Ni Nani hasa Mwenyeji wa Zanzibar? Je, ni Muafrika, Muarabu, Mshirazi au wote?

Mzanzibari Huru

JF-Expert Member
Apr 17, 2014
373
225
Ndugu Wana Jukwaa

Kuna maneno mengi yasioningia katika mizani ya akili yanayozungumzwa na watu hasa wenye asili ya Tanganyika kuhusu Zanzibar na Uzanzibari. Watu wamekuwa wakiunda historia ya zanzibar kutoka katika hisia na wivu wao binafsi. Historia ya kuunga unga vipande, historia isio na kichwa wala miguu.

Ikiwa unahaitaji kuijuwa Zanzibr na Wazanzibari, soma hadi mwisho

Mtu wa mwanzo kabisa kuweka mguu wake katika ardhi ya Visiwa vya Zanzibar ni wa Iran and waarabu. Ukitaka kujuwa hilo tizama katika picha na vifaa vya kale. Kwahivo Zanzibar imejengwa na kuimarishwa na waarabu na wairani. Ni haki kabisa kusema kwamba Zanzibar ni sehemu ya Urabuni. Hilo si ajabu kwasababu ndani ya Afrika zipo nchi za Kiarabu. Kwahivyo wachilia mbali kwamba Zanzibar iko pembeni kwa Afrika. Muafrika wa kwanza kufika Zanzibar katika wanaume aliletwa kwa ajili ya kuimarisha kilimo kwasababu waafrika walionekana ni wakulima mahiri sana na katika wanawake waliletwa kwa ajili ya kuolewa. Hakuna Mtanganyika au Muafrika yoyote Zanzibar alokuja kwa hiyari yake katika miaka ya mwanzoni ya karne za 13, 14, 15, 16 na 17 hata mwanzoni mwa karne ya 18

Kwanini Waarabu na Wa Irani ndio walikuja mwanzo Zanzibar?

Kwasababu watu wa Tanganyika walikuwa hawana sababu yoyote ya kuvuuka bahari na kuja Zanzibar. Watanganyika walikuwa na maisha yao yanayowatosha wenyewe, matunda, kilimo na wanyama. Na hakuna ushahidi wowote kwamba watanganyika walikuwa wakiunda majahazi au kama walikuwa ni mabaharia kama vile walivyokuwa Waarbu na Wa Irani.

Nani Kaitwala Zanzibar katika historia

Waarabu walifanya utawala wa kwanza na bora sana Zanzibar. Na nakuombeni musibabaishwe na majina ya watawala wa zamani wenye majina kama vile Mkama ndume an Mwinyi Mkuu, wote hao walikuwa waarabu. Katika utawala bora wa Zanzibar maendeleo yakawa makubwa watawala wakaona haja ya kuitanua dola ya zanzibar, ndio Tanganyika na nchi zote za afrika mashariki ikiwemo na DRC na Mozambique zikawa katika Zenj empire. Neema kubwa zilipatika kwa kufikiwa na utawala bora, watu wengi kwa mara ya kwanza wakafundishwa kuvaa nguo na usafi na mengineo.

Kwanini kuna Wazanzibari weusi?

Baada ya maisha kuanza, watu wa Zanzibar (waarabu na wairani) wakawa wanahitajia kuowa ndio hapo walipoanza kulekea mrima kutafuta wachumba. Bagamoyo, Kilwa kivinje na kwengineko. Hilo lililetea kupatika wazanzibari wenye rangi nyeusi. Marco Polo alipofika zanzibar alikuta wenyeji wa hapo ni weusi wenye nywele za singa.

Maisha bora yalikuwa zanzibar

zanzibar chini ya uongozi shupavu wa waarabu ilifika mbali kimaisha. Zanzibar ilikuwa na simu majumbani manano mwaka 1886, undersea cable zilitoka znz kupita Aden hadi London. Zanzibar ilikuwa nchi ya Mwanzo Afrika kutumia elevator, pale Beit el Jaibu. Zanzibar ilikuwa nchi ya tatu kutumi aumeme duniani.

Elimu ilikuwa kubwa sana zanzibar hata NASA waliweka tracking station Zanzibar. Zanzibar ilikuwa nchi tajiri sana katika Africa, wafanyakazi wa zanzibari walikuwa wakisafiri kama watalii wakati wakipata likizo zao makazini. Gari la kwanza kutembea Kuwait lilinunuliwa Zanzibar, nchi za Uarabubi zilikuwa zinakuja znz kununua vyakula na nguo kama leo tunavyokwenda Dubai sasa.

Zanzibar ilikuwa nchi huru ndio maana waafrika waliokuja kufanyakazi na kutafuta maisha yao tu waliachiliwa kuingia katika siasa, kosa kubwa sana hilo. Wakafanya mapunduzi na kuuwa wazanzibari 17,000 usiku mmoja. Baada ya hapo Zanzibar inaakza kufa kidogo kidogo. Leo hii watuna tena chetu,
 
Kabla ya kuja waarabu hapo kisiwani! Kulikuwa na watu gani?ukipata jibu hapo
Basi

Ova
 
Mtoa mada anapotosha, sijui kama anajua kuwa hakuna watu wanaoitwa Wairan. Iran kuna waajemi, waarabu, wayahudi na waazeri. Hoja ya kuwa wa kwanza kuwa na umeme, lift au simu ni hoja mufilisi.

Unaposema waafrika walikuja Zanzibar unataka kumaamisha kuwa waafrika walivamia waarabu? Zanzibar ilikuwa tajiri mwaka 1886? Utajiri ulitokana na nini?
 
Bar nyingi ziliyokuwepo zenji Ndio wakaita Zenjibar baadae kukawa na pombe iliyokuja kuwa maarufu ikiitwa Zanzi hivyo mtu akitaka Pombe ya Zanzi anaambiwa aende Bar ndio ikawa kuwa Zanzibar
 
Mtahangakai sana, Zanzibar ni ya waafrika 'watu weusi'

Na hata kiasili, kimazingira inafanana na pwani ya Afrika, na ilimeguka kutoka bara Afrika miaki milioni kadhaa iliyopita
 
Mtoa mada anapotosha, sijui kama anajua kuwa hakuna watu wanaoitwa Wairan. Iran kuna waajemi, waarabu, wayahudi na waazeri. Hoja ya kuwa wa kwanza kuwa na umeme, lift au simu ni hoja mufilisi.

Unaposema waafrika walikuja Zanzibar unataka kumaamisha kuwa waafrika walivamia waarabu? Zanzibar ilikuwa tajiri mwaka 1886? Utajiri ulitokana na nini?

tatizo lako unalazimisha kuchambua jambo ambalo hulifahamu kabisa. Katafute history ya Zanzibar ya 1800's ndio utafahamu
 
Historia yako haijakamilika pale ulipoacha kutaja kuwa Zanzibar ndio ilikua nchi ya kwanza Africa kuwa na TV yenye rangi tofauti na B/W mwaka 1973
 
tatizo lako unalazimisha kuchambua jambo ambalo hulifahamu kabisa. Katafute history ya Zanzibar ya 1800's ndio utafahamu
Usifikiri historia ya Zanzibar ni ile mliyoiandika waarabu miaka ya 1800's, Zanzibar ilikuwepo kabla mwarabau hajaja. Huwezi kunilazimisha nisome historia uliyoandika wewe kuhusu mimi. Usifikiri watu wajinga na hawaii kuwa Zanzibar imekuwepo hata kabla ya miaka hiyo unayotaja wewe. Tafuta na some historia ya Zanzibar kabla ya 1800's.
 
Weka picha
Mwinyi Mkuu.jpg

Mwinyi Mkuu

Huyu alikuwa katika mji mkuu siku zile Unguja Ukuu.
 
Kabla ya kuja waarabu hapo kisiwani! Kulikuwa na watu gani?ukipata jibu hapo
Bas
Kabla ya kufikiwa na Hassan Bin Alli na watoto wake saba, Zanzibar ilikuwa tupu hakuna mtu hata mmoja. Kumbuka kwamba Zanzibar ni visiwa na nilazima uvuke bahari kuvifika. Waafrika wa Afrika Mashariki kazi zao ilikuwa kuwinda na kulima sio kuunda majahazi. Siamini pia kwamba waliweza kuogelea baharini wakafika Zanzibar.

Pia kusafiri kwa miaka ile ilitokana na utashi wa kutaka kukusanya mali zaidi, watanganyika leo hii hawaijali mali yao unadhani walikuwa na utashi wa kutafuta mali zaidi katika maelefu ya miaka iliyopita? Besides, Zanzibar haikuwa na mali yoyote isipokuwa majahazi yalikuwa yakuchukuwa maji tu hapo miaka hiyo. Mtanganyika alikuwa hana shida na maji ya Zanzibar kipindi hicho.

Muafrika wa kwanza kufika znz aliletwa kwa ajili ya kazi tu.
 
Mtu wa mwanzo kabisa kuweka mguu wake katika ardhi ya Visiwa vya Zanzibar ni wa Iran and waarabu. Ukitaka kujuwa hilo tizama katika picha na vifaa vya kale. Kwahivo Zanzibar imejengwa na kuimarishwa na waarabu na wairani. Ni haki kabisa kusema kwamba Zanzibar ni sehemu ya Urabuni. Hilo si ajabu kwasababu ndani ya Afrika zipo nchi za Kiarabu. Kwahivyo wachilia mbali kwamba Zanzibar iko pembeni kwa Afrika. Muafrika wa kwanza kufika Zanzibar katika wanaume aliletwa kwa ajili ya kuimarisha kilimo kwasababu waafrika walionekana ni wakulima mahiri sana na katika wanawake waliletwa kwa ajili ya kuolewa. Hakuna Mtanganyika au Muafrika yoyote Zanzibar alokuja kwa hiyari yake katika miaka ya mwanzoni ya karne za 13, 14, 15, 16 na 17 hata mwanzoni mwa karne ya 18
Aiiseeee!

Sasa ndio umekoleza kabisa Zanzibar ikombolewe.
MAPINDUZI DAIMA!

Sikujua kwamba dunia hii ya leo bado kutakuwa na watu wenye mawazo potofu kama haya.

Karne hii bado unamwangalia binaadam mwenzako, Mwafrika kama sio binaadam?

Unaelewa kweli ulichoandika hapa wewe?

Naendelea kukusoma hadi MWISHO.
 
Historia yako haijakamilika pale ulipoacha kutaja kuwa Zanzibar ndio ilikua nchi ya kwanza Africa kuwa na TV yenye rangi tofauti na B/W mwaka 1973
Haya ya kuwa na Tv ya rangi na uwanja wa mpia wenye tatan yalitokea kwasababu uwezo wa kielimu na kifikira walibebeshwa wazanzibar na wageni waliosomeshwa zanzbar ndani ya seriakli adhimu na tukufu ya kifamle.
Weka picha
Mkama Ndume Ruins.jpg

Mkama Ndume Ruins Pujini Pemba

Labda sitokuwa na haja ya kukueleza kwamba nyumba kama hizo hazikuwa ni utamaduni wa Kiafrika, bali zinaonesha utamaduni ya Kiarabu na wa Kiajemi
 
Ndugu Wana Jukwaa

Kuna maneno mengi yasioningia katika mizani ya akili yanayozungumzwa na watu hasa wenye asili ya Tanganyika kuhusu Zanzibar na Uzanzibari. Watu wamekuwa wakiunda historia ya zanzibar kutoka katika hisia na wivu wao binafsi. Historia ya kuunga unga vipande, historia isio na kichwa wala miguu.

Ikiwa unahaitaji kuijuwa Zanzibr na Wazanzibari, soma hadi mwisho

Mtu wa mwanzo kabisa kuweka mguu wake katika ardhi ya Visiwa vya Zanzibar ni wa Iran and waarabu. Ukitaka kujuwa hilo tizama katika picha na vifaa vya kale. Kwahivo Zanzibar imejengwa na kuimarishwa na waarabu na wairani. Ni haki kabisa kusema kwamba Zanzibar ni sehemu ya Urabuni. Hilo si ajabu kwasababu ndani ya Afrika zipo nchi za Kiarabu. Kwahivyo wachilia mbali kwamba Zanzibar iko pembeni kwa Afrika. Muafrika wa kwanza kufika Zanzibar katika wanaume aliletwa kwa ajili ya kuimarisha kilimo kwasababu waafrika walionekana ni wakulima mahiri sana na katika wanawake waliletwa kwa ajili ya kuolewa. Hakuna Mtanganyika au Muafrika yoyote Zanzibar alokuja kwa hiyari yake katika miaka ya mwanzoni ya karne za 13, 14, 15, 16 na 17 hata mwanzoni mwa karne ya 18

Kwanini Waarabu na Wa Irani ndio walikuja mwanzo Zanzibar?

Kwasababu watu wa Tanganyika walikuwa hawana sababu yoyote ya kuvuuka bahari na kuja Zanzibar. Watanganyika walikuwa na maisha yao yanayowatosha wenyewe, matunda, kilimo na wanyama. Na hakuna ushahidi wowote kwamba watanganyika walikuwa wakiunda majahazi au kama walikuwa ni mabaharia kama vile walivyokuwa Waarbu na Wa Irani.

Nani Kaitwala Zanzibar katika historia

Waarabu walifanya utawala wa kwanza na bora sana Zanzibar. Na nakuombeni musibabaishwe na majina ya watawala wa zamani wenye majina kama vile Mkama ndume an Mwinyi Mkuu, wote hao walikuwa waarabu. Katika utawala bora wa Zanzibar maendeleo yakawa makubwa watawala wakaona haja ya kuitanua dola ya zanzibar, ndio Tanganyika na nchi zote za afrika mashariki ikiwemo na DRC na Mozambique zikawa katika Zenj empire. Neema kubwa zilipatika kwa kufikiwa na utawala bora, watu wengi kwa mara ya kwanza wakafundishwa kuvaa nguo na usafi na mengineo.

Kwanini kuna Wazanzibari weusi?

Baada ya maisha kuanza, watu wa Zanzibar (waarabu na wairani) wakawa wanahitajia kuowa ndio hapo walipoanza kulekea mrima kutafuta wachumba. Bagamoyo, Kilwa kivinje na kwengineko. Hilo lililetea kupatika wazanzibari wenye rangi nyeusi. Marco Polo alipofika zanzibar alikuta wenyeji wa hapo ni weusi wenye nywele za singa.

Maisha bora yalikuwa zanzibar

zanzibar chini ya uongozi shupavu wa waarabu ilifika mbali kimaisha. Zanzibar ilikuwa na simu majumbani manano mwaka 1886, undersea cable zilitoka znz kupita Aden hadi London. Zanzibar ilikuwa nchi ya Mwanzo Afrika kutumia elevator, pale Beit el Jaibu. Zanzibar ilikuwa nchi ya tatu kutumi aumeme duniani.

Elimu ilikuwa kubwa sana zanzibar hata NASA waliweka tracting station Zanzibar. Zanzibar ilikuwa nchi tajiri sana katika Africa, wafanyakazi wa zanzibari walikuwa wakisafiri kama watalii wakati wakipata likizo zao makazini. Gari la kwanza kutembea Kuwait lilinunuliwa Zanzibar, nchi za Uarabubi zilikuwa zinakuja znz kununua vyakula na nguo kama leo tunavyokwenda Dubai sasa.

Zanzibar ilikuwa nchi huru ndio maana waafrika waliokuja kufanyakazi na kutafuta maisha yao tu waliachiliwa kuingia katika siasa, kosa kubwa sana hilo. Wakafanya mapunduzi na kuuwa wazanzibari 17,000 usiku mmoja. Baada ya hapo Zanzibar inaakza kufa kidogo kidogo. Leo hii watuna tena chetu,
Ahsante sana kwa makala hii.

Mara nyingi huwa ninajiuliza, hivi huu muungano wetu mbona una kelele nyingi hivi. Sasa sina shaka yoyote na mahala kelele zinapotoka.

Bila shaka, wengi watakaoisoma hii makala wataielewa barabara kama nilivyoielewa mimi.

Sijui kama kutakuwepo na mzalendo yeyote wa nchi hii atakayekuwa na mashaka zaidi tena juu ya hatma ya nchi yetu Tanzania.

Ni hivi: Iwe Wazanzibar au Wazanzibara - Hawa wazanzibara hata kama hawakuwepo huko wakati babu zako wakivamia ardhi ya waafrika toka mbali huko kwao, sasa hivi hawa wazanzibara Zanzibar ni yao, Tanzania ni yao.
Huna njia tena ya kuwaondoa hapo walipo hata kama hawakuwepo hapo mwanzo kama unavyodai wewe.

Huwezi kuwafukuza, huwezi kuwafanya watwana/watumwa tena na wala huwezi kuwaua wote ili ubaki na Zanzibar.

Sasa ni juu yako ukubali wewe kuwa mtumwa wa hawa uliowafanya watumwa wako enzi za babu yako.

TANZANIA ITADUMU MILELE.
 
Back
Top Bottom