Ni Mungu au?

Ni Mungu au?

Mucho Hunter

Member
Joined
Apr 27, 2022
Posts
8
Reaction score
7
Naomba nisaidiwe mawazo ktk hili.Miaka ya nyama katika nyumba ninayoishi lilipata kutokea tukio.

Ilikuwa ni usiku wa mwisho wa mwezi ramadhan,Dada yangu ambaye ndiye mpishi wetu wa miaka yote huwa halali siku hii.Badia,kachori na mapochopocho kibao ya chai huwa anayaandaa usiku huu.

Sasa bhanaa mida flani ya Alfajiri akiwa anakata keki akashangaa kuona keki yenyewe imejichora mstari 'zigzag'(Kwa kawaida keki ambazo huwa anazipika zinakuwa na mstari katikati ambao umenyooka).

Alihisi labda atakuwa amekosea kuipika ile keki so akaiweka pembeni then akachukua keki nyingine,alipoanza kuikata nayo ikawa ni yale yale zigzag.Na ya tatu pia,ya nne,tano,sita.Zote zip vile vile,akapagawa.

Tayari kulikuwa kumeshapambazuka na kwa maelezo yake alisema sms ya WhatsApp toka kwenye moja ya group wapishi wenzie iliingia na akaona tukio linalofanana na yeye,ila mwenzie alikuwa na maelezo ya kile ambacho kimetokea.

Zile keki zote zilikuwa zimejichora aya za quran. Sister chuo alikimbia so hakuna alichoambua,Ikabidi aamshe watu kuwaelezea.Mimi nikiwa mmoja wa hao walioamka kushuhudia hayo maajabu.

Alikuwepo cousin wangu mmoja ambaye alikuwa ameifadhi juzuu 30 kichwani so yeye ndiye aliyeyasoma yale maandishi then asubuh ileile alitafutwa mpiga picha then akazipiga picha zile keki kabla ya kukatwa vipande.

Halikuwa tukio la nyumba moja.Picha zilikuwa ni nyingi siku hii hasa kuzingatia WhatsApp ndio ilikuwa inashika chat yake.so kila keki ilikuwa ina aya tofauti.Cha kushangaza ilitokea katika wilaya yetu tu.

Km isingelitokea nyumbani kwetu ingekuwa ngumu kuniaminisha juu ya lile tukio.
Sasa hapo ndipo napoitaji mawazo yenu ndugu zangu wote wenye kuamini na hata wale wasioamini juu ya uwepo wa mungu.JE,Nini kile ambacho kilitokea?

Wapishi wote waliboronga?..Au ni MUNGU?,Na kama ni MUNGU kwann atumie aya za Quran??
 
Zamani nakumbuka niliona hii Mombasa,Kenya kwenye ukuta wa nyumba na wenye nyumba waliweka frame ya kioo.


Kwioooo
 



Picha mzee baba

Picha umekula?
Mtu katoa ushuhuda lakini Kila mtu hajaridhika na story wanataka mpaka picha

Imagine content yote hiyo lakini bado haijatosha kuifanya habari ichukuliwe serious.

Na hiyo picha inayoombwa sio kama ndio itakata kiu ya uthibitisho,

Sometimes unaweza fikiria labda hawa watu wakipewa picha watakubali lakini utashangaa picha imewekwa lakini wakafungua ukurasa mwingine, picha imekuwa debunked unaambiwa hiyo ni photoshop.

Hiyo yote ni kwasababu ya elimu. Penye elimu ni ngumu sana kushawishi watu kihisia na ndio maana mapasta wa miaka hii wako katika wakati mgumu kumshawishi mtu kwa dhana ya miujiza kwa ushuhuda.

Huwa nafikiria sana katika muktadha wa kidini ambao umesema kuna ujio wa yesu kwa mara ya pili.

We unayeamini ushawahi fikiria siku Yesu amekuja atapata changamoto gani kuwaaminisha watu kua yeye ndio Yesu?

Atatumia namna gani kuwaaminisha watu?

Tuna records za watu wengi kusema wao ni yesu lakini mwisho wao haukuwa mzuri.

Je huyo Yesu halisia unayesema atakuja atakuwa na kitu gani cha kipekee kujitofautisha na hao waliotangulia?

Hata akifanya muujiza ila katika ulimwengu wenye watu walio elimika watasema tu hiyo ni trick.

Na usikute upinzani akaupata zaidi kutoka kwa mapasta kama isivyo tegemewa. Na wakawa wanapinga kwa hoja kupitia vifungu vya biblia hiyo hiyo iliyomtaja na kutambiri ujio wake

Wakisema "biblia imeelezea mwisho wa dunia watatokea watu wengi kama wewe wakijinasibu kuwa ni Yesu". Halafu watamkemea kwa jina lake mwenyewe kuwa atoke yeye ni pepo.

Mwisho wanaweza mpa hata kesi ya uhujumu uchumi na mdhamana asipewe. Hao ndio watu wa kileo

Hiki kizazi kingekuwa katika ile miaka ya nyuma waliyoishi mababu zetu, aisee waarabu na wazungu sijui kama wangefanikisha kuturithisha dini zao.
 
Nakumbuka huko Moshi kuna kondoo alizaliwa na maandishi ya Koran ubavuni. Ilikuwa gumzo kweli. Ila wanazuoni waliweza kuisoma ile aya ubavuni mwa mwanakondoo kwako.... mgen


kondoo.jpg
 
Mtu katoa ushuhuda lakini Kila mtu hajaridhika na story wanataka mpaka picha

Imagine content yote hiyo lakini bado haijatosha kuifanya habari ichukuliwe serious.

Na hiyo picha inayoombwa sio kama ndio itakata kiu ya uthibitisho,

Sometimes unaweza fikiria labda hawa watu wakipewa picha watakubali lakini utashangaa picha imewekwa lakini wakafungua ukurasa mwingine, picha imekuwa debunked unaambiwa hiyo ni photoshop.

Hiyo yote ni kwasababu ya elimu. Penye elimu ni ngumu sana kushawishi watu kihisia na ndio maana mapasta wa miaka hii wako katika wakati mgumu kumshawishi mtu kwa dhana ya miujiza kwa ushuhuda.

Huwa nafikiria sana katika muktadha wa kidini ambao umesema kuna ujio wa yesu kwa mara ya pili.

We unayeamini ushawahi fikiria siku Yesu amekuja atapata changamoto gani kuwaaminisha watu kua yeye ndio Yesu?

Atatumia namna gani kuwaaminisha watu?

Tuna records za watu wengi kusema wao ni yesu lakini mwisho wao haukuwa mzuri.

Je huyo Yesu halisia unayesema atakuja atakuwa na kitu gani cha kipekee kujitofautisha na hao waliotangulia?

Hata akifanya muujiza ila katika ulimwengu wenye watu walio elimika watasema tu hiyo ni trick.

Na usikute upinzani akaupata zaidi kutoka kwa mapasta kama isivyo tegemewa. Na wakawa wanapinga kwa hoja kupitia vifungu vya biblia hiyo hiyo iliyomtaja na kutambiri ujio wake

Wakisema "biblia imeelezea mwisho wa dunia watatokea watu wengi kama wewe wakijinasibu kuwa ni Yesu". Halafu watamkemea kwa jina lake mwenyewe kuwa atoke yeye ni pepo.

Mwisho wanaweza mpa hata kesi ya uhujumu uchumi na mdhamana asipewe. Hao ndio watu wa kileo

Hiki kizazi kingekuwa katika ile miaka ya nyuma waliyoishi mababu zetu, aisee waarabu na wazungu sijui kama wangefanikisha kuturithisha dini zao.
Iandikie "siredi" mkuu.
 
Mtu katoa ushuhuda lakini Kila mtu hajaridhika na story wanataka mpaka picha

Imagine content yote hiyo lakini bado haijatosha kuifanya habari ichukuliwe serious.

Na hiyo picha inayoombwa sio kama ndio itakata kiu ya uthibitisho,

Sometimes unaweza fikiria labda hawa watu wakipewa picha watakubali lakini utashangaa picha imewekwa lakini wakafungua ukurasa mwingine, picha imekuwa debunked unaambiwa hiyo ni photoshop.

Hiyo yote ni kwasababu ya elimu. Penye elimu ni ngumu sana kushawishi watu kihisia na ndio maana mapasta wa miaka hii wako katika wakati mgumu kumshawishi mtu kwa dhana ya miujiza kwa ushuhuda.

Huwa nafikiria sana katika muktadha wa kidini ambao umesema kuna ujio wa yesu kwa mara ya pili.

We unayeamini ushawahi fikiria siku Yesu amekuja atapata changamoto gani kuwaaminisha watu kua yeye ndio Yesu?

Atatumia namna gani kuwaaminisha watu?

Tuna records za watu wengi kusema wao ni yesu lakini mwisho wao haukuwa mzuri.

Je huyo Yesu halisia unayesema atakuja atakuwa na kitu gani cha kipekee kujitofautisha na hao waliotangulia?

Hata akifanya muujiza ila katika ulimwengu wenye watu walio elimika watasema tu hiyo ni trick.

Na usikute upinzani akaupata zaidi kutoka kwa mapasta kama isivyo tegemewa. Na wakawa wanapinga kwa hoja kupitia vifungu vya biblia hiyo hiyo iliyomtaja na kutambiri ujio wake

Wakisema "biblia imeelezea mwisho wa dunia watatokea watu wengi kama wewe wakijinasibu kuwa ni Yesu". Halafu watamkemea kwa jina lake mwenyewe kuwa atoke yeye ni pepo.

Mwisho wanaweza mpa hata kesi ya uhujumu uchumi na mdhamana asipewe. Hao ndio watu wa kileo

Hiki kizazi kingekuwa katika ile miaka ya nyuma waliyoishi mababu zetu, aisee waarabu na wazungu sijui kama wangefanikisha kuturithisha dini zao.
mbona unalalamika sana? elimu haitoshi kama huna akili, je, ukitoa kile ulichofundishwa kinachobaki ndo akili je,una akili wewe
 
Back
Top Bottom