Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,636
- 2,731
Tupia code no. ya hii nchi
+255 Hiyo hapo mkuu!
Tupia code no. ya hii nchi
Nilidhani flat screen ndio habari ya mjini kumbe zenye vichogo bado zinatamba!
Iwe flat screen au yenye kichogo picha ni zile zile! Au Dstv haikamati flat screen?
Naongea na wanaume wenzangu wale walio owa wanawake wenye makalio madogo halafu wakiona wa wenzao wenye makalio makubwa wanaanza kupiga mikelele.
Utakuta uko na mkeo matembezini uku kafungashia kidogo basi mijanaume isiyokuwa na akili inaanza kupiga mayowe oh wakubwa wanafaidi ohh marshallah.
Kwanini na wewe usioe au kutafuta mwanamke mwenye makalio na ukaacha kutamani vya wenzao. Kwanza unamkosea adabu mwanaume mwenzio kupiga miyowe utadhani umeona utupu wa mzazi wako.
Acheni ujinga tuacheni tuenjoy na wake zetu maana hatukuwatuma kuoa flat screen.
Nitonye
Hatuyaachi.Yanabaki na kinyesi kinyesi
haya sie flatscreen leo tumeamuliwa
Kwa mfano , in worst scenario, ukakutana na wasichana 2, mmoja flat na mwingine Chogo , alaf ukakuta wote hawana akil kichwan , we utamchagua yupi?, Men weng hatupend wanawake wanao lala na wanaume weng, obvious huyo mwenye Chogo hafai Kuwa mke coz atakuwa anagongeka kirahis...,
Will go for flat ,