Chakaza
Platinum Member
- Mar 10, 2007
- 41,008
- 74,639
Haya matukio yaliyoanza kabla ya uchaguzi wa SM na baada ya uchaguzi yanadhibitisha kuwa sasa Chama kilichokuwa pendwa kimegeuka na kuwa Simba mla watu.
CCM haipiganii kuua na kutekana kuishe bali inaona ni drama huku ikijisifu kuwa ni "ushindi wa kishindo".
Kama tufanyavyo kwa Simba mlawatu tufanye hivyo kwa CCM, Ni rahisi tuu, ni kujitoa huko kabla haijatafuna nduguyo au rafiki na kujilaumu baadae.
Susia mikutano yao, shughuli zao zote na Chama kadi yao. Bila kusahau kujiunga na chama kingine. Na waacheni wabaki hao viongozi wao muone kama watakuwa na nguvu ya kuteka na kuua.
Wafanyayo dini zote hazikubaliani, labda zile sacoss za maokoto.
CCM haipiganii kuua na kutekana kuishe bali inaona ni drama huku ikijisifu kuwa ni "ushindi wa kishindo".
Kama tufanyavyo kwa Simba mlawatu tufanye hivyo kwa CCM, Ni rahisi tuu, ni kujitoa huko kabla haijatafuna nduguyo au rafiki na kujilaumu baadae.
Susia mikutano yao, shughuli zao zote na Chama kadi yao. Bila kusahau kujiunga na chama kingine. Na waacheni wabaki hao viongozi wao muone kama watakuwa na nguvu ya kuteka na kuua.
Wafanyayo dini zote hazikubaliani, labda zile sacoss za maokoto.
Tumuombee usalama Abdul Nondo kama tumuombeavyo uzima Soko na wengine.