thesym
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 3,791
- 4,679
Unamfahamu etoo wakati anacheza Real Malorca kwa mkopo? Waulize Real Mardlid.Kinachombeba Etoo ni bahati ya kucheza kwenye timu kubwa zenye uwekezaji maridhawa hivyo ni rahisi zaidi kupata mafanikio. Kama Drogba angecheza Barcelona au Inter Milan huenda angekua na record zaidi ya Etoo.
Binafsi nampa Drogba kwa fighting spirit aliyokua nayo, Etoo pia sio mchezaji mbaya ila mazingira yalimbeba zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Etoo wakati anaenda barca, barca ilikuwa iko hovyo(ilikuwa inazidiwa hadi na valencia ya benitez) na wakati huo pia chelsea pia ndio inaibukia kwenye ushindani badala ya roman kuinunua.
Viwango vya barca vs chelsea havikuwa na tofauti kiivyo.
Lakini mpaka muda huo barca ilibebwa na wachezaji watatu, gaucho, deco na etoo kabla ya gardiola.
Hivyo kwa hii hoja yako Etoo ni bora mara mia kuliko drogba.
Uzuri wote walihamia hizo timu kwa nyakati moja(hawakupishana sana)