Bullshit
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,299
- 1,500
Nchi nyingi au zote za waislam au waislam wanatumia mifumo ambao ilianzishwa na wakristo. Ikiwa waislam wanawapinga wakristo, je ni sahihi kuacha mambo ambao alianzishwa ua ina mzizi na wakristo kama vile
Elimu ya sayansi na technolojia.
Mfumo wa elimu kuanzia shule ya msingi mpaka Vyuo Vikuu,
Maswala ya uongozi,
Kusherekea sikuu,
Kutumia kalenda ya sasa Jan - Dec, Majina ya siku miezi na saa
Sanaa na utamaduni.
Sheria na katiba.
Mambo hayo yana mizizi yake katika tamaduni za kikristo ila waislam wengi ni kama wanafuata mambo hao.
Waaislam wanasoma mpaka vyuovikuu, watumia kalenda ya sasa, ni kawaida muislam kuitwa Dr sulle. hii imekaa vipi.
Usitumie akili nyingi kutaka kunielewa.
Elimu ya sayansi na technolojia.
Mfumo wa elimu kuanzia shule ya msingi mpaka Vyuo Vikuu,
Maswala ya uongozi,
Kusherekea sikuu,
Kutumia kalenda ya sasa Jan - Dec, Majina ya siku miezi na saa
Sanaa na utamaduni.
Sheria na katiba.
Mambo hayo yana mizizi yake katika tamaduni za kikristo ila waislam wengi ni kama wanafuata mambo hao.
Waaislam wanasoma mpaka vyuovikuu, watumia kalenda ya sasa, ni kawaida muislam kuitwa Dr sulle. hii imekaa vipi.
Usitumie akili nyingi kutaka kunielewa.