Ni Muhimu kuentertain mume wako

Ni Muhimu kuentertain mume wako

hamna shida Smile ndivyo Mungu alivyotofautisha ufikiri wetu!asante kwa kuusoma upuuzi wangu anyway!nakugeuzia na shavu la pili! na hata kama hutakubali ndoa za hivyo zina furaha kuliko za kushindana!
hata walio single pia wana raha zao ....ndoa ni wito na uamuzi kama maamuzi mengine sio bahati...so mapadre hawana bahati si waliamua wenyewe toka wapo wadogo...
 
Nimewaona wengi sana,mwingine huyu hapa katoka kula sasa hivi

na amesema kashiba mbaya ila hapa namuona anaenda kula tena!!!!!


Kwanza huwezi kujua mtu kashiba,huo ni ukweli

Sasa huyo umejuaje kama kashiba?

Halafu umejuaje kama anaenda kula?
 
royna ,

Nilkuambia si unawaona???????????????

Ha,ha,ha,ha,ha,ha,ha,ha,ha,haaaaaaa!!!!!!!!!!!!!
namsamehe! kama hajui kuwa kuolewa ni jambo la kupewa hongera, si wa kubishana naye! huwezi thamani ya kiyu mpaka ukikipoteza.
 
hiyo line ya kwanza nimekuona huna akili kabisa.....upuuzi mtupu

sijui kwanini tunataka kuona ndoa ndio kila kitu kwenye maisha, sawa ndoa ni nzuri lakini tusiifanye kama bila ndoa basi ndio mwisho wa maisha ya mtu.
 
Hii kauli ya kuongeza mapenzi kwa mwenza imetawala sana anga la mmu. Tatizo langu ni kipimo gani kinatumika.

Nataka niongeze mapenzi kwa mke wangu. Naombeni kipimo tafadhali
 
ujumbe umeshiba,umeongea ukweli cha msingi wake zetu wasome na kuyaishi uliyonena hapa,mungu akubariki.

hata wakiishi kama malaika bado mijicho kodooo! Kwa secretary wako ! Mnamana nyie? Loh!
 
Eiyer, akibadilika mmoja wangu ni mafanikio makubwa saaaaaaaaaaaaaaaana! naye atabadilisha wengine, itakuwa chain mwisho tubadilika wote!

binadamu ni viumbe wagumu sana huwezi kuwabadili wote!
 
Mmmh mijanaume mingine ipo km migumegume fanya ufanyavyo care ucarevyo kwao its nothing sijui ikoje.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
asante sana watu8 kwa kuongezea, ni vema mke ukakicrate mazingira, ukishaoga vaa kikanga chepesi, fanya kama unanyoosha nyoosha shuka, au unaangalia uvunguni, inampunguzia baba uchovu!

nini? Utafanya hvyo mara ngapi ? Si utumwa huu! wanaume hawaridhiki hata umkalie uchi saba mara sabini!
 
I tell u wahat

Ni jambi gumu sana kubadilika kwa aina hii

Ngoja wenzako waje halafu utajua mimi niaongea nini!!!!

ndo tushakuja bado kubwa la maadui! amejitahd but mengine ni too general since men and women differ in various aspects hata katika suala la mapenzi na ndoa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom