Ni nani aliyekutuma kuoa mwanamke flat screen?

Ni nani aliyekutuma kuoa mwanamke flat screen?

Mimi sipendi makalio makubwa ila ni muumini dana wa hips na miguu
 
Mada imeandikwa kwa ukali balaa!! ila hata hivyo ina ukweli ndani yake.Yaani sijui ni nini kimejengeka kwenye mentality ya wanaume wengi kuwa mwanamke mwenye matako makubwa ndo mzuri,sijui kwa kweli.Binafsi nawazimia sana wanawake wenye makalio makubwa, lkn wale niliofanikiwa kudate nao hawana jipya lolote,wala matako yao hayana mchango wowote kwenye mapenzi. Lkn bado nikiona mwanamke kafungasha napagawa hata sijui ni shetani gani huyu.

mkuu hata mm nakuunga mkono umexema kwel hata mm naona kama ww hua nikiwa nao ndan naona makalio hayana mchango kabixa lakin ndio hivyo ukimwona aliefungaxha lazima utaman
 
Kwani Makalio Yanauhusiano Gani Na Tupu Ya Mwanamke??

Naomba Kuwasilisha!
 
uwiiiii wuwiii uwiiii eeeh na flat screen yangu ndiyo kuniharibia soko jamani mwe mwe mwee mmmh
Hebu muulize naye mwanaume yukoje au ni ile style ya Funcargo au Noah!Yeye yuko na Nkewe kamuoa bado anajipitisha nae rodini huku katega misikio eti wanaume wanamsemaje nkewe!Mbona hazungumzii yeye anavyojadiliwa.
 
Haa! Mi nashukuru Mungu hakunifanyiaga ubahili katika hilo! nina ka TV kenye kisogo! And i keep away from the children.
 
Vipi bana kila mmoja anataste yake, Tupo tunaimaind flat screen, it's an art, unreasonably
 
wengine tuko addicted na chakula cha mtoto..hivyo vyungu na nyama zake tunawaachia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom