Ni nani aliyekutuma kuoa mwanamke flat screen?

Ni nani aliyekutuma kuoa mwanamke flat screen?

Kwahiyo mleta mada ndo unataka wenye flat tusiolewe au? ushindwe na ulegee
 
Flat screen wako poa sana kuliko hao wenye viazi
 
Naaaum ila cha kuzingatia
Ni kutokuwa na mmbano kwa juu
wataalamu wanaita....
Dah jina limenitoka
yaani mapaja hayagusani
lakini kochi zake mashauulaaah:eyebrows:
 
Inawezekana wewe ndiyo unatukosea adabu, hebu tuwekee hapa picha ya hilo furushi la mkeo unalojivunia tulione, tulievaluate na pia iwe kama ushahidi wa bila shaka yoyote kwamba analo.
 
Mkuu inaonekana matembezi yako ni Kariakoo, mbagala, Ilala ama Keko. Kama hutaki hizo kero tembea na wako Maeneeo ya Masaki, Osterbay Upanga. Huko hatunaga huo upuuzi wa kupiga mayowe kwa sababu ya makalio ya wake za watu
 
Karibu Dangote Mtwara ujionee fursa za uwekezajiii! Hongera mkuu wa Mkoa kwa 'kuvutia' wawekezajiiii... Safari hii lazima uchukue na uwaziri wa viwanda na biashara au ile wizara tata ya utaliii...
 

Attachments

  • Mtwara.JPG
    Mtwara.JPG
    59.6 KB · Views: 814
Karibu Dangote Mtwara ujionee fursa za uwekezajiii! Hongera mkuu wa Mkoa kwa 'kuvutia' wawekezajiiii... Safari hii lazima uchukue na uwaziri wa viwanda na biashara au ile wizara tata ya utaliii...
Tupia code no. ya hii nchi
 
Ahahah flat screen weng wachaga... Anyway.... Wanaume weng waoga.. Hawajiamin kama wanaweza kuoa mke anayetamanisha wengi... Na akatulia
 
Wanaume hata angekua na mwanamke kama malaika lakin bado atatamani mwingineee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom