Ni nani hasa alihusika na Kifo cha Sokoine?

Rais Mstaafu wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi amefanya mengi sana ya kukumbukwa hasa katika sekta ya uchumi wa Tanzania. Ni ukweli usio pingikia yeye ndio ali ruhusu daladala zianze kufanya kazi Dar Es Salaam na sio UDA tu, pia ali ruhusu biashara zifanyike na watu waka jipatia mali na fedha wakati ule. Ushauri wa kiuchumi ulio kuwa una fanywa na mshauri wa Serikali katika mambo ya kiuchumi; Pr. Ibrahim Lipumba uli saidia sana kusema kweli. Ila tatizo alilo kuwa nalo Rais Mwinyi ni mawili moja Upole na pili udhaifu ulio pitiliza. Ukweli ni kwamba Rais Mwinyi ali mchukiza Mwalimu hasa hasa katika kuruhusu watu wampande kichwani na kuwafanya watu waanze kudharau taasisi ya uraisi. Rais Mwinyi ali ruhusu mijadala ya kutaka serikali tatu ifanyike bungeni mwaka 1992 ambapo ika fanya wabunge 44 wadai serikali ya Tanganyika iundwe na Mwinyi alionekana wazi alitaka kuipitisha ambapo ika mfanya Mwalimu mwenyewe 14-8-1993 alikwenda Bungeni kwenda kuongea na Bunge zima madhara ya serikali tatu kuanzia hapo Mwalimu haku mwamini Tena Rais Mwinyi. Na ndio maana hadi leo ni ngumu MZanzibari kuwa Rais katika serikali ya Muungano toka 1995.
Samia sio mzenji?
 
Babu mapunda,

nimenukuu post ya theodros inayoelezea wasifu wa Meja Jeneral Muhidin Kimario.

1937 Alizaliwa, Moshi mjini.
1954 Muasisi wa TANU moshi Mjini
1957 Mwalimu Mkuu wa Kwanza wa Shule ya Mwenge (Moshi Mjini)
1962 TANU ilimchagua kwenda kusomea uongozi
1963 TANU ilimchagua ajiunge na Jeshi na kupelekwa Israel kusomea masuala ya kijeshi.
1964 Muasisi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)
1964 Mzalendo wa kwanza kuwa mkuu wa kambi ya Calito (Lugalo)
1965 Muanzilishi wa kitengo cha intelejensia ndani ya jeshi
1966 Mkufunzi mkuu Kambi ya Kongwa kwa wapiganaji wa ukombozi wa Afrika kutoka nchi tofauti za kusini mwa afrika.
1967 Mkuu wa kambi ya Ukombozi wa Msumbiji Nachingwea (Farm 17)
o Muasisi wa vita vya ukombozi wa Msumbiji. Anaheshimika kama Shujaa katika nchi ya Msumbiji (barua kutoka Serikali ya Msumbiji iliyosomwa siku ya mazishi yake.
1970 Mkuu wa Kikosi Maalum (Ukombozi wa Afrika)
1972 Mshauri wa kivita OAU
1973 Mpelelezi Mkuu (Kamati ya OAU) wa mauaji ya Amilcar Cabralar mwana mapinduzi na mpigania uhuru wa Guinea Bissau na visiwa vya Cape Verde.
1973 Mkuu wa Kambi ya Kaboya (Kagera)
1975 Mbunge wa Moshi Mjini
Baada ya kumshinda Lucy Celina Lameck
1977 Mkuu wa Mkoa wa Mwanza
o Akajenga Uwanja wa kimataifa wa michezo wa CCM Kirumba kwa kuchangisha wananchi.
1978 Mkuu wa Kambi ya Nyuki (Zanzibar)
1979 Akimbizwa uwanja wa mapambano kuwa Mkuu wa Brigedi ya 205 (wakati wa Vita vya Kagera)
o Alimpokea Brigedia Lupogo, ndipo alipopata jina maarufu la Kamanda Mbogo.
1980 Apita ubunge bila kupingwa Moshi Mjini.
1981 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
1983 Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
1985 Ashinda tena ubunge wa Moshi Mjini
1985 Waziri wa Mambo ya Ndani
o Aliyewatengenezea Waraka wa Utumishi (Scheme of Service) Jeshi la Polisi ambayo walikuwa hawana tangu kuanzishwa kwa jeshi na ndiyo inayotumika mpaka leo.
1985 Kamati ya Kumtoa Obote
1986 Kamati ya kumtoa Tito Okello na kumuweka Yoweri Museveni.
1990 Alishindwa ubunge wa Moshi mjini.
1991 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam
1991 Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA)
1995 Alikatwa kabla ya kura za maoni kupitia CCM. Ripoti ilipelekwa kwenye Chama ikisema akija kugombania ubunge wa Moshi Mjini atapigwa mawe na kusababisha vurugu. Akatolewa kabla ya kura za maoni.
1996 Miezi michache baada ya kuingia madarakani Serikali ya awamu ya Tatu ilimfungulia kesi ya uhujumu uchumi kesi aliyoshinda mwaka 1998. Baada ya kushinda kesi alikataa kurudi CDA na ndiyo ukawa mwisho wa utumishi wake wa Umma.
2004 Alitunukiwa nishani ya utumishi bora na utiifu uliotukuka.
2014 Afariki dunia kwa ugonjwa wa saratani huko India.

1623822005573.png
 
Mara Nyingi Mimi Badala ya Kusoma Riwaya napenda sana Kutafuta habari za Masahibu yenye Utata ili angalau nipate clue ni nini kilitokea hasa.

Muda Mwingi Nimekuwa Nikitatizwa na Matukio ya Afrika ya Kuuana kwa Kugombania Madaraka. Nchini Kenya Miaka ya Nyuma, Kila ikikaribia Uchaguzi ambao Rais anayemaliza Muda wake hagombei tena Basi Kunatokea Mauaji ya Ajabu ajabu sana.

Kenyatta alipoashiria Uzee sana basi kulikuwa na Mauaji ya kutisha ya Kisiasa Kenya. Moi alipotangaza nia ya Kutogombea Tena Miaka y 90 hali Kadhalika. Kibaki alipomaliza Muda wake hali ikawa hiyo hiyo.

Nilidhani Tanzania hali ni Tofauti Lakini sivyo. Mwalimu Nyerere Tangu kumalizika kwa Vita vya Uganda, alishakuwa na Mpango wa Kujiuzulu Urais au Kutogombea Tena. Shadowy forces za Dunia zilishanusa Ni nani Nyerere alimpanga Kumrithi. Waliandika Katika Ripoti yao Maalumu, " Nyerere kwa kupenda Elimu na umahiri aliamua Kumpeleka Dokoine Yugoslavian ili akamalizie Masters yake na Pia ajifunze First hand jinsi Wayugoslavia walivyoendesha Ukomunist kwa Mafanikio.

Hawa walikuwa wakiweza kumvumilia Nyerere lakini walijua Sokoine wasingeweza Kudeal Naye kwani Misimamo yake haikuwa Balanced Kama Mwalimu. Wakamuua Sokoine, Nyerere alilia sana, Lakini hakuna aliyekuwa na Uhakika Ni kina nani hasa walihusika ingawa Sponsors Nyerere aliwajua. " Hawa walijigama Kwenye Chapisho lao moja wakati Fulani Kuwa kwenye Kila Serikali ya Mlengo wa Kushoto ie communist, nusu ya Wajendaji wa serikali, wana usalama nk wapo pia kwenye pay roll yao" Wakimaanisha Kuwa utakuta waziri wa Tanzani lakini Pia Kila Mwezi anavuta Mshahara kwenye coffers za Worlds strongest shadowy forces!

Kadhalika Katika Chapisho lingine walidai, Silaha yao Kubwa ilikuwa Ni kuchapisha Fedha Fake za nchi husika, wanawapa baadhi ya stooges wao,Wanazitumia Kunulia Bidhaa na kuzirundika kwenye Magodown ili zioze na zipotee kuwatia wananchi hasira juu ya regime! Kwa mwenye shaka na hili rejeeni miaka ya 80 jinsi Mwalimu Nyerere alivyokuwa akibadilisha fedha kwa ghafla. Na pia Rejeeni ni Nani alianzisha Vita dhidi ya wahujumu uchumi 1983-84 (Sokoine) Ikimbukwe Mhujumu uchumi sio Mlanguzi, Mlanguzi ananunua Bidhaa kwa lengo za Kuziuza kwa Bei ya faida Kubwa Mhujumu uchumi au Sabotage ananunua Bidhaa kuziharibu na Kuzipoteza ili aweke mazingira magumu ya kitawala nchi.

Sasa, Baada ya Sokoine Kufa Bado Kulikuwa na Vuta Nikuvute ya Kumpata Mrithi wa Nyerere, Mzozo ulikuwa kati ya awe Kawawa au awe Salim, Nyerere akamteua Mwinyi kama suluhisho. Lakini Pia sio hao wawili tu, Shadowy Forces zilikiwa na watu wao, na Mwishoni, wakati wa utawala wa Mwanzo wa Mwinyi Makicha yakaonekana Wazi. Katika Dossier ya Hawa Shadowy forces walionyesha Makundi Mawili Moja Lililolalia Upande waCommunism na Lingine Upande wa Soko huria, Ambao wasingemlenda Sokoine au yeyote anayependekezwa na Nyerere!

Kundi walillsema ni La Ki Socialist

1) Rashid Kawawa
2) Kingunge Ngombale Mwiru
3) Joseph Warioba
4) David Mwakawago
5) Joseph Butiku
7) David Msuguri
8) Kighoma Malima
9) Pius Msekwa
10) Charles Nyirabu


Kwenye Kundi walilodhani ni La Wingu la Mabadiliko waliwaweka

1) Ali H. Mwinyi
2) Salim A. Salim
3) Cleopa D. Msuya
4) Mustafa Nyang'anyi
5) Seif Sherif Hamad
6) Imran Kombe
7) Paul Bomani
8) Gilbet Rutihinda
9) Idris A. Wakil
10) Alnur Kassum


Katika hiyo Short List ya Shadowy Forces Jina Lililonishitua ni La Imran Kombe, Na Baadaye Nikaona Mahali ambapo Imran Kombe Rip. Amehusishwa moja kwa moja na Makundi yaliyojengeka Kinyang'anyiro cha Primary ya CCM 1995. Hapo ndipo hasa Makundi haya yalianza kusalitiana na Kuvurugana na Nadhani Ndipo Mboga na Ugali wa Uhujumu Uchumi na Kifo cha Sokoine 1983-84 Zikamwagwa! Kuna Madai kwamba Bodyguard wa Sokoine aliamriwa aende Monduli huku Sokoine akielekea Dar kwa Gari badala ya Ndege!

Kilichofikia Imran Kombe hasa Kunyanyuliwa Nafikiri ni 1996 Sijajua hasa Ni nini, Lakini Inawezekana Kulikuwa na Hofu Kubwa Mkapa kama mtu wa Karibu wa Nyerere angerudisha Usocialist, Katika Matoleo yao Pia walionekana Mahali wakisema (1986-87) Nyerere angeweza " Kumshinikiza Mwinyi aachie Ngazi, Ili Awaweke wengine, Wakaonyesha Short List ya Ambao Nyerere angewaweka Moja wao Badala ya Mwinyi Kuwa Ni,
1) Waziri Mkuu Joseph Warioba, au
2) Balozi wa Canada Benjamin Mkapa au
3) Salim au
4) Kingunge Ngombale Mwiru,
5) Rashid Kawawa.
R.i.p Sokoine
 
Babu mapunda,

nimenukuu post ya theodros inayoelezea wasifu wa Meja Jeneral Muhidin Kimario.

1937 Alizaliwa, Moshi mjini.
1954 Muasisi wa TANU moshi Mjini
1957 Mwalimu Mkuu wa Kwanza wa Shule ya Mwenge (Moshi Mjini)
1962 TANU ilimchagua kwenda kusomea uongozi
1963 TANU ilimchagua ajiunge na Jeshi na kupelekwa Israel kusomea masuala ya kijeshi.
1964 Muasisi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)
1964 Mzalendo wa kwanza kuwa mkuu wa kambi ya Calito (Lugalo)
1965 Muanzilishi wa kitengo cha intelejensia ndani ya jeshi
1966 Mkufunzi mkuu Kambi ya Kongwa kwa wapiganaji wa ukombozi wa Afrika kutoka nchi tofauti za kusini mwa afrika.
1967 Mkuu wa kambi ya Ukombozi wa Msumbiji Nachingwea (Farm 17)
o Muasisi wa vita vya ukombozi wa Msumbiji. Anaheshimika kama Shujaa katika nchi ya Msumbiji (barua kutoka Serikali ya Msumbiji iliyosomwa siku ya mazishi yake.
1970 Mkuu wa Kikosi Maalum (Ukombozi wa Afrika)
1972 Mshauri wa kivita OAU
1973 Mpelelezi Mkuu (Kamati ya OAU) wa mauaji ya Amilcar Cabralar mwana mapinduzi na mpigania uhuru wa Guinea Bissau na visiwa vya Cape Verde.
1973 Mkuu wa Kambi ya Kaboya (Kagera)
1975 Mbunge wa Moshi Mjini
Baada ya kumshinda Lucy Celina Lameck
1977 Mkuu wa Mkoa wa Mwanza
o Akajenga Uwanja wa kimataifa wa michezo wa CCM Kirumba kwa kuchangisha wananchi.
1978 Mkuu wa Kambi ya Nyuki (Zanzibar)
1979 Akimbizwa uwanja wa mapambano kuwa Mkuu wa Brigedi ya 205 (wakati wa Vita vya Kagera)
o Alimpokea Brigedia Lupogo, ndipo alipopata jina maarufu la Kamanda Mbogo.
1980 Apita ubunge bila kupingwa Moshi Mjini.
1981 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
1983 Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
1985 Ashinda tena ubunge wa Moshi Mjini
1985 Waziri wa Mambo ya Ndani
o Aliyewatengenezea Waraka wa Utumishi (Scheme of Service) Jeshi la Polisi ambayo walikuwa hawana tangu kuanzishwa kwa jeshi na ndiyo inayotumika mpaka leo.
1985 Kamati ya Kumtoa Obote
1986 Kamati ya kumtoa Tito Okello na kumuweka Yoweri Museveni.
1990 Alishindwa ubunge wa Moshi mjini.
1991 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam
1991 Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA)
1995 Alikatwa kabla ya kura za maoni kupitia CCM. Ripoti ilipelekwa kwenye Chama ikisema akija kugombania ubunge wa Moshi Mjini atapigwa mawe na kusababisha vurugu. Akatolewa kabla ya kura za maoni.
1996 Miezi michache baada ya kuingia madarakani Serikali ya awamu ya Tatu ilimfungulia kesi ya uhujumu uchumi kesi aliyoshinda mwaka 1998. Baada ya kushinda kesi alikataa kurudi CDA na ndiyo ukawa mwisho wa utumishi wake wa Umma.
2004 Alitunukiwa nishani ya utumishi bora na utiifu uliotukuka.
2014 Afariki dunia kwa ugonjwa wa saratani huko India.

View attachment 1820118

Kama Taifa tutafute njia bora zaidi za kuwaenzi watu wenye utumishi uliotukuka kama hawa. Wakistafu wanaishi maisha ya kawaida sana. Nilishawahi kutana na huyu Generali miaka ya mwishoni ya 2000 na nikawa nabadilishana naye mawazo ya mambo ya kawaida ya maisha ya kila siku sikujua kumbe, kumbe, kumbe ....anayo cv mzito namna hivi?!!!!!!
 
Kama Taifa tutafute njia bora zaidi za kuwaenzi watu wenye utumishi uliotukuka kama hawa. Wakistafu wanaishi maisha ya kawaida sana. Nilishawahi kutana na huyu Generali miaka ya mwishoni ya 2000 na nikawa nabasilishana naye mawazo ya mambo ya kawaida ya maisha ya kila siku sikujua kumbe, kumbe, kumbe ....anayo cv mzito namna hivi.

..tafuta historia ya mchango wake ktk vita vya kagera. You will appreciate him even more.
 
..tafuta historia ya mchango wake ktk vita vya kagera. You will appreciate him even more.

Mkuu Joka Kuu tuwekee hapa kwa faida ya wengi. Na amini wako Watanzania wengi waliotumikia Taifa hili kwa Uzalendo mkubwa ambao ni wastaafu lakini hatuwajui na hawathaminiwi inavyo paswa. Viongozi walioko madarakani fanyieni kazi hili.
 
Mkuu Joka Kuu tuwekee hapa kwa faida ya wengi. Na amini wako Watanzania wengi waliotumikia Taifa hili kwa Uzalendo mkubwa ambao ni wastaafu lakini hatuwajui na hawathaminiwi inavyo paswa. Viongozi walioko madarakani fanyieni kazi hili.

..askari wetu walipata changamoto ktk uwanja wa mapambano eneo linaitwa Sembabule.

..inasemekana changamoto hizo zilitokana na vijana wetu kutokuwa na uzoefu.

..ilibidi Muhidin Kimario apelekwe mstari wa mbele kuongoza mapambano na ndipo ushindi ukapatikana.

..soma hapa chini kuhusu MAPIGANO YA SEMBABULE na ushiriki wa Brigadier.Muhidin Kimario, jina la kivita " kamanda mbogo. "


 
Unajua Tanzania ina siri nyingi sana. Sana. Hata ukiacha kifo tata cha Sokoine, kifo cha Karume pia ni tata, Mapinduzi ya Zanzibar yenyewe haya heleweki, kuondoka kwa Kambona, kupotea kisiasa kwa Bibi Titi, kufa kwa akina Sykes, mengi mengi ni siri. Na hii yote ni kwasababu Nchi kama Nchi yeyote Duniani lazima iwe na siri kwasababu Umma hautakiwi kujua kila kitu na uongozi ni siri nzito sana. Hata kipindi cha Ufalme zamani haya yali kuwako.
Sahihi ongezea kifo cha Jpm pia ni utata mwingine
 
Babu mapunda,

nimenukuu post ya theodros inayoelezea wasifu wa Meja Jeneral Muhidin Kimario.

1937 Alizaliwa, Moshi mjini.
1954 Muasisi wa TANU moshi Mjini
1957 Mwalimu Mkuu wa Kwanza wa Shule ya Mwenge (Moshi Mjini)
1962 TANU ilimchagua kwenda kusomea uongozi
1963 TANU ilimchagua ajiunge na Jeshi na kupelekwa Israel kusomea masuala ya kijeshi.
1964 Muasisi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)
1964 Mzalendo wa kwanza kuwa mkuu wa kambi ya Calito (Lugalo)
1965 Muanzilishi wa kitengo cha intelejensia ndani ya jeshi
1966 Mkufunzi mkuu Kambi ya Kongwa kwa wapiganaji wa ukombozi wa Afrika kutoka nchi tofauti za kusini mwa afrika.
1967 Mkuu wa kambi ya Ukombozi wa Msumbiji Nachingwea (Farm 17)
o Muasisi wa vita vya ukombozi wa Msumbiji. Anaheshimika kama Shujaa katika nchi ya Msumbiji (barua kutoka Serikali ya Msumbiji iliyosomwa siku ya mazishi yake.
1970 Mkuu wa Kikosi Maalum (Ukombozi wa Afrika)
1972 Mshauri wa kivita OAU
1973 Mpelelezi Mkuu (Kamati ya OAU) wa mauaji ya Amilcar Cabralar mwana mapinduzi na mpigania uhuru wa Guinea Bissau na visiwa vya Cape Verde.
1973 Mkuu wa Kambi ya Kaboya (Kagera)
1975 Mbunge wa Moshi Mjini
Baada ya kumshinda Lucy Celina Lameck
1977 Mkuu wa Mkoa wa Mwanza
o Akajenga Uwanja wa kimataifa wa michezo wa CCM Kirumba kwa kuchangisha wananchi.
1978 Mkuu wa Kambi ya Nyuki (Zanzibar)
1979 Akimbizwa uwanja wa mapambano kuwa Mkuu wa Brigedi ya 205 (wakati wa Vita vya Kagera)
o Alimpokea Brigedia Lupogo, ndipo alipopata jina maarufu la Kamanda Mbogo.
1980 Apita ubunge bila kupingwa Moshi Mjini.
1981 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
1983 Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
1985 Ashinda tena ubunge wa Moshi Mjini
1985 Waziri wa Mambo ya Ndani
o Aliyewatengenezea Waraka wa Utumishi (Scheme of Service) Jeshi la Polisi ambayo walikuwa hawana tangu kuanzishwa kwa jeshi na ndiyo inayotumika mpaka leo.
1985 Kamati ya Kumtoa Obote
1986 Kamati ya kumtoa Tito Okello na kumuweka Yoweri Museveni.
1990 Alishindwa ubunge wa Moshi mjini.
1991 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam
1991 Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA)
1995 Alikatwa kabla ya kura za maoni kupitia CCM. Ripoti ilipelekwa kwenye Chama ikisema akija kugombania ubunge wa Moshi Mjini atapigwa mawe na kusababisha vurugu. Akatolewa kabla ya kura za maoni.
1996 Miezi michache baada ya kuingia madarakani Serikali ya awamu ya Tatu ilimfungulia kesi ya uhujumu uchumi kesi aliyoshinda mwaka 1998. Baada ya kushinda kesi alikataa kurudi CDA na ndiyo ukawa mwisho wa utumishi wake wa Umma.
2004 Alitunukiwa nishani ya utumishi bora na utiifu uliotukuka.
2014 Afariki dunia kwa ugonjwa wa saratani huko India.

View attachment 1820118

Doh!! Na me naitaka hii legacy.
 
Niliwahi kuandika hii,ilikuwa siku ya kumbukumbu cha kifo cha hayati Sokoine ,na jinsi kulivyo na utata


HUYU NDO EDWARD MORINGE SOKOINE SHUJAA WA WANYONGEMZALENDO WA TANGANYIKA,ADUI WA WAHUJUMU UCHUMI NA WATENDAJI WAZEMBE1/8/1938 -12/4/1984

"Ole wao wale wanaotumia nafasi zao za umma na serikali,kuiba,kuhujumu uchumi,kupokea rushwa,maana salama yao ni kudra za Mwenyezi Mungu labda nisiwajue"

Hayo ni maneno aliyowahi kuyatamka hayati kaka na mzalendo wa taifa hili shujaa Moringe Sokoine,wakati akilihutubia kwenye mkutano kikao cha NEC mjini Dodoma 12/04/1984,takribani miaka 30 iliyopita,wakati huo vita ya kupambana na suala la uzembe makazini,ulangunguzi,rushwa na biashara ya magendo,enzi hizo taifa lilikuwa la moto kila sehemu ilikuwa moto,lakini mpaka leo kauli yake inaishi,inatumika,inaamsha hali ya uzalendo na maadili ya taifa hasa wakati huu ambapo wanasiasa na serikali kwa ujumla wanaishi kinyume na misingi mikuu ya taifa hili,misingi mikuu ya chama chao na msingi mkuu wa uwajibikaji wa serikali,leo tunamkumbuka,tunakumbuka kifo cha mpendwa wetu huyo kwa yale mazuri aliyoifanyia Tanganyika kwa ujumla wake,lakini pindi tunakumbuka kumbukumbu hii tujiulize je?utakapofariki utakumbukwa kwa lipi?je viongozi wetu wanaishi kimatendo kma hayati wetu Sokoine?

