Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,315
- 7,730
Boss alikuwa anapita kucheki site yake ya ujenzi, watu wote walikuwa bizi katika zunguka yake si akamkuta kijana mmoja kaegamia ukuta hana wasiwasi kabisa, tena anatafuna karanga.
BOSI: We mjinga unapata shilingi ngapi kwa mwezi?
KIJANA: Alfu themanini mzee... Bosi akafungua pochi yake akatoa laki akampa kijana
BOSI: Chukua hii laki na potea hapa mi siajili watu kuja kusimama tu hapa. Bosi akamuita Msimamizi wa site;
BOSI: Yule kijana niliyemfukuza alikuwa anafanya kazi gani?
MSIMAMIZI: Yule hakuwa anafanya kazi hapa,ni muuza karanga alikuwa anapita tu
BOSI: We mjinga unapata shilingi ngapi kwa mwezi?
KIJANA: Alfu themanini mzee... Bosi akafungua pochi yake akatoa laki akampa kijana
BOSI: Chukua hii laki na potea hapa mi siajili watu kuja kusimama tu hapa. Bosi akamuita Msimamizi wa site;
BOSI: Yule kijana niliyemfukuza alikuwa anafanya kazi gani?
MSIMAMIZI: Yule hakuwa anafanya kazi hapa,ni muuza karanga alikuwa anapita tu