Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo napenda kuwaambia kuwa unafiki huwa haudumu watu walitumia kila aina ya uchafu kumchafua Hayati Dkt. Magufuli juu ya mambo mengi likiwemo la akina Halima Mdee kuwepo Bungeni jambo ambalo Jana Chadema wameitangazia Dunia kuwa Ndugai alikuwa Sahihi kuwaacha wabunge Waendelee kulihudumia Bunge kwa sababu...
Spika wa bunge aliyepita siku zote alipokuwa akiulizwa kuhusu akina Halima Mdee alikuwa akijibu kuwa hajataarifiwa kwa mujibu wa katiba na kwamba hatambui kuwa tayari wamefukuzwa uanachama hivyo yeye kama Spika hawezi kuwafukuza bungeni.
Chadema na baadhi ya vijana wenye chuki Kwa Serikali ya Magufuli wakaifanya kuwa ajenda na kutaka kutumia kigezo hicho kulichafua bunge.
Baada ya muda umepita leo tunayaona yale ambayo spika aliyepita alikuwa anayewaambia CHADEMA kila siku ili aweze kuwaondoa kina Mdee bungeni ameweza kuyafanya na chama kama chama Rasmi kimewafukuza uanachama jambo ambalo nyuma lilikuwa halijafanyika hivyo ukiangalia
Wa kuombwa radhi ni Chadema! waliwafukuza mapema na Ndugai akapokea barua kutoka kwa Mnyika akawa kichwa ngumu! Hebu ona kauli za yule ndugai "hapa mko salama" Na huyu bi kidude aliyepo akiagiza kungojea rufani kama ngumbaru wa kisheria!Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo napenda kuwaambia kuwa unafiki huwa haudumu watu walitumia kila aina ya uchafu kumchafua Hayati Dkt. Magufuli juu ya mambo mengi likiwemo la akina Halima Mdee kuwepo Bungeni jambo ambalo Jana Chadema wameitangazia Dunia kuwa Ndugai alikuwa Sahihi kuwaacha wabunge Waendelee kulihudumia Bunge kwa sababu...
Spika wa bunge aliyepita siku zote alipokuwa akiulizwa kuhusu akina Halima Mdee alikuwa akijibu kuwa hajataarifiwa kwa mujibu wa katiba na kwamba hatambui kuwa tayari wamefukuzwa uanachama hivyo yeye kama Spika hawezi kuwafukuza bungeni.
Chadema na baadhi ya vijana wenye chuki Kwa Serikali ya Magufuli wakaifanya kuwa ajenda na kutaka kutumia kigezo hicho kulichafua bunge.
Baada ya muda umepita leo tunayaona yale ambayo spika aliyepita alikuwa anayewaambia CHADEMA kila siku ili aweze kuwaondoa kina Mdee bungeni ameweza kuyafanya na chama kama chama Rasmi kimewafukuza uanachama jambo ambalo nyuma lilikuwa halijafanyika hivyo ukiangalia kwa umakini utagundua yapo mengi tu mabaya waliamua kuyazusha kwa mzee Magufuli ili tu kumchafua na siku zinavyozidi kwenda huenda tukajua hata waliompiga Tundu Lissu risasi.
Ndugu, si una hakika kuwa unavyo vielelezo/ushahidi?Hata ben saa8 na risasi za tundu lissu ni mambo ya chadema yenyewe mbowe ana husika kikamilifu tulisema haya siku nyingi
Wa kuombwa radhi ni Chadema! waliwafukuza mapema na Ndugai akapokea barua kutoka kwa Mnyika akawa kichwa ngumu! Hebu ona kauli za yule ndugai "hapa mko salama" Na huyu bi kidude aliyepo akiagiza kungojea rufani kama ngumbaru wa kisheria!
Hallo kumbe lengo ni kumtetea shetani wa chattle> Wahi chattle kaburini ukajichimbie karibu yake akupee joto!
Kwanini familia zao hao watu wasifanye hivyo na tundu lissu siyupo hai wewe unadhani kwanini lissu anaogopa kurudi wakati jpm kesha kufa ukweli hata lissu ana ujua kuwa siyo jpm aliye kuwa nyuma ya hayo matukio hivyo waliokuwa nyuma bado wanaishiNdugu, si una hakika kuwa unavyo vielelezo/ushahidi?
Basi kilichobakia; peleka kunakohusika labda utasaidia polisi/tiss/takukuru kuacha kigugumizi na kuanza kufanya upelelezi, uchunguzi na hatimae kuchukua hatua za kisheria dhidi ya CHADEMA na wahusika. Nadhani akina Kingai watakupokea kwa shangwe sana.
Hayati sio sawa na mwendazake. Nenda kazikwe naeKama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo napenda kuwaambia kuwa unafiki huwa haudumu watu walitumia kila aina ya uchafu kumchafua Hayati Dkt. Magufuli juu ya mambo mengi likiwemo la akina Halima Mdee kuwepo Bungeni jambo ambalo Jana Chadema wameitangazia Dunia kuwa Ndugai alikuwa Sahihi kuwaacha wabunge Waendelee kulihudumia Bunge kwa sababu...
Spika wa bunge aliyepita siku zote alipokuwa akiulizwa kuhusu akina Halima Mdee alikuwa akijibu kuwa hajataarifiwa kwa mujibu wa katiba na kwamba hatambui kuwa tayari wamefukuzwa uanachama hivyo yeye kama Spika hawezi kuwafukuza bungeni.
Chadema na baadhi ya vijana wenye chuki Kwa Serikali ya Magufuli wakaifanya kuwa ajenda na kutaka kutumia kigezo hicho kulichafua bunge.
Baada ya muda umepita leo tunayaona yale ambayo spika aliyepita alikuwa anayewaambia CHADEMA kila siku ili aweze kuwaondoa kina Mdee bungeni ameweza kuyafanya na chama kama chama Rasmi kimewafukuza uanachama jambo ambalo nyuma lilikuwa halijafanyika hivyo ukiangalia kwa umakini utagundua yapo mengi tu mabaya waliamua kuyazusha kwa mzee Magufuli ili tu kumchafua na siku zinavyozidi kwenda huenda tukajua hata waliompiga Tundu Lissu risasi.
Wewe ndio huna Akili Kama rufaa ulikua hajasikilizwa VIP spika awafukuze? Na wakienda mahakamani wataendelea kuwa wabunge tu mpaka utaratibu huu wa kisheria ukamilike.Kaka huna akil*,mdee na wenzake Jana ilikuwa wanasikiliza rufaa Yao ya kupinga kufukuzwa uanachama, na Jana rufaa Yao imetupiliwa mbali na mkutano mkuu.
Hivi huwa mnafanyaga makusudi au ni kweli huwa hamchanganui hata vitu vidogo Kama hivi?
NDUGU, wewe ndio umonyesha kuwa unazo tetesi za uhakika kuhusu maswala haya NYETI. Kama umeanza kuona shaka yafaa ukakae na washirika/waliyokutuma ili muanze kutafuta plan B. Kama hili nalo huliwezi basi nenda kajipumzishe na kujitafakari ili upate nguvu ya kutubu na kumkataa shetani anaekuzungukia. AMEN.Kwanini familia zao hao watu wasifanye hivyo na tundu lissu siyupo hai wewe unadhani kwanini lissu anaogopa kurudi wakati jpm kesha kufa ukweli hata lissu ana ujua kuwa siyo jpm aliye kuwa nyuma ya hayo matukio hivyo waliokuwa nyuma bado wanaishi
Hopeless!Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo napenda kuwaambia kuwa unafiki huwa haudumu watu walitumia kila aina ya uchafu kumchafua Hayati Dkt. Magufuli juu ya mambo mengi likiwemo la akina Halima Mdee kuwepo Bungeni jambo ambalo Jana Chadema wameitangazia Dunia kuwa Ndugai alikuwa Sahihi kuwaacha wabunge Waendelee kulihudumia Bunge kwa sababu...
Spika wa bunge aliyepita siku zote alipokuwa akiulizwa kuhusu akina Halima Mdee alikuwa akijibu kuwa hajataarifiwa kwa mujibu wa katiba na kwamba hatambui kuwa tayari wamefukuzwa uanachama hivyo yeye kama Spika hawezi kuwafukuza bungeni.
Chadema na baadhi ya vijana wenye chuki Kwa Serikali ya Magufuli wakaifanya kuwa ajenda na kutaka kutumia kigezo hicho kulichafua bunge.
Baada ya muda umepita leo tunayaona yale ambayo spika aliyepita alikuwa anayewaambia CHADEMA kila siku ili aweze kuwaondoa kina Mdee bungeni ameweza kuyafanya na chama kama chama Rasmi kimewafukuza uanachama jambo ambalo nyuma lilikuwa halijafanyika hivyo ukiangalia kwa umakini utagundua yapo mengi tu mabaya waliamua kuyazusha kwa mzee Magufuli ili tu kumchafua na siku zinavyozidi kwenda huenda tukajua hata waliompiga Tundu Lissu risasi.
