Ni nani wa kulaumiwa kwa hii katiba iliyopo inayotutesa wananchi?

Mzee wa Twitter

JF-Expert Member
Nov 5, 2023
1,283
2,043
Wananchi wenzangu nawasalimu.

Nimekuwa naisoma KATIBA iliyopo karibu kila siku na kuwasikiliza Wanasheria mbalimbali wakiichambua na kubaini Mapungufu mengi ambayo YANATUTESA SANA wananchi.

Najiuliza ni NANI aliitunga hii KATIBA inayotupa WANANCHI MAUMIVU kiasi hiki na KUWANUFAISHA WATAWALA kiasi cha kutotaka kabisa KUIBADILISHA Kama Wananchi Wanavyotaka?

Kwanini WATAWALA hawataki MABADILIKO ya KATIBA wanaogopa NINI?

Ni vema Tukamjua/wajua walioitunga KATIBA Hii ili hata Mbinguni tukifika TUWATAJE kwa Mwenyezi MUNGU.
 
Katiba hii ilitungwa mwaka 1977.
Nadhani unajua mwaka huo rais wa nchi alikuwa nani.

Mwanzoni mwa miaka ya 90, Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya rais ya mfumo wa siasa za vyama vingi Jaji Mkuu wa wakati huo, Francis Nyalali akiwasilisha mapendekezo ya Tume yake , aliishauri serikali ibadirishe Katiba hiyo ili iendane na mfumo wa siasa za kidemokrasia.

Hata hivyo tangu wakati huo kila rais anayengia anaapa kuitii na kuilinda, anamaliza muda wake anaondoka.

Kwenye mkutano wa pamoja wa vyama vya upinzani uliofanyika Jangwani mwaka 1993, Aliyekuwa Mwenyekiti wa chama cha TLP Leo Lwekamwa, aliitupa chini Katiba hii akaikanyaga kanyaga kwa miguu yake kuonyesha hasira ya kuwa na Katiba ya ovyo (kama alivyokaliliwa).

Kitendo hicho kimemsababishia kesi ya jinai

Toka wakati huo mpaka sasa zaidi ya miaka 30 imepita, lakini Katiba hiyo bado tunayo.

"Mungu ibariki Tanzania"
 
Wananchi wenzangu nawasalimu.Nimekuwa naisoma KATIBA iliyopo karibu kila siku na kuwasikiliza Wanasheria mbalimbali wakiichambua na kubaini Mapungufu mengi ambayo YANATUTESA SANA wananchi.
Najiuliza ni NANI aliitunga hii KATIBA inayotupa WANANCHI MAUMIVU kiasi hiki na KUWANUFAISHA WATAWALA kiasi cha kutotaka kabisa KUIBADILISHA Kama Wananchi Wanavyotaka?Kwanini WATAWALA hawataki MABADILIKO ya KATIBA wanaogopa NINI?
Ni vema Tukamjua/wajua walioitunga KATIBA Hii ili hata Mbinguni tukifika TUWATAJE kwa Mwenyezi MUNGU.

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Wakulaumiwa sio walioitemgeneza bali ni wale wanaojiita Wazalendo huku wakijua ni mbovu ila tu kwa maslahi yao.

Magufuli alijinadi Mzalendo kumbe ilikuwa Bosheni tu
 
Wananchi wenzangu nawasalimu.Nimekuwa naisoma KATIBA iliyopo karibu kila siku na kuwasikiliza Wanasheria mbalimbali wakiichambua na kubaini Mapungufu mengi ambayo YANATUTESA SANA wananchi.
Najiuliza ni NANI aliitunga hii KATIBA inayotupa WANANCHI MAUMIVU kiasi hiki na KUWANUFAISHA WATAWALA kiasi cha kutotaka kabisa KUIBADILISHA Kama Wananchi Wanavyotaka?Kwanini WATAWALA hawataki MABADILIKO ya KATIBA wanaogopa NINI?
Ni vema Tukamjua/wajua walioitunga KATIBA Hii ili hata Mbinguni tukifika TUWATAJE kwa Mwenyezi MUNGU.

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Ni sawa tu.
 
Katiba hii ilitungwa mwaka 1977.
Nadhani unajua mwaka huo rais wa nchi alikuwa nani.
Mwanzoni mwa miaka ya 90, Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya rais ya mfumo wa siasa za vyama vingi Jaji Mkuu wa wakati huo, Francis Nyalali akiwasilisha mapendekezo ya Tume yake , aliishauri serikali ibadirishe Katiba hiyo ili iendane na mfumo wa siasa za kidemokrasia.
Hata hivyo tangu wakati huo kila rais anayengia anaapa kuitii na kuilinda, anamaliza muda wake anaondoka.
Kwenye mkutano wa pamoja wa vyama vya upinzani uliofanyika Jangwani mwaka 1993, Aliyekuwa Mwenyekiti wa chama cha TLP Leo Lwekamwa, aliitupa chini Katiba hii akaikanyaga kanyaga kwa miguu yake kuonyesha hasira ya kuwa na Katiba ya ovyo (kama alivyokaliliwa).
Kitendo hicho kimemsababishia kesi ya jinai,
Toka wakati huo mpaka sasa zaidi ya miaka 30 imepita, lakini Katiba hiyo bado tunayo.
"Mungu ibariki Tanzania"
Hio jinai alihukumiwa au ilikuwa ni kuyafurahisha magazeti tu
 
Wananchi wenzangu nawasalimu.Nimekuwa naisoma KATIBA iliyopo karibu kila siku na kuwasikiliza Wanasheria mbalimbali wakiichambua na kubaini Mapungufu mengi ambayo YANATUTESA SANA wananchi.
Najiuliza ni NANI aliitunga hii KATIBA inayotupa WANANCHI MAUMIVU kiasi hiki na KUWANUFAISHA WATAWALA kiasi cha kutotaka kabisa KUIBADILISHA Kama Wananchi Wanavyotaka?Kwanini WATAWALA hawataki MABADILIKO ya KATIBA wanaogopa NINI?
Ni vema Tukamjua/wajua walioitunga KATIBA Hii ili hata Mbinguni tukifika TUWATAJE kwa Mwenyezi MUNGU.

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Mimi naona tujilaumu wenyewe kwasababu tumeshindwa kujitambua na kuiwajibisha serikali. Makundi,vyama vya siasa na wanaharakati wametuhamasisha vyakutosha kuhusu katiba mpya lakini sisi wananchi hatuamki tunadhani kwamba katiba mpya ni matakwa ya wanasiasa. Siibezi ya mwanzo na iliyopo kwani ilifaa kwa kipindi hicho cha nyuma lakini nyakati hizi hapana.
Watanzania tuamke, tunaweza
 
Katiba hii ilitungwa mwaka 1977.
Nadhani unajua mwaka huo rais wa nchi alikuwa nani.
Mwanzoni mwa miaka ya 90, Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya rais ya mfumo wa siasa za vyama vingi Jaji Mkuu wa wakati huo, Francis Nyalali akiwasilisha mapendekezo ya Tume yake , aliishauri serikali ibadirishe Katiba hiyo ili iendane na mfumo wa siasa za kidemokrasia.
Hata hivyo tangu wakati huo kila rais anayengia anaapa kuitii na kuilinda, anamaliza muda wake anaondoka.
Kwenye mkutano wa pamoja wa vyama vya upinzani uliofanyika Jangwani mwaka 1993, Aliyekuwa Mwenyekiti wa chama cha TLP Leo Lwekamwa, aliitupa chini Katiba hii akaikanyaga kanyaga kwa miguu yake kuonyesha hasira ya kuwa na Katiba ya ovyo (kama alivyokaliliwa).
Kitendo hicho kimemsababishia kesi ya jinai,
Toka wakati huo mpaka sasa zaidi ya miaka 30 imepita, lakini Katiba hiyo bado tunayo.
"Mungu ibariki Tanzania"
MUNGU hawezi kuibariki Tanzania kwani Uonevu na kujipendelea kwa viongozi kupitia Ubovu wa Katiba hii MUNGU hakumpendezi ndio maana tuna kila Raslimali lakini Hazitunufaishi

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Wananchi wenzangu nawasalimu.Nimekuwa naisoma KATIBA iliyopo karibu kila siku na kuwasikiliza Wanasheria mbalimbali wakiichambua na kubaini Mapungufu mengi ambayo YANATUTESA SANA wananchi.
Najiuliza ni NANI aliitunga hii KATIBA inayotupa WANANCHI MAUMIVU kiasi hiki na KUWANUFAISHA WATAWALA kiasi cha kutotaka kabisa KUIBADILISHA Kama Wananchi Wanavyotaka?Kwanini WATAWALA hawataki MABADILIKO ya KATIBA wanaogopa NINI?
Ni vema Tukamjua/wajua walioitunga KATIBA Hii ili hata Mbinguni tukifika TUWATAJE kwa Mwenyezi MUNGU.

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Wakulaumiwa ni Nyerere na genge lake
 
Katiba hii ilitungwa mwaka 1977.
Nadhani unajua mwaka huo rais wa nchi alikuwa nani.
Mwanzoni mwa miaka ya 90, Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya rais ya mfumo wa siasa za vyama vingi Jaji Mkuu wa wakati huo, Francis Nyalali akiwasilisha mapendekezo ya Tume yake , aliishauri serikali ibadirishe Katiba hiyo ili iendane na mfumo wa siasa za kidemokrasia.
Hata hivyo tangu wakati huo kila rais anayengia anaapa kuitii na kuilinda, anamaliza muda wake anaondoka.
Kwenye mkutano wa pamoja wa vyama vya upinzani uliofanyika Jangwani mwaka 1993, Aliyekuwa Mwenyekiti wa chama cha TLP Leo Lwekamwa, aliitupa chini Katiba hii akaikanyaga kanyaga kwa miguu yake kuonyesha hasira ya kuwa na Katiba ya ovyo (kama alivyokaliliwa).
Kitendo hicho kimemsababishia kesi ya jinai,
Toka wakati huo mpaka sasa zaidi ya miaka 30 imepita, lakini Katiba hiyo bado tunayo.
"Mungu ibariki Tanzania"
Alifungwa au yupo wapi?
 
Mimi naona tujilaumu wenyewe kwasababu tumeshindwa kujitambua na kuiwajibisha serikali. Makundi,vyama vya siasa na wanaharakati wametuhamasisha vyakutosha kuhusu katiba mpya lakini sisi wananchi hatuamki tunadhani kwamba katiba mpya ni matakwa ya wanasiasa. Siibezi ya mwanzo na iliyopo kwani ilifaa kwa kipindi hicho cha nyuma lakini nyakati hizi hapana.
Watanzania tuamke, tunaweza
Upewe maua yako
 
Wananchi pia,

Wananchi nao wengi hawajitambui.

Bado wamelala kwenye usingizi wa pono!

Kwenye nchi za wananchi wanakojitambua Viongozi hawafanyi vyovyote,

Hakuna kusifia Viongozi na uchawa,

Wananchi wanapaswa Kuwa optimistic.
 
Back
Top Bottom