Hii ishu hata mi nishawahi kuiwaziaHuwa nafikiria sana katika muktadha wa kidini ambao umesema kuna ujio wa yesu kwa mara ya pili.
We unayeamini ushawahi fikiria siku Yesu amekuja atapata changamoto gani kuwaaminisha watu kua yeye ndio Yesu?
Atatumia namna gani kuwaaminisha watu?
Tuna records za watu wengi kusema wao ni yesu lakini mwisho wao haukuwa mzuri.
Je huyo Yesu halisia unayesema atakuja atakuwa na kitu gani cha kipekee kujitofautisha na hao waliotangulia?
Hata akifanya muujiza ila katika ulimwengu wenye watu walio elimika watasema tu hiyo ni trick.
Na usikute upinzani akaupata zaidi kutoka kwa mapasta kama isivyo tegemewa. Na wakawa wanapinga kwa hoja kupitia vifungu vya biblia hiyo hiyo iliyomtaja na kutambiri ujio wake
Wakisema "biblia imeelezea mwisho wa dunia watatokea watu wengi kama wewe wakijinasibu kuwa ni Yesu". Halafu watamkemea kwa jina lake mwenyewe kuwa atoke yeye ni pepo.
Mwisho wanaweza mpa hata kesi ya uhujumu uchumi na mdhamana asipewe. Hao ndio watu wa kileo
mbona kitabu??Mtu katoa ushuhuda lakini Kila mtu hajaridhika na story wanataka mpaka picha
Imagine content yote hiyo lakini bado haijatosha kuifanya habari ichukuliwe serious.
Na hiyo picha inayoombwa sio kama ndio itakata kiu ya uthibitisho,
Sometimes unaweza fikiria labda hawa watu wakipewa picha watakubali lakini utashangaa picha imewekwa lakini wakafungua ukurasa mwingine, picha imekuwa debunked unaambiwa hiyo ni photoshop.
Hiyo yote ni kwasababu ya elimu. Penye elimu ni ngumu sana kushawishi watu kihisia na ndio maana mapasta wa miaka hii wako katika wakati mgumu kumshawishi mtu kwa dhana ya miujiza kwa ushuhuda.
Huwa nafikiria sana katika muktadha wa kidini ambao umesema kuna ujio wa yesu kwa mara ya pili.
We unayeamini ushawahi fikiria siku Yesu amekuja atapata changamoto gani kuwaaminisha watu kua yeye ndio Yesu?
Atatumia namna gani kuwaaminisha watu?
Tuna records za watu wengi kusema wao ni yesu lakini mwisho wao haukuwa mzuri.
Je huyo Yesu halisia unayesema atakuja atakuwa na kitu gani cha kipekee kujitofautisha na hao waliotangulia?
Hata akifanya muujiza ila katika ulimwengu wenye watu walio elimika watasema tu hiyo ni trick.
Na usikute upinzani akaupata zaidi kutoka kwa mapasta kama isivyo tegemewa. Na wakawa wanapinga kwa hoja kupitia vifungu vya biblia hiyo hiyo iliyomtaja na kutambiri ujio wake
Wakisema "biblia imeelezea mwisho wa dunia watatokea watu wengi kama wewe wakijinasibu kuwa ni Yesu". Halafu watamkemea kwa jina lake mwenyewe kuwa atoke yeye ni pepo.
Mwisho wanaweza mpa hata kesi ya uhujumu uchumi na mdhamana asipewe. Hao ndio watu wa kileo
Hiki kizazi kingekuwa katika ile miaka ya nyuma waliyoishi mababu zetu, aisee waarabu na wazungu sijui kama wangefanikisha kuturithisha dini zao.
Hapa hasa ndipo kwenye swali langu.labda niongezee kwa swala jengine ambalo nalo limekuwa likitokea mara kwa mara.Kuna watoto ambao wanazaliwa wakiwa wamehifadhi juzuu zote thelathini pamoja na mafundisho yote ya dini ya uislam.Wanaitwaga masharifu.Sasa hapo ndipo lile swali langu linapokuja.Nakumbuka huko Moshi kuna kondoo alizaliwa na maandishi ya Koran ubavuni. Ilikuwa gumzo kweli. Ila wanazuoni waliweza kuisoma ile aya ubavuni mwa mwanakondoo kwako.... mgen
![]()
Kondoo mwenye korani azaliwa
KIJIJI cha Uduru wilayani Hai mkoani Kilimanjaro kimegeuka eneo la utalii baada ya waumini wa madhehebu ya Kiislamu kutoka maeneo mbalimbali wilayani humo na maeneo jirani, kwenda kumshuhudia kondoo aliyezaliwa ameandikwa maneno mwilini kwa lugha ya Kiarabu. Waumini hao walifurika kijijini hapo...www.jamiiforums.com
View attachment 2270740
Ucjali ndugu ntawawekea picha ambazo zitakuwa zinaonekanambona kitabu??
nilitaka kuona hio keki hilo tu kwani angeweka picha kingetokea nn sawa ameelezea nimemuelewa hukutaka kuiona hio keki?? mie nilitaka tu niione na hayo maneo yake
Mimi cna jibu asee.Ila wapo wajuzi watakujibu.Mkuu hii dini ni kwaajili ya binadamu & majini
Umeandika kwa urefu sana mkuu. Huyu jamaa kasema ni tukik lililotokea na picha zikapigwa na kusambazwa. Habari hii tunaiona kwa mara ya kwanza.Mtu katoa ushuhuda lakini Kila mtu hajaridhika na story wanataka mpaka picha
Imagine content yote hiyo lakini bado haijatosha kuifanya habari ichukuliwe serious.
Na hiyo picha inayoombwa sio kama ndio itakata kiu ya uthibitisho,
Sometimes unaweza fikiria labda hawa watu wakipewa picha watakubali lakini utashangaa picha imewekwa lakini wakafungua ukurasa mwingine, picha imekuwa debunked unaambiwa hiyo ni photoshop.
Hiyo yote ni kwasababu ya elimu. Penye elimu ni ngumu sana kushawishi watu kihisia na ndio maana mapasta wa miaka hii wako katika wakati mgumu kumshawishi mtu kwa dhana ya miujiza kwa ushuhuda.
Huwa nafikiria sana katika muktadha wa kidini ambao umesema kuna ujio wa yesu kwa mara ya pili.
We unayeamini ushawahi fikiria siku Yesu amekuja atapata changamoto gani kuwaaminisha watu kua yeye ndio Yesu?
Atatumia namna gani kuwaaminisha watu?
Tuna records za watu wengi kusema wao ni yesu lakini mwisho wao haukuwa mzuri.
Je huyo Yesu halisia unayesema atakuja atakuwa na kitu gani cha kipekee kujitofautisha na hao waliotangulia?
Hata akifanya muujiza ila katika ulimwengu wenye watu walio elimika watasema tu hiyo ni trick.
Na usikute upinzani akaupata zaidi kutoka kwa mapasta kama isivyo tegemewa. Na wakawa wanapinga kwa hoja kupitia vifungu vya biblia hiyo hiyo iliyomtaja na kutambiri ujio wake
Wakisema "biblia imeelezea mwisho wa dunia watatokea watu wengi kama wewe wakijinasibu kuwa ni Yesu". Halafu watamkemea kwa jina lake mwenyewe kuwa atoke yeye ni pepo.
Mwisho wanaweza mpa hata kesi ya uhujumu uchumi na mdhamana asipewe. Hao ndio watu wa kileo
Hiki kizazi kingekuwa katika ile miaka ya nyuma waliyoishi mababu zetu, aisee waarabu na wazungu sijui kama wangefanikisha kuturithisha dini zao.
Imepita miaka kama kumi na saba tangu ili tukio na wala sio mwezi wa ramadhani uliopita ndugu.Na km bnadamu ambaye nilikulia katika familia iliyo kwenye upande wa uislam lile tukio lilinifanya kuzidi kuamini zaidi uislam na sio kuanza kujiuliza.Nimekuwa sasa,Kuna vng najifunza kwa kusoma,kuona na kusikia.Akili inajaribu kupata jibu kamilifu mara kwa mara juu ya lile tukio.Jana niliporudi nyumbani nikakumbusha kuhusu lile tukio.Nia yangu ilikuwa kutaka kuulizia yeyote ambaye ana ushahidi wa lile tukio kwa maana ambaye amehifadhi vizuri zile picha.Toka mwezi wa ramadhani mpaka leo imepita miezi mingapi? Au hukuwa na bando?
Hizo Aya zilikuwa zinasemaje baada ya kutafsiriwa?Naomba nisaidiwe mawazo ktk hili.Miaka ya nyama katika nyumba ninayoishi lilipata kutokea tukio.
Ilikuwa ni usiku wa mwisho wa mwezi ramadhan,Dada yangu ambaye ndiye mpishi wetu wa miaka yote huwa halali siku hii.Badia,kachori na mapochopocho kibao ya chai huwa anayaandaa usiku huu.
Sasa bhanaa mida flani ya Alfajiri akiwa anakata keki akashangaa kuona keki yenyewe imejichora mstari 'zigzag'(Kwa kawaida keki ambazo huwa anazipika zinakuwa na mstari katikati ambao umenyooka).
Alihisi labda atakuwa amekosea kuipika ile keki so akaiweka pembeni then akachukua keki nyingine,alipoanza kuikata nayo ikawa ni yale yale zigzag.Na ya tatu pia,ya nne,tano,sita.Zote zip vile vile,akapagawa.
Tayari kulikuwa kumeshapambazuka na kwa maelezo yake alisema sms ya WhatsApp toka kwenye moja ya group wapishi wenzie iliingia na akaona tukio linalofanana na yeye,ila mwenzie alikuwa na maelezo ya kile ambacho kimetokea.
Zile keki zote zilikuwa zimejichora aya za quran. Sister chuo alikimbia so hakuna alichoambua,Ikabidi aamshe watu kuwaelezea.Mimi nikiwa mmoja wa hao walioamka kushuhudia hayo maajabu.
Alikuwepo cousin wangu mmoja ambaye alikuwa ameifadhi juzuu 30 kichwani so yeye ndiye aliyeyasoma yale maandishi then asubuh ileile alitafutwa mpiga picha then akazipiga picha zile keki kabla ya kukatwa vipande.
Halikuwa tukio la nyumba moja.Picha zilikuwa ni nyingi siku hii hasa kuzingatia WhatsApp ndio ilikuwa inashika chat yake.so kila keki ilikuwa ina aya tofauti.Cha kushangaza ilitokea katika wilaya yetu tu.
Km isingelitokea nyumbani kwetu ingekuwa ngumu kuniaminisha juu ya lile tukio.
Sasa hapo ndipo napoitaji mawazo yenu ndugu zangu wote wenye kuamini na hata wale wasioamini juu ya uwepo wa mungu.JE,Nini kile ambacho kilitokea?
Wapishi wote waliboronga?..Au ni MUNGU?,Na kama ni MUNGU kwann atumie aya za Quran??
Na mimi nataka kujua...Hizo Aya zilikuwa zinasemaje baada ya kutafsiriwa?
Tumsubilie mleta mada atuambieNa mimi nataka kujua...
Muongo mkubwa wewe , miaka kumi na saba (17) whatsaap haikuwepo 😂 😂..Imepita miaka kama kumi na saba tangu ili tukio na wala sio mwezi wa ramadhani uliopita ndugu.Na km bnadamu ambaye nilikulia katika familia iliyo kwenye upande wa uislam lile tukio lilinifanya kuzidi kuamini zaidi uislam na sio kuanza kujiuliza.Nimekuwa sasa,Kuna vng najifunza kwa kusoma,kuona na kusikia.Akili inajaribu kupata jibu kamilifu mara kwa mara juu ya lile tukio.Jana niliporudi nyumbani nikakumbusha kuhusu lile tukio.Nia yangu ilikuwa kutaka kuulizia yeyote ambaye ana ushahidi wa lile tukio kwa maana ambaye amehifadhi vizuri zile picha.
Niliamua kulileta hili jambo humu ndani ili kupata mawazo yenu.Mawazo yenu hasa ndio kiu yangu maana bado naishi nikijifunza.Vitabu vingi vya dini vinamueleza binadam na majukumu yake hapa duniani.Vipo vinavyowiana kimtindo na vingine vipo tofauti kabisa,Ila navyo ni vitabu na vilikuwa na wahumini kulingana na muda wake.Na vyengine vilikuwepo nyuma zaidi kabla ya vitabu vyetu watu wa kizazi hiki.
Sasa kuna kipindi ambacho wazungu wanakiita 'DARK AGES'.Inavyosemekana kipindi hiki ndicho ambacho mtawala wa dunia kipindi hicho WARUMI waliamua kuifuta historia ya dunia na kuandika mpya na kuua yeyote ambaye anaujua ukweli na hakuwa upande wao.Mambo mengi yalitokea muda huu,Vitu vingi vilibadilishwa.Ukweli mwingi ukazikwa na watu wake.Mambo yameenda hadi kufikia hapa tulipo.Hizi story za message za mungu zipo nyingi dunia nzima na ni dini zote.Ukisoma kitabu cha End Of Days cha Sylvia Browne utaona ushuhuda kutokea kwenye dini mbali mbali.Lakini hili limenitokea mimi nyumbani kwetu sijasimuliwa.
Its ok.Bt nia yangu haikuwa kuionyesha jamii km mm ni mkwel au la.dhima ni kupeana elimu au ufafanuzi wa mada husika.sasa kwanini niongope kwa sala ambalo halinipi faida yoyote.Km unaona naongopa au natangaza dini its ok....Muongo mkubwa wewe , miaka kumi na saba (17) whatsaap haikuwepo![]()
..
Hivi ni lazima uitetee dini yako kwa kusema uongo.... daah eti miaka 17
Zilikuwapo aya za kumtunguza mungu,maonyo na nyinginezo.Hizo Aya zilikuwa zinasemaje baada ya kutafsiriwa?