Hawa wafuasi wa dikteta marehemu Magufuli, wengi wao, akili na uelewa wao katika mambo mengi ni duni sana.Kaka huna akil*,mdee na wenzake Jana ilikuwa wanasikiliza rufaa Yao ya kupinga kufukuzwa uanachama, na Jana rufaa Yao imetupiliwa mbali na mkutano mkuu.
Hivi huwa mnafanyaga makusudi au ni kweli huwa hamchanganui hata vitu vidogo Kama hivi?
Tena kibogoyo wa akili, siyo meno.Nikwambie ukweli, unaandika kama kibogoyo.
Hakuna mwenye akili ambaye angemwunga mkono dikteta yule. Wote waungaji wake mkono, ni watu wajinga wajinga kama huyu, ndiyo maana wanashindwa hata kuandika.nimeishia pale alipoandika Docter
Hupo sahihi kabisa. Upo mbali sana na ukwelo. Kama kungekuwa na uwezekano huo, magereza yasingekuwa na watu.May be siko sahihi, ila nimeona mifano mingi kwenye kesi zenye hukumu ambazo upo uwezekano wa rufaa. Mtoa hukumu akishamaliza husema kuwa mlalamikiwa ana haki ya kukata rufaa, baadae mlalamikiwa akisema anakata rufaa na kufanya hivyo, ile hukumu inawekwa kiporo kusubiri rufaa.
Kipindi hicho mfano kama adhabu ilikuwa kifungo, na aina ya kesi ina dhamana, mtu huyo hatokwenda kifungoni bali ataendelea kukaa nje kwa dhamana hadi pale shauri la rufaa likiisha.
Maana ya hili ni kuwa, rufaa inaweza kusababisha ama adhabu kufutwa, kupunguzwa au pia kuongezwa zaidi ya iliyotoka awali.
Yule bwana alikuwa ni mfuasi mwaminifu wa shetani.Siyo kushughulikia hili swala. Angekuwepo Jiwe hata Chadema wasingeruhusiwa kufanya huo mkutano!
huo ndio ukweli mchungu. mtu timamu hawezi kuunga mkono ushenzi uleHakuna mwenye akili ambaye angemwunga mkono dikteta yule. Wote waungaji wake mkono, ni watu wajinga wajinga kama huyu, ndiyo maana wanashindwa hata kuandika.
Pole sana ambaye hujui kuwa vyama huwa na ratiba za vikao.Jibu swali! Kwanini kikao cha kuwafukuza baada ya rufaa haikusikilizwa miaka yote hiyo, inasikilizwa leo?
Kweli hata hiki chama chenu ni usanii mnaufanya!
Sukuma Gang on dutyKama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo napenda kuwaambia kuwa unafiki huwa haudumu watu walitumia kila aina ya uchafu kumchafua Hayati Dkt. Magufuli juu ya mambo mengi likiwemo la akina Halima Mdee kuwepo Bungeni jambo ambalo Jana Chadema wameitangazia Dunia kuwa Ndugai alikuwa Sahihi kuwaacha wabunge Waendelee kulihudumia Bunge kwa sababu...
Spika wa bunge aliyepita siku zote alipokuwa akiulizwa kuhusu akina Halima Mdee alikuwa akijibu kuwa hajataarifiwa kwa mujibu wa katiba na kwamba hatambui kuwa tayari wamefukuzwa uanachama hivyo yeye kama Spika hawezi kuwafukuza bungeni.
Chadema na baadhi ya vijana wenye chuki Kwa Serikali ya Magufuli wakaifanya kuwa ajenda na kutaka kutumia kigezo hicho kulichafua bunge.
Baada ya muda umepita leo tunayaona yale ambayo spika aliyepita alikuwa anayewaambia CHADEMA kila siku ili aweze kuwaondoa kina Mdee bungeni ameweza kuyafanya na chama kama chama Rasmi kimewafukuza uanachama jambo ambalo nyuma lilikuwa halijafanyika hivyo ukiangalia kwa umakini utagundua yapo mengi tu mabaya waliamua kuyazusha kwa mzee Magufuli ili tu kumchafua na siku zinavyozidi kwenda huenda tukajua hata waliompiga Tundu Lissu risasi.