TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,866
- 5,742
1. Steve Nyerere ndiye aliyewapa Mwigullu, Nape, Msukuma na Mlinga namba za simu za Mama Wema Sepetu
2. Nape na kundi lake waliapa kupambana na Makonda bila kumshirikisha Wema kwa vile ni mropojaji , angeweza kutoa siri. Lakini siyo siri tena.
3. Nape walifikiri kufanya hivyo ni kumuokoa Wema kwa vile alikitetea Chama wakati wa uchaguzi. Wakasahau kuwa wanakidhalilisha Chama kutetea wauza Unga tofauti na ilani ya Chama inavyosema
4. Kwa upande wake Steve Nyerere alijua akimuokoa Wema, CCM wangerudi kumbembeleza Wema kupitia kwake na hivyo angepiga pesa za kutosha
5. Steve Nyerere aliwafikia pia Wabunge wa CHADEMA wakiwemo Freeman Mbowe na Zitto Kabwe ndiyo maana Bunge lilipuka
Mytake: 1. Nape , Mwigullu wanapaswa kujitathmini kama wanastahili kuendelea kuwa viongozi waandamizi wa serikali ? Nini hatma ya Nape, Mwiggulu na Msukuma ndani ya CCM?
2. Mwigullu, Nape na Msukuma ni wana CCM waliokuwa maadui namba moja wa CHADEMA, Je Chadema wamefanikiwa kuwamaliza kisiasa? Je wanaweza kuwapokea ndani ya CHADEMA endapo CCM wataamua kutokuwa na imani nao kwa kitendo chao cha kuunganna na Wabunge wengine wa CHADEMA kutetea watuhumiwa wa madawa ya kulevya na hivyo kudhoofisha juhudi za serikali ambayo wao ni sehemu ya serikali katika kupambana na bishara ya dawa za kulevya?
3. Kwa ujumbe wa huu wa sauti kati ya Mama Wema Sepetu na Steve Nyerere na kwa kuzingatia nafaai za Nape na Mwigullu, hawapaswi kujiuzulu ili kulinda heshima ya serikali?
=======
Wema Sepetu kukamatwa na kuhukumiwa kwa kukutwa na madawa ya kulevya
Kuhukumiwa na kuachiwa huru baada ya kulipa faini
2. Nape na kundi lake waliapa kupambana na Makonda bila kumshirikisha Wema kwa vile ni mropojaji , angeweza kutoa siri. Lakini siyo siri tena.
3. Nape walifikiri kufanya hivyo ni kumuokoa Wema kwa vile alikitetea Chama wakati wa uchaguzi. Wakasahau kuwa wanakidhalilisha Chama kutetea wauza Unga tofauti na ilani ya Chama inavyosema
4. Kwa upande wake Steve Nyerere alijua akimuokoa Wema, CCM wangerudi kumbembeleza Wema kupitia kwake na hivyo angepiga pesa za kutosha
5. Steve Nyerere aliwafikia pia Wabunge wa CHADEMA wakiwemo Freeman Mbowe na Zitto Kabwe ndiyo maana Bunge lilipuka
Mytake: 1. Nape , Mwigullu wanapaswa kujitathmini kama wanastahili kuendelea kuwa viongozi waandamizi wa serikali ? Nini hatma ya Nape, Mwiggulu na Msukuma ndani ya CCM?
2. Mwigullu, Nape na Msukuma ni wana CCM waliokuwa maadui namba moja wa CHADEMA, Je Chadema wamefanikiwa kuwamaliza kisiasa? Je wanaweza kuwapokea ndani ya CHADEMA endapo CCM wataamua kutokuwa na imani nao kwa kitendo chao cha kuunganna na Wabunge wengine wa CHADEMA kutetea watuhumiwa wa madawa ya kulevya na hivyo kudhoofisha juhudi za serikali ambayo wao ni sehemu ya serikali katika kupambana na bishara ya dawa za kulevya?
3. Kwa ujumbe wa huu wa sauti kati ya Mama Wema Sepetu na Steve Nyerere na kwa kuzingatia nafaai za Nape na Mwigullu, hawapaswi kujiuzulu ili kulinda heshima ya serikali?
=======
Wema Sepetu kukamatwa na kuhukumiwa kwa kukutwa na madawa ya kulevya
- Wema Sepetu, Mr. Blue, TID, Recho wahusishwa na Dawa za Kulevya. Watakiwa kuripoti kituo cha Polisi
- Kamanda Siro: Wema Sepetu, TID na Nyandu Tozi bado wanashikiliwa na jeshi la polisi
- Sakata la Madawa ya Kulevya: Wema Sepetu afikishwa Mahakamani, apata dhamana
- Wema Sepetu kapatikana na bangi
- Tundu Lissu kumtetea Wema Sepetu
- Maajabu: Serikali haiwajui Vigogo wa Dawa za Kulevya hadi inataka Wema awatajie?
- Makonda kumfuata Wema mahabusu nyakati za usiku, hii imekaaje?
- Sauti ya Wema Sepetu iliyosambaa akiwatoa hofu Mashabiki
- Kesi ya Wema Sepetu hadi mwakani
- Wema Sepetu amefiwa, kesi yake yapigwa kalenda
- Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi
- Wema Sepetu Apandishwa Tena Kizimbani Kisutu leo
- Vita ya Dawa za Kulevya: Steve Nyerere alivyopiga kambi Bungeni Kumuokoa Wema Sepetu
- Kesi ya Wema Sepetu yaahirishwa, uchunguzi haujakamilika
- Kutoka mahakamani: Wema Sepetu hakufanyiwa upekuzi kwenye maungo ya mwili wake, asema Hakimu
- Mkemia Mkuu: Mkojo wa Wema Sepetu ulikuwa na bangi
- Kibatala aandika barua ya kujitoa kesi ya Wema Sepetu, Alberto Msando aandika barua ya kuwa wakili mpya
- KISUTU: Wema Sepetu afika na Wakili wake Msando kwenye kesi. Diamond na Hamisa nao wafika Mahakama ya watoto
- Shahidi kesi ya Wema asema bangi ilikutwa jikoni
- Kisutu: Korti yakataa vielelezo vya ushahidi kesi ya Wema Sepetu. Masogange akutwa na kesi ya kujibu
Kuhukumiwa na kuachiwa huru baada ya kulipa faini