Mzanzibari Huru
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 373
- 225
Ndugu Wana Jukwaa
Kuna maneno mengi yasioningia katika mizani ya akili yanayozungumzwa na watu hasa wenye asili ya Tanganyika kuhusu Zanzibar na Uzanzibari. Watu wamekuwa wakiunda historia ya zanzibar kutoka katika hisia na wivu wao binafsi. Historia ya kuunga unga vipande, historia isio na kichwa wala miguu.
Ikiwa unahaitaji kuijuwa Zanzibr na Wazanzibari, soma hadi mwisho
Mtu wa mwanzo kabisa kuweka mguu wake katika ardhi ya Visiwa vya Zanzibar ni wa Iran and waarabu. Ukitaka kujuwa hilo tizama katika picha na vifaa vya kale. Kwahivo Zanzibar imejengwa na kuimarishwa na waarabu na wairani. Ni haki kabisa kusema kwamba Zanzibar ni sehemu ya Urabuni. Hilo si ajabu kwasababu ndani ya Afrika zipo nchi za Kiarabu. Kwahivyo wachilia mbali kwamba Zanzibar iko pembeni kwa Afrika. Muafrika wa kwanza kufika Zanzibar katika wanaume aliletwa kwa ajili ya kuimarisha kilimo kwasababu waafrika walionekana ni wakulima mahiri sana na katika wanawake waliletwa kwa ajili ya kuolewa. Hakuna Mtanganyika au Muafrika yoyote Zanzibar alokuja kwa hiyari yake katika miaka ya mwanzoni ya karne za 13, 14, 15, 16 na 17 hata mwanzoni mwa karne ya 18
Kwanini Waarabu na Wa Irani ndio walikuja mwanzo Zanzibar?
Kwasababu watu wa Tanganyika walikuwa hawana sababu yoyote ya kuvuuka bahari na kuja Zanzibar. Watanganyika walikuwa na maisha yao yanayowatosha wenyewe, matunda, kilimo na wanyama. Na hakuna ushahidi wowote kwamba watanganyika walikuwa wakiunda majahazi au kama walikuwa ni mabaharia kama vile walivyokuwa Waarbu na Wa Irani.
Nani Kaitwala Zanzibar katika historia
Waarabu walifanya utawala wa kwanza na bora sana Zanzibar. Na nakuombeni musibabaishwe na majina ya watawala wa zamani wenye majina kama vile Mkama ndume an Mwinyi Mkuu, wote hao walikuwa waarabu. Katika utawala bora wa Zanzibar maendeleo yakawa makubwa watawala wakaona haja ya kuitanua dola ya zanzibar, ndio Tanganyika na nchi zote za afrika mashariki ikiwemo na DRC na Mozambique zikawa katika Zenj empire. Neema kubwa zilipatika kwa kufikiwa na utawala bora, watu wengi kwa mara ya kwanza wakafundishwa kuvaa nguo na usafi na mengineo.
Kwanini kuna Wazanzibari weusi?
Baada ya maisha kuanza, watu wa Zanzibar (waarabu na wairani) wakawa wanahitajia kuowa ndio hapo walipoanza kulekea mrima kutafuta wachumba. Bagamoyo, Kilwa kivinje na kwengineko. Hilo lililetea kupatika wazanzibari wenye rangi nyeusi. Marco Polo alipofika zanzibar alikuta wenyeji wa hapo ni weusi wenye nywele za singa.
Maisha bora yalikuwa zanzibar
zanzibar chini ya uongozi shupavu wa waarabu ilifika mbali kimaisha. Zanzibar ilikuwa na simu majumbani manano mwaka 1886, undersea cable zilitoka znz kupita Aden hadi London. Zanzibar ilikuwa nchi ya Mwanzo Afrika kutumia elevator, pale Beit el Jaibu. Zanzibar ilikuwa nchi ya tatu kutumi aumeme duniani.
Elimu ilikuwa kubwa sana zanzibar hata NASA waliweka tracking station Zanzibar. Zanzibar ilikuwa nchi tajiri sana katika Africa, wafanyakazi wa zanzibari walikuwa wakisafiri kama watalii wakati wakipata likizo zao makazini. Gari la kwanza kutembea Kuwait lilinunuliwa Zanzibar, nchi za Uarabubi zilikuwa zinakuja znz kununua vyakula na nguo kama leo tunavyokwenda Dubai sasa.
Zanzibar ilikuwa nchi huru ndio maana waafrika waliokuja kufanyakazi na kutafuta maisha yao tu waliachiliwa kuingia katika siasa, kosa kubwa sana hilo. Wakafanya mapunduzi na kuuwa wazanzibari 17,000 usiku mmoja. Baada ya hapo Zanzibar inaakza kufa kidogo kidogo. Leo hii watuna tena chetu,
Kuna maneno mengi yasioningia katika mizani ya akili yanayozungumzwa na watu hasa wenye asili ya Tanganyika kuhusu Zanzibar na Uzanzibari. Watu wamekuwa wakiunda historia ya zanzibar kutoka katika hisia na wivu wao binafsi. Historia ya kuunga unga vipande, historia isio na kichwa wala miguu.
Ikiwa unahaitaji kuijuwa Zanzibr na Wazanzibari, soma hadi mwisho
Mtu wa mwanzo kabisa kuweka mguu wake katika ardhi ya Visiwa vya Zanzibar ni wa Iran and waarabu. Ukitaka kujuwa hilo tizama katika picha na vifaa vya kale. Kwahivo Zanzibar imejengwa na kuimarishwa na waarabu na wairani. Ni haki kabisa kusema kwamba Zanzibar ni sehemu ya Urabuni. Hilo si ajabu kwasababu ndani ya Afrika zipo nchi za Kiarabu. Kwahivyo wachilia mbali kwamba Zanzibar iko pembeni kwa Afrika. Muafrika wa kwanza kufika Zanzibar katika wanaume aliletwa kwa ajili ya kuimarisha kilimo kwasababu waafrika walionekana ni wakulima mahiri sana na katika wanawake waliletwa kwa ajili ya kuolewa. Hakuna Mtanganyika au Muafrika yoyote Zanzibar alokuja kwa hiyari yake katika miaka ya mwanzoni ya karne za 13, 14, 15, 16 na 17 hata mwanzoni mwa karne ya 18
Kwanini Waarabu na Wa Irani ndio walikuja mwanzo Zanzibar?
Kwasababu watu wa Tanganyika walikuwa hawana sababu yoyote ya kuvuuka bahari na kuja Zanzibar. Watanganyika walikuwa na maisha yao yanayowatosha wenyewe, matunda, kilimo na wanyama. Na hakuna ushahidi wowote kwamba watanganyika walikuwa wakiunda majahazi au kama walikuwa ni mabaharia kama vile walivyokuwa Waarbu na Wa Irani.
Nani Kaitwala Zanzibar katika historia
Waarabu walifanya utawala wa kwanza na bora sana Zanzibar. Na nakuombeni musibabaishwe na majina ya watawala wa zamani wenye majina kama vile Mkama ndume an Mwinyi Mkuu, wote hao walikuwa waarabu. Katika utawala bora wa Zanzibar maendeleo yakawa makubwa watawala wakaona haja ya kuitanua dola ya zanzibar, ndio Tanganyika na nchi zote za afrika mashariki ikiwemo na DRC na Mozambique zikawa katika Zenj empire. Neema kubwa zilipatika kwa kufikiwa na utawala bora, watu wengi kwa mara ya kwanza wakafundishwa kuvaa nguo na usafi na mengineo.
Kwanini kuna Wazanzibari weusi?
Baada ya maisha kuanza, watu wa Zanzibar (waarabu na wairani) wakawa wanahitajia kuowa ndio hapo walipoanza kulekea mrima kutafuta wachumba. Bagamoyo, Kilwa kivinje na kwengineko. Hilo lililetea kupatika wazanzibari wenye rangi nyeusi. Marco Polo alipofika zanzibar alikuta wenyeji wa hapo ni weusi wenye nywele za singa.
Maisha bora yalikuwa zanzibar
zanzibar chini ya uongozi shupavu wa waarabu ilifika mbali kimaisha. Zanzibar ilikuwa na simu majumbani manano mwaka 1886, undersea cable zilitoka znz kupita Aden hadi London. Zanzibar ilikuwa nchi ya Mwanzo Afrika kutumia elevator, pale Beit el Jaibu. Zanzibar ilikuwa nchi ya tatu kutumi aumeme duniani.
Elimu ilikuwa kubwa sana zanzibar hata NASA waliweka tracking station Zanzibar. Zanzibar ilikuwa nchi tajiri sana katika Africa, wafanyakazi wa zanzibari walikuwa wakisafiri kama watalii wakati wakipata likizo zao makazini. Gari la kwanza kutembea Kuwait lilinunuliwa Zanzibar, nchi za Uarabubi zilikuwa zinakuja znz kununua vyakula na nguo kama leo tunavyokwenda Dubai sasa.
Zanzibar ilikuwa nchi huru ndio maana waafrika waliokuja kufanyakazi na kutafuta maisha yao tu waliachiliwa kuingia katika siasa, kosa kubwa sana hilo. Wakafanya mapunduzi na kuuwa wazanzibari 17,000 usiku mmoja. Baada ya hapo Zanzibar inaakza kufa kidogo kidogo. Leo hii watuna tena chetu,