Ndo nini sasa? Mbowe kawaambia acheni kuwaona wenye mawazo tofauti na yenu kama wasaliti!, wewe unadhani JPM alikuwa na akil ya matope kama yako?Pole sana ambaye hujui kuwa vyama huwa na ratiba za vikao.
Namwunga mkono aliyesema marehemu amewaacha wehu wengi. Mlikuwa wehu akiwa hai, na mmeendelea kuwa wehu waaminifu hata baada ya kifo chake.