Ni nani wa kumlinda mtumishi wa umma?

Kkimondoa

JF-Expert Member
May 31, 2014
4,453
4,933
MKURUGENZI anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

MKUU WA MKOA anaeeza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

MKUU WA WILAYA anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani

MWENYE KITI WA CCM MKOA anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

MWENYE KITI WA CCM WILAYA anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

KATIBU TAWALA MKOA anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

KATIBU TAWALA WILAYA anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

KUMBE TENA KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

VIONGOZI WA CCM WOTE HADI WENYE VITI WA VIJIJI KEA.SASA HUKO WALIKO NAO wanaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

MKUU WA IDARA anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

SASA NAJIULIZA wabunge hizi si ndio zilikuwa hoja za kupeleka bungeni zifanyiwe marekebisho badala.ya kupeleja hoja za kipuuzi eti miaka saba camoon

kuwe na mamlaka moja tuu ambayo maamuzi yake si mtu mmoja bali kamati tena kwa kujiridhisha kabisa na kusiwe na.mwana siasa kutia siasa zake za kishamba.kwenue taaluma ya mtu

mtu kapanda ngazi kea ngazi kupata nafasi.hiyo huenda kahudumu serikalini miaka.zaid ya 30 kwa uaminifu kabisa hadi.kufikia cheo hicho

halafu anakuja sijui mkuu wa.mkoa.sijui wilaya ambae hata kubalehe bado ndio kwanza katoka chuo.sijui sekondari.na.kupewa mkuu wa wilaya halafu ati.anakiwa na.mamlaka ya kufukuzisha watu kazi.... ptuuuu kinyaa hiki.

ona kama sasa mkuu wa mkoa sijui wilaya anaropoka tu eti kuanzia sasa bwana KKIMONDOA sio.DR wa wilaya tena kabidhi ofisi , yaani kirahisi tu kama.

Hakuna maendeleo bika mifumo bora ya utawala
 
Mi ningewashauri muhame hii nchi ya wapumbavu ikishanyooka mtarudi hivi sasa mtaumia bure mioyoni hakuna wa kuwasikiliza wala kusikiliza waraka na mzee sometimes anawacheka tu hiiiiiiiii!
 
MKURUGENZI anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

MKUU WA MKOA anaeeza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

MKUU WA WILAYA anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani

MWENYE KITI WA CCM MKOA anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

MWENYE KITI WA CCM WILAYA anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

KATIBU TAWALA MKOA anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

KATIBU TAWALA WILAYA anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

KUMBE TENA KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

VIONGOZI WA CCM WOTE HADI WENYE VITI WA VIJIJI KEA.SASA HUKO WALIKO NAO wanaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

MKUU WA IDARA anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

SASA NAJIULIZA wabunge hizi si ndio zilikuwa hoja za kupeleka bungeni zifanyiwe marekebisho badala.ya kupeleja hoja za kipuuzi eti miaka saba camoon

kuwe na mamlaka moja tuu ambayo maamuzi yake si mtu mmoja bali kamati tena kwa kujiridhisha kabisa na kusiwe na.mwana siasa kutia siasa zake za kishamba.kwenue taaluma ya mtu

mtu kapanda ngazi kea ngazi kupata nafasi.hiyo huenda kahudumu serikalini miaka.zaid ya 30 kwa uaminifu kabisa hadi.kufikia cheo hicho

halafu anakuja sijui mkuu wa.mkoa.sijui wilaya ambae hata kubalehe bado ndio kwanza katoka chuo.sijui sekondari.na.kupewa mkuu wa wilaya halafu ati.anakiwa na.mamlaka ya kufukuzisha watu kazi.... ptuuuu kinyaa hiki.

ona kama sasa mkuu wa mkoa sijui wilaya anaropoka tu eti kuanzia sasa bwana KKIMONDOA sio.DR wa wilaya tena kabidhi ofisi , yaani kirahisi tu kama anakata kimba choonishit!

nchi ya kipumbavu sana hii na hakuna maendeleo bika mifumo bora ya utawala

Mkuu wewe si ulikuwa ccm kindakindaki kulikoni?, mmeanza kujitambua?, hongera sana mkuu kwa Ku switch side
 
Ni sawa wala hakuna kilicho haribika hapo, hata mwalimu mkuu wa shule anauwezo wa kumuweka mtumishi wa umma ndani kwa masaa yasiyozidi 72.
 
