Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Labda kwa nchi nyingine za Kiafrika ambazo bado wanahangaika na siasa wakati wote, lakini kwa hapa Tanzania tusitegemee jipya kwa Upinzani kushinda Uchaguzi Mkuu.
Hawajajipanga, na wapo busy kupiga siasa mitandanoni na si kwenye grounds. Hata takwimu zao za wanachama ni fake kabisa.
Yaani kutoka wao ndo tupate Katibu Mkuu Kiongozi, Mawaziri, Mabalozi, Makamishna, MaRC, DC, DED, DAS, RAS? Wapeleke ujinga huko.
CCM mwanzo mwisho kudada deki, kama wanataka wajipange kwa miaka 50 ijayo!
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Hawajajipanga, na wapo busy kupiga siasa mitandanoni na si kwenye grounds. Hata takwimu zao za wanachama ni fake kabisa.
Yaani kutoka wao ndo tupate Katibu Mkuu Kiongozi, Mawaziri, Mabalozi, Makamishna, MaRC, DC, DED, DAS, RAS? Wapeleke ujinga huko.
CCM mwanzo mwisho kudada deki, kama wanataka wajipange kwa miaka 50 ijayo!
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app