Ni muhimu kujenga Arena ambayo mashindano ya VITASA yatakuwa yanafanyika na sio kufanyika vichochoroni kama ilivyo sasa

Ni muhimu kujenga Arena ambayo mashindano ya VITASA yatakuwa yanafanyika na sio kufanyika vichochoroni kama ilivyo sasa

Dennis Robert Shughuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2024
Posts
4,124
Reaction score
6,141
Venue zinazotumiwa na VITASA ni mbovu mno kuna mda unajiuliza hii itaendelea mpaka lini

Fahamu watanzania wengi sana wanapenda haya mashindano ya ngumi ila venue zake ni mbovu sana ziko local, na hazivutii kabisa watu wanapigania vichochoroni

KATIKA MAMBO NTAKAYOYAFANYA NI KUHAKIKISHA KUNAJENGWA ARENA YA WATU ELFU 18 AMBAYO ITAKUA INAFANYIKA EVENTS NYINGI MOJA WAPO NI VITASA

Jambo la kufahamu mashindano ya VITASA yame ajiri watu wengi na yanaweza ajiri watu wengi sana direct na indirect na pia tunaweza kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha mashindano ya boxing msisitizo ni kujenga Arena nyingi ili mashindano yawe yanafanyikia kwenye mazingira mazuri na ya kisasa na sio kwenye haya mazingira yaliyopo

Mashindano ya VITASA yanaweza yakaitangaza sana nchi kama kukiwa na uwekezaji mkubwa sasa hivi hayana uwekezaji ndo changamoto kubwa inayoyakabili haya mashindano

 
Jambo la kufahamu mashindano ya VITASA yame ajiri watu wengi na yanaweza ajiri watu wengi sana direct na indirect na pia tunaweza kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha mashindano ya boxing msisitizo ni kujenga Arena nyingi ili mashindano yawe yanafanyikia kwenye mazingira mazuri na ya kisasa na sio kwenye haya mazingira yaliyopo
 
Kwahiyo wewe kwako arena ndio kipaumbele chako.Wengine nao wanavipaumbele vyao vingine.kwasababu huwezii kufanya vyote kwa wakati mmoja..
Waafrika kila jambo hatuwezi hujui kama michezo ni ajira na inaweza ingizia serikali fedha nyingi sana tofauti na sasa hivi

Hamtaki tuwekeze kwenye michezo hapa nchini ila weekend mnakodolea TV zenu mnaangalia michezo ya wazungu huku mkiwanufaisha wazungu tunasikitisha sana
 
Back
Top Bottom