kimvuli cha pande nyingine . Kwa hiyo giza ni kimvuli cha pande moja ya dunia ..
Kwahiyo mkuu nuru ipo tu ambayo huzalishwa na jua! Je jua likizima kwa mfano kutakuwa na nini kwenye universal?
 
Hapa pia swala ni maana ya Giza ni ipi? Kwangu mimi ni relative nikimaanisha kwamba inategemeana na Bailojia ya kiumbe husika ni sawa labda na kusikia kwa kuwa tu hausikii chochote haimaanishi kwamba hakuna sauti ni kwamba uwezo wetu wa masiko yetu kudaka frequency za sauti haziruhusu kusikia kila kitu kwani kuna vitu ambavyo kwa mfano Mbwa anasikia lkn sisi hauwezi kusikia.

Vivyo hivyo nafikiri kwenye kuona kwa kuwa tu sisi hatuoni usiku/Giza haimaanishi kwamba ni Giza kwa kila kiumbe ni kwamba tu macho yetu hayana uwezo wa kuona zaidi.
Hapo umenena mkuu
 
Giza ni kutokuwepo kwa mwanga.

Mwanga unasababishwa na nini? Hili unalijua.

Kwanini mwanga usiwepo pawepo na giza... ni kwasababu vinavyosababisha mwanga uwepo huo muda vinakuwa vimezibwa.
 
Vitu vyote vya asili huwezi kupata ukweli wake ZAIDI ya nadharia tu. Ukweli wa Giza utaupata kwa alieanzisha Giza. Nje ya hapo utapata nadharia tu. Zenye namba na Maelezo mengi ilikutetea hoja lakini sio ukweli.

Hata kuwepo au kutokuwepo kwa aliyebitengeneza ni nadharia tu.

Kikubwa hiyo nadharia iwe na mshiko japo iweze kuthibitisha inachoongelea.
 
nafikiri mwanga hauna kasi maana giza linaexist kila sehemu tayari lipo.. ila tunaweza kusema(japo si rasmi sana) giza lina kasi kama mwanga maana kadri mwanga unavyotoweka kwa point hiyohiyo basi na giza hutokea hapohapo!.. lkn still giza lipo kila sehemu.. ndio maana binafsi huwa nadifine giza kuwa is the natural space color!.
Kidogo nimekuelewa mkuu
 
Kijiografia giza husababishwa na dunia kujizungusha kwenye muhimili wake(Earth's rotation in its axis) . Sasa kadri dunia inavyojizungusha ndivyo pande za dunia zinavyopata kimvuli cha pande nyingine . Kwa hiyo giza ni kimvuli cha pande moja ya dunia ..
Hapana..
Ili kivuli kitokee lazima kuwe nakitu kinachoukinga mwanga usipenye upande wa pili,..
Giza sio kivuli limeenea pande zote za universe
 
Kwa uelewa wangu wa mdogo ni kuwa.
Kuna nadharia (hypothesis): kuwa Giza ni nguvu (energy) kama ilivyomwanga, na inasafiri kwa kasi kuliko mwanga .
Na kwasababu ulimwengu (universe) unatanuka (expanding), hivyo basi giza huchukua nafasi ya ulimwengu uliotanuka.
Nadharia hii tunaitumia katika fizikia ya vitu vya angani, kueleza nadharia nyingine kuwa ulimwengu unaendelea kutanuka.
Sasa tukija kwenye swali lako la msingi ya kuwa nini chanzo cha giza katika ulimwengu?
Kwanza ni lazima tujue kuwa nadharia moja haitoshi kuelezea nadharia nyingine kwa usahihihi mojakwamoja kukumbuka M-theory (Hawking na Mlodinow, 2010),
Hivyo basi tunaweza kutaja moja kama ile nadharia ya oscillating model (Eisten 1930) kuwa nguvu za ulimwengu hufuqtata mzunguko usio na mwisho, na unaojitunza wenyewe (infinite, self-sustaining cycle).
Kwa hiyo tukichukulia mwanga kama nguvu, basi pasi shaka chazo cha giza inaonekana ni kile kile, kwa kuwa nguvu huzinguka katika hali tofauti.
(Naomba kuwasilisha.)
Kidogo nimekupata mkuu
 
Kwa uelewa wangu wa mdogo ni kuwa.
Kuna nadharia (hypothesis): kuwa Giza ni nguvu (energy) kama ilivyomwanga, na inasafiri kwa kasi kuliko mwanga .
Na kwasababu ulimwengu (universe) unatanuka (expanding), hivyo basi giza huchukua nafasi ya ulimwengu uliotanuka.
Nadharia hii tunaitumia katika fizikia ya vitu vya angani, kueleza nadharia nyingine kuwa ulimwengu unaendelea kutanuka.
Sasa tukija kwenye swali lako la msingi ya kuwa nini chanzo cha giza katika ulimwengu?
Kwanza ni lazima tujue kuwa nadharia moja haitoshi kuelezea nadharia nyingine kwa usahihihi mojakwamoja kukumbuka M-theory (Hawking na Mlodinow, 2010),
Hivyo basi tunaweza kutaja moja kama ile nadharia ya oscillating model (Eisten 1930) kuwa nguvu za ulimwengu hufuqtata mzunguko usio na mwisho, na unaojitunza wenyewe (infinite, self-sustaining cycle).
Kwa hiyo tukichukulia mwanga kama nguvu, basi pasi shaka chazo cha giza inaonekana ni kile kile, kwa kuwa nguvu huzinguka katika hali tofauti.
(Naomba kuwasilisha.)
Kidogo nimekupata mkuu
 
An object is said to be dark when it absorbs photons, causing it to appear dim compared to other objects. For example, matte black paint does not reflect much visible light and appears dark, whereas white paint reflects lots of light and appears bright. An object may appear dark, but it may be bright at a frequency that humans cannot perceive.
Giza ni uwezo/umbali wa jicho la binadamu kuona!.. a.k.a Monochromacy
 
Giza Ni absence of light.
Giza Ni kama utupu.
Giza sio kitu.
Kila sehemu Kuna Giza...yes kila mahali unapopajua wewe lipo Giza.
Unapo apply mwanga ndo unaona mwanga.

Universe Ni total darkness ila kwa vile Kuna jua(natural light) na vibatari (artificial light). Ndo tunaona kama tuonavyo leo
 
Giza Ni absence of light.
Giza Ni kama utupu.
Giza sio kitu.
Kila sehemu Kuna Giza...yes kila mahali unapopajua wewe lipo Giza.
Unapo apply mwanga ndo unaona mwanga.

Universe Ni total darkness ila kwa vile Kuna jua(natural light) na vibatari (artificial light). Ndo tunaona kama tuonavyo leo
Jibu zuri mkuu
Nimekupata
 
ukifika hapo ndipo upeo wa ufahamu wa mwanadamu huishia - kuna siku najiuiza kipi kinafanya Dunia hii izunguke millions of years bila kusimama hata sekunde moja. Je ikitokea ikasimama sisi wanadamu tutafanyaje kuifanya izunguke tena?
 
Giza Ni absence of light.
Giza Ni kama utupu.
Giza sio kitu.
Kila sehemu Kuna Giza...yes kila mahali unapopajua wewe lipo Giza.
Unapo apply mwanga ndo unaona mwanga.

Universe Ni total darkness ila kwa vile Kuna jua(natural light) na vibatari (artificial light). Ndo tunaona kama tuonavyo leo
Upo sahihi mkuu. Ndio maana popote pale ulipo haijalishi ni wapi, ukiweza kuuzuia mwanga, lazima upate giza
 
Giza ni kutokuepo kwa reflectors za mwanga. Kumbuka unaweza kuona nuru pale tu mwanga utatoka kwenye source na kugonga object iliyojiran na upeo wa macho yako na kureflect, hapo ndo utaona mwanga. Na hili linathibitishwa kwamba ukimulika angani na taa au tochi wakat wa giza, hautaona mwanga, au utaona miale hafifu kwasababu small particles (vumbi) zilizopo angan kwenye upeo wa macho yako zimereflect huo mwanga (so kuna issue ya size ya reflecting object pia).

Kwahyo, giza linazalishwa pale object zilizopo zinaposhindwa kureflect kiasi cha mwanga uliopo na kusababisha uone nuru kwa upeo wa macho yako. Na hii inatokana na mambo matatu makubwa au manne:

1. Kutokuwepo/kuzibwa (obstruction) kwa source of light (jua, reflecting objects eg stars)

2. Distance between source of light and reflecting object

3. Uangavu/uwezo (mkubwa/mdogo) wa object zilizopo jiran na ww kureflect mwanga. Mfano vitu vyenye rangi nyeusi vinauwezo mdogo wa kureflect mwanga vs. whitish/bright objects.

4. Size of the reflector (big reflector mwanga mkali)

Ni kama kusema hakuna kitu kinachoitwa giza, ispokua ni hali inayotokana na reaction ya source of light, reglector na upeo wa muonaji.
 
Back
Top Bottom