Naunga mkono hoja, serikali hii kwa sasa kila mtu Ni kambale baba ndevu na watoto ndevu, kawapa mamlaka wafanye wanavyojisiki.

Kwa hiyo wafanyayo yana baraka kutoka kwa baba yao
 
Tatizo la nchi hasa kwa sasa ni mfumo, tungekuwa na mfumo haya yasingetokea. hata kiongozi wa mbio za mwenge! Shame! shimo letu naliona lileeeeeeeeeeeeeeee.
 
Uzuri huwa wakisomaga hoja za JF wanazifanyiaga kazi KIMYAKIMYA ama hadharani. Wamekusikia Mkuu..
 
MKURUGENZI anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

MKUU WA MKOA anaeeza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

MKUU WA WILAYA anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani

MWENYE KITI WA CCM MKOA anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

MWENYE KITI WA CCM WILAYA anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

KATIBU TAWALA MKOA anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

KATIBU TAWALA WILAYA anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

KUMBE TENA KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

VIONGOZI WA CCM WOTE HADI WENYE VITI WA VIJIJI KEA.SASA HUKO WALIKO NAO wanaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

MKUU WA IDARA anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

SASA NAJIULIZA wabunge hizi si ndio zilikuwa hoja za kupeleka bungeni zifanyiwe marekebisho badala.ya kupeleja hoja za kipuuzi eti miaka saba camoon

kuwe na mamlaka moja tuu ambayo maamuzi yake si mtu mmoja bali kamati tena kwa kujiridhisha kabisa na kusiwe na.mwana siasa kutia siasa zake za kishamba.kwenue taaluma ya mtu

mtu kapanda ngazi kea ngazi kupata nafasi.hiyo huenda kahudumu serikalini miaka.zaid ya 30 kwa uaminifu kabisa hadi.kufikia cheo hicho

halafu anakuja sijui mkuu wa.mkoa.sijui wilaya ambae hata kubalehe bado ndio kwanza katoka chuo.sijui sekondari.na.kupewa mkuu wa wilaya halafu ati.anakiwa na.mamlaka ya kufukuzisha watu kazi.... ptuuuu kinyaa hiki.

ona kama sasa mkuu wa mkoa sijui wilaya anaropoka tu eti kuanzia sasa bwana KKIMONDOA sio.DR wa wilaya tena kabidhi ofisi , yaani kirahisi tu kama anakata kimba choonishit!

nchi ya kipumbavu sana hii na hakuna maendeleo bika mifumo bora ya utawala
Kwa serikali ya ufedhuli kama hii...ni kama unampigia mbuzi gitaa.

Hata wabunge wenye akili wakipropose hilo watakuwepo tu ng'ombe kadhaa bungeni watakaosema ndioooo...!
 
MKURUGENZI anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

MKUU WA MKOA anaeeza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

MKUU WA WILAYA anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani

MWENYE KITI WA CCM MKOA anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

MWENYE KITI WA CCM WILAYA anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

KATIBU TAWALA MKOA anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

KATIBU TAWALA WILAYA anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

KUMBE TENA KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

VIONGOZI WA CCM WOTE HADI WENYE VITI WA VIJIJI KEA.SASA HUKO WALIKO NAO wanaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

MKUU WA IDARA anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

SASA NAJIULIZA wabunge hizi si ndio zilikuwa hoja za kupeleka bungeni zifanyiwe marekebisho badala.ya kupeleja hoja za kipuuzi eti miaka saba camoon

kuwe na mamlaka moja tuu ambayo maamuzi yake si mtu mmoja bali kamati tena kwa kujiridhisha kabisa na kusiwe na.mwana siasa kutia siasa zake za kishamba.kwenue taaluma ya mtu

mtu kapanda ngazi kea ngazi kupata nafasi.hiyo huenda kahudumu serikalini miaka.zaid ya 30 kwa uaminifu kabisa hadi.kufikia cheo hicho

halafu anakuja sijui mkuu wa.mkoa.sijui wilaya ambae hata kubalehe bado ndio kwanza katoka chuo.sijui sekondari.na.kupewa mkuu wa wilaya halafu ati.anakiwa na.mamlaka ya kufukuzisha watu kazi.... ptuuuu kinyaa hiki.

ona kama sasa mkuu wa mkoa sijui wilaya anaropoka tu eti kuanzia sasa bwana KKIMONDOA sio.DR wa wilaya tena kabidhi ofisi , yaani kirahisi tu kama anakata kimba choonishit!

nchi ya kipumbavu sana hii na hakuna maendeleo bika mifumo bora ya utawala
Ngoja kwanza watumishi wa umma waisome namba, ni zamu yao.
 
Ushaambiwa serikali ya Jeipiiemu umeskia wapi nchi zilizoendelea MTU kusema serikali in yake? Serikali huwa ni ya wananchi na ni kuvunja katiba pale MTU anaposema serikali ni yake
 
Lissu aliposema huyu ni dikteta uchwara watu wachache walimuelewa ila now ni wengi wameanza kuelewa maneno ya Lissu

Utawala wa kidikteta ndio huwa uko hivyo hakuna kufuata sheria wala katiba ya nchi
 
MKURUGENZI anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

MKUU WA MKOA anaeeza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

MKUU WA WILAYA anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani

MWENYE KITI WA CCM MKOA anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

MWENYE KITI WA CCM WILAYA anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

KATIBU TAWALA MKOA anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

KATIBU TAWALA WILAYA anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

KUMBE TENA KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

VIONGOZI WA CCM WOTE HADI WENYE VITI WA VIJIJI KEA.SASA HUKO WALIKO NAO wanaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

MKUU WA IDARA anaweza kumuamlia vyovyote mtumishi wa umma hata kutoa amri awekwe ndani kienyeji

SASA NAJIULIZA wabunge hizi si ndio zilikuwa hoja za kupeleka bungeni zifanyiwe marekebisho badala.ya kupeleja hoja za kipuuzi eti miaka saba camoon

kuwe na mamlaka moja tuu ambayo maamuzi yake si mtu mmoja bali kamati tena kwa kujiridhisha kabisa na kusiwe na.mwana siasa kutia siasa zake za kishamba.kwenue taaluma ya mtu

mtu kapanda ngazi kea ngazi kupata nafasi.hiyo huenda kahudumu serikalini miaka.zaid ya 30 kwa uaminifu kabisa hadi.kufikia cheo hicho

halafu anakuja sijui mkuu wa.mkoa.sijui wilaya ambae hata kubalehe bado ndio kwanza katoka chuo.sijui sekondari.na.kupewa mkuu wa wilaya halafu ati.anakiwa na.mamlaka ya kufukuzisha watu kazi.... ptuuuu kinyaa hiki.

ona kama sasa mkuu wa mkoa sijui wilaya anaropoka tu eti kuanzia sasa bwana KKIMONDOA sio.DR wa wilaya tena kabidhi ofisi , yaani kirahisi tu kama anakata kimba choonishit!

nchi ya kipumbavu sana hii na hakuna maendeleo bika mifumo bora ya utawala
Dada yangu wewe ndo unashangaa leo?
Tanzania ni kuzimu,watu wenye dhambi wakifa ulaya wanaibukia Tanzania,Central Africa,Sudan kusini ambazo ndo kuzimu halisi.
 
Mi ningewashauri muhame hii nchi ya wapumbavu ikishanyooka mtarudi hivi sasa mtaumia bure mioyoni hakuna wa kuwasikiliza wala kusikiliza waraka na mzee sometimes anawacheka tu hiiiiiiiii!
Hatuwezi kuhama kwa sababu ya nyoka mmoja aliye ndani,tutaponda kichwa chake na kumtupa huko kisha upumbavu wa nchi utaisha na tutaendelea kuishi.
 
Back
Top Bottom