Ni Muhimu kuentertain mume wako

Ni Muhimu kuentertain mume wako

Ina maana anayeruhusiwa kurudi na stress nyumbani ni mwanamme peke yake sio? Unarudi kulekule what if hana hsegal wa kukusaidia je? Again wanaume wengi hawataki kupikiwa na hsegal au kutandikiwa kitanda au kufuliwa au hata kupokewa mizigo akitoka kazini! Nimeeleza kusaidiana kazi baada ya kutoka job! Hsegal, ndiye asaidie watoto kufanya hmwork! Hsegal ndiye abebe mtoto wakati napika baba amekaa hajigusi km mgeni kwny Nyumba yake! It goes both ways, tuhudumiane, tusaidiane! Hakuna mfalme wala mtumwa kwny ndoa! Nitampikia, nitamuwekea chakula na kumpetpet lakini naye atimize wajibu wake! Na cku nikishindwa kwa sabb ya kazi au ugonjwa aelewe na c kutafuta Nyumba ndogo!
Thank you.
Mwenye masikio na asikie.
CC. OLESAIDIMU
 
Last edited by a moderator:
Ina maana anayeruhusiwa kurudi na stress nyumbani ni mwanamme peke yake sio?
Unarudi kulekule what if hana hsegal wa kukusaidia je? Again wanaume wengi hawataki kupikiwa na hsegal au kutandikiwa kitanda au kufuliwa au hata kupokewa mizigo akitoka kazini!
Nimeeleza kusaidiana kazi baada ya kutoka job! Hsegal, ndiye asaidie watoto kufanya hmwork! Hsegal ndiye abebe mtoto wakati napika baba amekaa hajigusi km mgeni kwny Nyumba yake!
It goes both ways, tuhudumiane, tusaidiane! Hakuna mfalme wala mtumwa kwny ndoa!

Nitampikia, nitamuwekea chakula na kumpetpet lakini naye atimize wajibu wake! Na cku nikishindwa kwa sabb ya kazi au ugonjwa aelewe na c kutafuta Nyumba ndogo!

well said, I think!
 
hakuna nilipoandika kuwa ukifanya hivyo ndoa yako au mume wako atakuwaje. Huwezi kuacha kufanya wajibu wako kwasababu ya matokeo usiyajua. mtu kutoka nje ni dhambi yake, kwa nini wewe uache kutenda mema au wajibu wako kwa kukosa kwake ustaarabu?

Well said! Lakini ukiwa kama binadamu unachoka mami! Inahitaji uvumilivu wa hali ya juu na pengine Mungu kuhusika kwa karibu!
Bado hata kama unafanya haiondoi maumivu na kuleta furaha ya kweli!
Mama yangu anasema vumilia vumilia ndio wimbo kwny ndoa!
 
Thank you.
Mwenye masikio na asikie.
CC. OLESAIDIMU

Chekelea tu ila mchumia janga hula na wa kwao!!!!
As topic inasema entertainment kwa mume sasa kama sijamuewekea mtoto chandarua au kmfanyisha homework ndo inacompromise hiyo package msije sema hamkuonywa!!!

Maaana naona mnachukulia mume naye huenda kazini tu na kurudi kama mke afanyavyo kwa sie waenda mbio na double duties wala hatuna haja ya kuku impress!!!

Kama unadhani mshahara ndo unahudumia family this much then pima kina ya maji kwa miguu yote!!!
 
Last edited by a moderator:
We kichwa panzi, aliyekuwambia furaha ya ndoa kwa mwanamke ni kutumwatumwa nani?
Mbaya ni aghalabu sana cku hizi kusikia wanawake wakisifia ndoa zao, zaidi ya kutoa stress humu JF.
Mbaya zaidi wanandoa ndio wanaongoza kwa kusaliti ndoa zao sasaivi kuliko walio katika mahusiano ya kawaida!
Sasa hizo ndoa zenye maelewano na furaha cjui ziko Mars au wp?

Umejiunga na Jf juzi tarehe 8. Unadandia dandia post za watu na kuandika pumba ili ujaze server ya JF kesho uwe senior expert member. Najaribu kuangalia ulichopost naona hakina uhusiano na swala zima la entertainment kwa mume. Kama vp kaa kimya upite usitafute umaarufu kwa kutukana watu. Halafu unaonekana IQ NI ZERO! mi nimetoa mfano tu Wa kumtuma mtu... Sasa naona unaongea puuuuumba kibao! Royna ameelewa ndio maana akasema ni vizuri hata kwa kupigishana story za hapa na pale mtu asiwe bored.
 
Umejiunga na Jf juzi tarehe 8. Unadandia dandia post za watu na kuandika pumba ili ujaze server ya JF kesho uwe senior expert member. Najaribu kuangalia ulichopost naona hakina uhusiano na swala zima la entertainment kwa mume. Kama vp kaa kimya upite usitafute umaarufu kwa kutukana watu. Halafu unaonekana IQ NI ZERO! mi nimetoa mfano tu Wa kumtuma mtu... Sasa naona unaongea puuuuumba kibao! Royna ameelewa ndio maana akasema ni vizuri hata kwa kupigishana story za hapa na pale mtu asiwe bored.

Hahahahaaaaa nimekubamba! Kumbe wewe unatafuta kuwa Senior Expert, mi mwenzio natoa maoni ati! Cjui kumbe unahangaika kupata vyeo humu! Tena kwa majina yasiyojulikana, acha wivu wa kike lol! Hata kumpigisha story mkeo akiwa anakuhudumia nayo ni credit vilevile! Mbaya uwe umekaa kama mgeni asiejigusa unapoint hiki na kile, mbona kitanda hakijatandikwa, mbona mtoto analia, mbona hawajafanya hmwork, mbona choo hakijaoshwa , mbona milango haijafungwa, mbona mpk sasaivi hujaoga, mbona unaniacha kitandani peke yng....
Ndiyo sababu sisi ni wasaidizi wenu, actually u ar the main doer!
 
Chekelea tu ila mchumia janga hula na wa kwao!!!! As topic inasema entertainment kwa mume sasa kama sijamuewekea mtoto chandarua au kmfanyisha homework ndo inacompromise hiyo package msije sema hamkuonywa!!! Maaana naona mnachukulia mume naye huenda kazini tu na kurudi kama mke afanyavyo kwa sie waenda mbio na double duties wala hatuna haja ya kuku impress!!! Kama unadhani mshahara ndo unahudumia family this much then pima kina ya maji kwa miguu yote!!!
Nilijua tu utaguswa,umetiririkaje?
Hiyo entertainment iwe two way basi,kila siku mfanyiwe nyie tu kisa mna double duties? Nyie ndio hata hamjigusi? Mbaya zaidi wengine hata appreciation hamna anaona ni jukumu la mke hah!
 
Nilijua tu utaguswa,umetiririkaje?
Hiyo entertainment iwe two way basi,kila siku mfanyiwe nyie tu kisa mna double duties? Nyie ndio hata hamjigusi? Mbaya zaidi wengine hata appreciation hamna anaona ni jukumu la mke hah!

Kwan mwanaume huwa anapiga kelele sana!!!!! Ratio ndo itasema
 
Mbona siku hizi kelele tunashindana? Tena umkute mwenye gubu,wee acha kabisa!

Ha ha ha haaa hao ndo wanaoimbaga mwimbo wa Brandy - The boy is mine...wakiwa bafuni wanaoga!!!! Sam ova bichi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom