The Tomorrow People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 2,662
- 2,745
Katikati kabisa ya mtanange... Ananiuliza, "Do you love me" Sikumwelewa
Haaaaaa mwanamke kama bikoSitasahau siku aliponipa dedication ya wimbo wa end of the road and by that time siku ufahamu huo wimbo wala maana yake but nilifwatilia nikaujua ukwel,
Real wanawake sisi ni wabaya sana but always men are behind al the things.
Siwezi kupenda kwenye ''hamna''Tunaambiwa mengi na tuwapendao ila lipo neno moja ambalo limewahi kugusa moyo kiasi kwamba si rahisi kusahau!
TIRIRIKENI