mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,641
leo napiga kesho apige yye,mambo ya mi kua napiga simu daily siyawezi...............
hee jamani nilikuwa naomboleza ban yako imeisha?Yaani we mwanamke ni Kinyonga balaa!!!!
mapenzi bila ya mawasiliano sio mapenzi.wakaka mjue kupenda,huwasiliani na mwenzio,ina maana hayupo kwenye mawazo yako.mkiambiawa hamjui kupenda,mnalalamika.kumpa mwenzio attention ni vizuri,hata kama ana shida akiwasiliana na anae mpenda anajisikia faraja fulani.ila wote mkikaa kimya,taratibu mapenzi hufa
kama mnaishi pamoja ni tofauti,lakini kama hamuishi pamoja mawasiliano muhimu.tena ya kila sikuNadhani hapa ndio tunapotofautiana sana na nyie viumbe. Hivi simu si ni chombo tu mawasiliano mnaongea pale tu inapobidi ina maana mkiwa nyumbani wote mnaongea mfululizo siku nzima kama kasuku? Nyie ndio wale ambo mkikuta mtu kakaa kimya unaanza yale maswali ya kwanini uko kimya au umekasirika.
we acha tu mpenzi wangu, nilichapwa ban la siku tano kwa makosa, lakini hata hivo nilipowajulisha mamods walistuka wakanifungulia kifungoni, kwao ilikuwa bahati mbaya, siujajua tena mi huwa situkani hovyohovyo?hee jamani nilikuwa naomboleza ban yako imeisha?
nawewe yale maneno uliandikiwa au? Sio fresh bwanawe acha tu mpenzi wangu, nilichapwa ban la siku tano kwa makosa, lakini hata hivo nilipowajulisha mamods walistuka wakanifungulia kifungoni, kwao ilikuwa bahati mbaya, siujajua tena mi huwa situkani hovyohovyo?
By the way, kwa nini hata hukunipigia simu au kuntumia e.mail kuonyesha sympathy?:embarrassed:
kwa nn? mhhhhhhhhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:sad::thinking:nawewe yale maneno uliandikiwa au? Sio fresh bwana
ebu rudia hapa basikwa nn? Mhhhhhhhhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:sad::thinking:
mpenzi wangu bebie!!!!!!!!!!!!!!!ebu rudia hapa basi
rudia bwana nijue kama walikuonea kweli rudia bwanampenzi wangu bebie!!!!!!!!!!!!!!!
jamani nirudie nini?rudia bwana nijue kama walikuonea kweli rudia bwana
<br />Yaani mimi nisipopigiwa simu siku nzima huwa najikausha na mimi ila kesho yake natangaza ban