ALIPOTOKA MH SOKOINE NA SAFARI YAKE NDEFU KUELEKEA KULETA TANGANYIKA TUITAKAYO.

Hayati Sokoine alizaliwa mnamo mwaka 1/8/1938 katika wilaya ya MAASAI LAND ambayo kwa sasa inafahamika kama wilaya ya Monduli,wilaya iliyoko mkoani Arusha,hayati Sokoine alipata elimu yake ya msingi Monduli,akafaulu kujiunga na shule ya sekondari Umbwe,hii ilikuwa ni kuanzia mwaka 1948 mpaka 1958,alipomaliza hapo alijiunga rasmi na chama cha TANU 1961,kisha alipata nafasi ya kwenda nchini Ujerumani mwaka 1962 mpaka 1963 kusomea mambo ya uongozi na utawala na aliporudi akateuliwa kuwa afisa mtendaji wilaya ya Maasai Land,na kutiokana na ufanyakazi wake uliotukuka wilayani Monduli wananchi hawakuwa na budi kumchagua kuwa mwakilishi wao bungeni yaani mbunge wa Monduli na ufanisi wake kiutendaji ulionekana machoni mwa watendaji wakuu wa serikali na hayati baba wa taifa Nyerere na akachaguliwa kuwa Naibu wa wizara ya mawasiliano na Usafiri hii ilikuwa mwaka 1967,kama hiyo haitoshi nyota ya kiuongozi ilizidi kumwangazia ambapo mwaka 1972 aliteuliwa kuwa waziri wa Usalama na hatimaye mwaka 1977 aliteuliwa rasmi kuwa waziri mukuu wa iliyokuwa serikali ya Tanganyika,na Muungano wa Tanzania,

Hayati sokoine alikuwa hasa mzalendo na aliependa siasa za ujamaa na hata kupelekea kumwomba baba wa taifa ruhusa ya kusisimama kwa mda kama waziri mkuu ili aende kusomea zaidi mambo ya ujamaa nchi za nje,hii ilikuwa mwaka 1981,1983 alirudi kuendelea kama waziri mkuu kuanzia wa Tanzania mpaka siku ya tarehe 12/4/1984 alipopata ajali mbaya ya kugongwa na gari lililokuwa likiendeshwa na mkimbizi wa kisiasa kutoka nchini Afrika kusini aliyejulikana zaidi kwa jina la Dube,eneo la Wami Dakawa sasa Wami Sokoine mkoani Mororgoro,ajali iliyopelekea mauti yake palepale,kifo ambacho mpaka leo kinaacha maswali mengi na kwa bahati mbaya hakuna hata mwandishi mmoja aliefanya mahojiano na bwana Dube ambaye kwa sasa yupo nchini Afrika kusini anakula bata,,

UTATA WA KIFO CHAKE NA MASWALI MAGUMU YASIYOJIBIKA KIRAHISI

Itakumbukwa kwamba karibia viongozi wakubwa wote wa serikali waliondoka mjini Dodoma kwa ndege mara baada ya kikao cha NEC,Isipokuwa hayati Sokoine ,yeye alisema wazi ni muumini wa sera ya kilimo ni uti wa mgongo wa taifa,hivyo alipendekeza kusafiri kwa njia ya barabara ili ajionee Mashamba makubwa na maendeleo ya kilimo kwa ujumla,

2:Gari lililomgonga liliwezaje kupenya magari yote yaliyokuwa kwenye msafara wa waziri mkuu Sokoine mpaka kulifikia gari la marehemu Sokoine na kuligonga?vp trafiki walikuwa wapi mpaka lori hilo limfikie kiongozi huyo?vipi maafisa wa ulinzi ambao kazi yao ni kumlinda?

3:Katika ajali hiyo aliyefariki ni hayati Sokoine pekee,vpi kuhusu wengine kwani hakuna hata aliyejeruhiwa pakubwa

4:Aliyesababisha ajali hiyo alikuja kuachiwa huru na akarudishwa kwao A,kusini,

TETESI JUU YA UTATA WA KIFO CHAKE

Ni ukweli kwamba ukiwa kiongozi unaetimiza majukumu yako kikamilifu ni lazima utakuwa na maadui wengi na wanaokutafta kwa kila namna,hayati sokoine kutokana na vita yake dhidi ya Wahujumu uchumi,mtakumbuka wakati wa vita hiyo kuna watu walienda kuficha bidhaa mapolini na wengine kumwaga mitoni,baharini na ziwani,hali ilikuwa tete kwa wahujumu uchumi pia Walanguzi,wazee wa Magendo,wala rushwa na watendaji wazembe wa serikilini,na hapa anatajwa mzee Kawawa kuwa alikuwa miongoni mwa watu waliokemewa na maremu wakati wa kikao hicho cha mwisho mjini Dodoma,
Pia inadaiwa aliiva katika misingi ya kijamaa kupita kiasi,hali ambayo ilimtisha hata baba wa taifa
Je ni ajali ya kawaida iliyotokana na mikono na mapenzi ya Mungu?ama mkono wa binadamu?swali hili ni gumu na lina dead end

MCHANGO WAKE KWA TAIFA NA MISIMAMO NA MITAZAMO YAKE

1:Aliamini katika Haki,Usawa na uwajibikaji
2:Aliamini katika siasa za ujamaa zaidi ya siasa yeyote ile.
3:Aliamini kwamba maendeleo huja kwa watu kujituma kufanya kazi halali na bidii.
4:Aliamini katika mabadiliko chanya
5:Alikuwa mzalendo hasa kwa taifa hili
6:Aliichukia vitendo vya rushwa,hujuma,uhujumu uchumi,ulanguzi na magendo.
7:Alikuwa mtu wa vitendo na kamwe alikuwa si mtu wa kupenda kulalamikalalamika.

MCHANGO WAKE KITAIFA

1:Alikuwa mstari wa mbele enzi za vita ya Kagera pindi tunampiga Nduli Idd Amini.
2:Alianzisha vita dhidi ya uhujumu uchumi,biashara ya Ulanguzi,Magendo na aliichukia Rushwa kwa vitendo
3:Alikuwa mzalendo wa kweli wa taifa hili.
4:Aliamni katika siasa na kilimo,akiamini kilimo ni uti wa mgongo wa taifa hii ilipelekea kutotaka kupanda ndege ili ashuhudie juhudi kubwa za Watanganyika katika suala la kilimo
5:Alitunza na kutukuza tamaduni za kiafrika na utaifa wa mtanzania.

Hitimisho, leo ikiwa imepita takribani miaka 30,tangu shujaa wetu na mzalendo hayati Edward Moringe Sokoine tangu atangulie mbele ya haki, je viongozi wetu wa sasa wanaishi na kutenda kwa ajili ya manufaa ya umma kama hayati Sokoine?je?Pengo lake limezibika ama bado?wito wangu kwa wanasiasa wetu nchini wasilitumie jina la kiongozi wetu huyu na baba wa taifa kwa ajili ya kunufaika kisiasa tu?wakati hawamaanishi kwani kuchagua uovu kwenye njia ya haki ni dhambi,na sikuzote ukiwa safarini huwaulizi njia wasafiri wenzako bali wale watokao huko.

(Mungu aipe pumziko la amani nafsi yake na amlaze pema peponi hayati Sokoine)
special thanx kwa

Joseph Moses OleshangayAanyor Engai Ole Lenga na Cosmas Makune

kwa msaada wa baadhi ya taarifa nilizotumia katiaka makala hii maalumu ya kumuenzi Hayati Edward Moringe Sokoine.


Niandikie,

Nicholaus Kilunga
kilunganicholaus@yahoo.com,0715926271,0754926271
Kibondo, Kigoma, Tanzania
Asante kwa Makala Nzuri sana... na kweli ni Hatari kuwa sahihi wakati serikali yote imejaa uozo..
 
Mara Nyingi Mimi Badala ya Kusoma Riwaya napenda sana Kutafuta habari za Masahibu yenye Utata ili angalau nipate clue ni nini kilitokea hasa.

Muda Mwingi Nimekuwa Nikitatizwa na Matukio ya Afrika ya Kuuana kwa Kugombania Madaraka. Nchini Kenya Miaka ya Nyuma, Kila ikikaribia Uchaguzi ambao Rais anayemaliza Muda wake hagombei tena Basi Kunatokea Mauaji ya Ajabu ajabu sana.

Kenyatta alipoashiria Uzee sana basi kulikuwa na Mauaji ya kutisha ya Kisiasa Kenya. Moi alipotangaza nia ya Kutogombea Tena Miaka y 90 hali Kadhalika. Kibaki alipomaliza Muda wake hali ikawa hiyo hiyo.

Nilidhani Tanzania hali ni Tofauti Lakini sivyo. Mwalimu Nyerere Tangu kumalizika kwa Vita vya Uganda, alishakuwa na Mpango wa Kujiuzulu Urais au Kutogombea Tena. Shadowy forces za Dunia zilishanusa Ni nani Nyerere alimpanga Kumrithi. Waliandika Katika Ripoti yao Maalumu, " Nyerere kwa kupenda Elimu na umahiri aliamua Kumpeleka Dokoine Yugoslavian ili akamalizie Masters yake na Pia ajifunze First hand jinsi Wayugoslavia walivyoendesha Ukomunist kwa Mafanikio.

Hawa walikuwa wakiweza kumvumilia Nyerere lakini walijua Sokoine wasingeweza Kudeal Naye kwani Misimamo yake haikuwa Balanced Kama Mwalimu. Wakamuua Sokoine, Nyerere alilia sana, Lakini hakuna aliyekuwa na Uhakika Ni kina nani hasa walihusika ingawa Sponsors Nyerere aliwajua. " Hawa walijigama Kwenye Chapisho lao moja wakati Fulani Kuwa kwenye Kila Serikali ya Mlengo wa Kushoto ie communist, nusu ya Wajendaji wa serikali, wana usalama nk wapo pia kwenye pay roll yao" Wakimaanisha Kuwa utakuta waziri wa Tanzani lakini Pia Kila Mwezi anavuta Mshahara kwenye coffers za Worlds strongest shadowy forces!

Kadhalika Katika Chapisho lingine walidai, Silaha yao Kubwa ilikuwa Ni kuchapisha Fedha Fake za nchi husika, wanawapa baadhi ya stooges wao,Wanazitumia Kunulia Bidhaa na kuzirundika kwenye Magodown ili zioze na zipotee kuwatia wananchi hasira juu ya regime! Kwa mwenye shaka na hili rejeeni miaka ya 80 jinsi Mwalimu Nyerere alivyokuwa akibadilisha fedha kwa ghafla. Na pia Rejeeni ni Nani alianzisha Vita dhidi ya wahujumu uchumi 1983-84 (Sokoine) Ikimbukwe Mhujumu uchumi sio Mlanguzi, Mlanguzi ananunua Bidhaa kwa lengo za Kuziuza kwa Bei ya faida Kubwa Mhujumu uchumi au Sabotage ananunua Bidhaa kuziharibu na Kuzipoteza ili aweke mazingira magumu ya kitawala nchi.

Sasa, Baada ya Sokoine Kufa Bado Kulikuwa na Vuta Nikuvute ya Kumpata Mrithi wa Nyerere, Mzozo ulikuwa kati ya awe Kawawa au awe Salim, Nyerere akamteua Mwinyi kama suluhisho. Lakini Pia sio hao wawili tu, Shadowy Forces zilikiwa na watu wao, na Mwishoni, wakati wa utawala wa Mwanzo wa Mwinyi Makicha yakaonekana Wazi. Katika Dossier ya Hawa Shadowy forces walionyesha Makundi Mawili Moja Lililolalia Upande waCommunism na Lingine Upande wa Soko huria, Ambao wasingemlenda Sokoine au yeyote anayependekezwa na Nyerere!

Kundi walillsema ni La Ki Socialist

1) Rashid Kawawa
2) Kingunge Ngombale Mwiru
3) Joseph Warioba
4) David Mwakawago
5) Joseph Butiku
7) David Msuguri
8) Kighoma Malima
9) Pius Msekwa
10) Charles Nyirabu


Kwenye Kundi walilodhani ni La Wingu la Mabadiliko waliwaweka

1) Ali H. Mwinyi
2) Salim A. Salim
3) Cleopa D. Msuya
4) Mustafa Nyang'anyi
5) Seif Sherif Hamad
6) Imran Kombe
7) Paul Bomani
8) Gilbet Rutihinda
9) Idris A. Wakil
10) Alnur Kassum


Katika hiyo Short List ya Shadowy Forces Jina Lililonishitua ni La Imran Kombe, Na Baadaye Nikaona Mahali ambapo Imran Kombe Rip. Amehusishwa moja kwa moja na Makundi yaliyojengeka Kinyang'anyiro cha Primary ya CCM 1995. Hapo ndipo hasa Makundi haya yalianza kusalitiana na Kuvurugana na Nadhani Ndipo Mboga na Ugali wa Uhujumu Uchumi na Kifo cha Sokoine 1983-84 Zikamwagwa! Kuna Madai kwamba Bodyguard wa Sokoine aliamriwa aende Monduli huku Sokoine akielekea Dar kwa Gari badala ya Ndege!

Kilichofikia Imran Kombe hasa Kunyanyuliwa Nafikiri ni 1996 Sijajua hasa Ni nini, Lakini Inawezekana Kulikuwa na Hofu Kubwa Mkapa kama mtu wa Karibu wa Nyerere angerudisha Usocialist, Katika Matoleo yao Pia walionekana Mahali wakisema (1986-87) Nyerere angeweza " Kumshinikiza Mwinyi aachie Ngazi, Ili Awaweke wengine, Wakaonyesha Short List ya Ambao Nyerere angewaweka Moja wao Badala ya Mwinyi Kuwa Ni,
1) Waziri Mkuu Joseph Warioba, au
2) Balozi wa Canada Benjamin Mkapa au
3) Salim au
4) Kingunge Ngombale Mwiru,
5) Rashid Kawawa.
Siri Kuu
 
Back
Top Bottom