Ni nani yuko nyuma yao?

Ni nani yuko nyuma yao?

Mkuu usijidanganye kama waliwezekana WaLibya na good life yao wanashindwaje nchi zetu hizi za pangu pakavu ni jambo la kumuomba Allah anusuru tu wasituletee hayo Mapropaganda
Kule walikopelekewa hawajui kumuomba Allah?
 
Kukusaidia tu iko hivi baada ya uonevu na kusahaulika kwa Gabo del Gado kwa mda mrefu Sana katika msumbiji hatimae gas ili vumbuliwa
Wakazi wa Gabo del Gado wakataka serikali isiwatambue na iendelee kuwasahau Kama ilivyokuwa mwanzo
Vijana wakajikusanya kupinga baadae wakaja watu wakaingiza udini ndio kikawa hiki unachokiona

Wanaofadhili ,jeshi la msumbiji liliwahi kusema kuwa Kuna watu wanne wawili ni wamozambique na wawili wanaishi Dar es salam Tanzania jiongeze

Umoja wa mataifa hujihusishi kwakuwa bado USA na uingereza hazina maslahi ya moja kwa moja na ukumbuke Mozambique ni Portuguese fone kwahiyo mwenye ushawishi ni ureno ambae hawezi push chochote Un
Hivi kama mpaka nyinyi mumewafahamu unaona Serikali itawaachia tu? Wacheni kuzushia watu jamani.
 
Kule walikopelekewa hawajui kumuomba Allah?
Muumba hupeleka madhara sehemu aitakayo na huiondoa kwa waumini wake wakithirishapo kumuomba kwa hiyo jibu la swali lako mwenye enzi mungu ndio anajua kwa nini wamepelekewa propaganda
 
Mkuu usijidanganye kama waliwezekana WaLibya na good life yao wanashindwaje nchi zetu hizi za pangu pakavu ni jambo la kumuomba Allah anusuru tu wasituletee hayo Mapropaganda
Umenena vyema Mkuu🙏🙏
 
Back
Top Bottom