tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikifatilia makala zake toka alipokuwa akiandikia Mwanahalisi na sasa Mawio!!
Ni mwandishi ambaye anaonesha kuwa na uelewa mkubwa kuhusu chama cha Mapinduzi, kilipotoka mpaka sasa na kinapoenda.
Je Kondo Tutindaga ni nani ndani ya CCM? Kama kuna mtu ana taharifa zake napenda kuzifahamu zaidi
cc. Pasco
Ni mwandishi ambaye anaonesha kuwa na uelewa mkubwa kuhusu chama cha Mapinduzi, kilipotoka mpaka sasa na kinapoenda.
Je Kondo Tutindaga ni nani ndani ya CCM? Kama kuna mtu ana taharifa zake napenda kuzifahamu zaidi
cc. Pasco
Last edited by a moderator: