Ni muda sahihi CHADEMA na waliokuwa wanamtukana Hayati Magufuli na Ndugai juu ya wabunge 19 wa CHADEMA kuomba radhi na kutubu

Mleta mada ni poyoyo na yaonekana umeanza kufuatilia sasa hivi au umefanya makusudi kuudanganya umma kupitia uzi wako huu. Walishafukuzwa kitambo tu, yaliyofanyika jana wengi wameshakuelezea kama hukufuatilia mkutano ule.
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo napenda kuwaambia kuwa unafiki huwa haudumu watu walitumia kila aina ya uchafu kumchafua Hayati Dkt. Magufuli juu ya mambo mengi likiwemo la akina Halima Mdee kuwepo Bungeni jambo ambalo Jana Chadema wameitangazia Dunia kuwa Ndugai alikuwa Sahihi kuwaacha wabunge Waendelee kulihudumia Bunge kwa sababu...

Spika wa bunge aliyepita siku zote alipokuwa akiulizwa kuhusu akina Halima Mdee alikuwa akijibu kuwa hajataarifiwa kwa mujibu wa katiba na kwamba hatambui kuwa tayari wamefukuzwa uanachama hivyo yeye kama Spika hawezi kuwafukuza bungeni.

Chadema na baadhi ya vijana wenye chuki Kwa Serikali ya Magufuli wakaifanya kuwa ajenda na kutaka kutumia kigezo hicho kulichafua bunge.

Baada ya muda umepita leo tunayaona yale ambayo spika aliyepita alikuwa anayewaambia CHADEMA kila siku ili aweze kuwaondoa kina Mdee bungeni ameweza kuyafanya na chama kama chama Rasmi kimewafukuza uanachama jambo ambalo nyuma lilikuwa halijafanyika hivyo ukiangalia

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo napenda kuwaambia kuwa unafiki huwa haudumu watu walitumia kila aina ya uchafu kumchafua Hayati Dkt. Magufuli juu ya mambo mengi likiwemo la akina Halima Mdee kuwepo Bungeni jambo ambalo Jana Chadema wameitangazia Dunia kuwa Ndugai alikuwa Sahihi kuwaacha wabunge Waendelee kulihudumia Bunge kwa sababu...

Spika wa bunge aliyepita siku zote alipokuwa akiulizwa kuhusu akina Halima Mdee alikuwa akijibu kuwa hajataarifiwa kwa mujibu wa katiba na kwamba hatambui kuwa tayari wamefukuzwa uanachama hivyo yeye kama Spika hawezi kuwafukuza bungeni.

Chadema na baadhi ya vijana wenye chuki Kwa Serikali ya Magufuli wakaifanya kuwa ajenda na kutaka kutumia kigezo hicho kulichafua bunge.

Baada ya muda umepita leo tunayaona yale ambayo spika aliyepita alikuwa anayewaambia CHADEMA kila siku ili aweze kuwaondoa kina Mdee bungeni ameweza kuyafanya na chama kama chama Rasmi kimewafukuza uanachama jambo ambalo nyuma lilikuwa halijafanyika hivyo ukiangalia kwa umakini utagundua yapo mengi tu mabaya waliamua kuyazusha kwa mzee Magufuli ili tu kumchafua na siku zinavyozidi kwenda huenda tukajua hata waliompiga Tundu Lissu risasi.
Wa kuombwa radhi ni Chadema! waliwafukuza mapema na Ndugai akapokea barua kutoka kwa Mnyika akawa kichwa ngumu! Hebu ona kauli za yule ndugai "hapa mko salama" Na huyu bi kidude aliyepo akiagiza kungojea rufani kama ngumbaru wa kisheria!
Hallo kumbe lengo ni kumtetea shetani wa chattle> Wahi chattle kaburini ukajichimbie karibu yake akupee joto!
 
JAMII FORUM:THE HOME OF GREAT THINKERS.

Samahi lakini, sijui kama kweli ni miongoni mwa GREAT THINKERS, lakini naheshimu mawazo yako.
 
Hata ben saa8 na risasi za tundu lissu ni mambo ya chadema yenyewe mbowe ana husika kikamilifu tulisema haya siku nyingi
Ndugu, si una hakika kuwa unavyo vielelezo/ushahidi?
Basi kilichobakia; peleka kunakohusika labda utasaidia polisi/tiss/takukuru kuacha kigugumizi na kuanza kufanya upelelezi, uchunguzi na hatimae kuchukua hatua za kisheria dhidi ya CHADEMA na wahusika. Nadhani akina Kingai watakupokea kwa shangwe sana.
 
Wa kuombwa radhi ni Chadema! waliwafukuza mapema na Ndugai akapokea barua kutoka kwa Mnyika akawa kichwa ngumu! Hebu ona kauli za yule ndugai "hapa mko salama" Na huyu bi kidude aliyepo akiagiza kungojea rufani kama ngumbaru wa kisheria!
Hallo kumbe lengo ni kumtetea shetani wa chattle> Wahi chattle kaburini ukajichimbie karibu yake akupee joto!
1652357412975.png
 
Ndugu, si una hakika kuwa unavyo vielelezo/ushahidi?
Basi kilichobakia; peleka kunakohusika labda utasaidia polisi/tiss/takukuru kuacha kigugumizi na kuanza kufanya upelelezi, uchunguzi na hatimae kuchukua hatua za kisheria dhidi ya CHADEMA na wahusika. Nadhani akina Kingai watakupokea kwa shangwe sana.
Kwanini familia zao hao watu wasifanye hivyo na tundu lissu siyupo hai wewe unadhani kwanini lissu anaogopa kurudi wakati jpm kesha kufa ukweli hata lissu ana ujua kuwa siyo jpm aliye kuwa nyuma ya hayo matukio hivyo waliokuwa nyuma bado wanaishi
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo napenda kuwaambia kuwa unafiki huwa haudumu watu walitumia kila aina ya uchafu kumchafua Hayati Dkt. Magufuli juu ya mambo mengi likiwemo la akina Halima Mdee kuwepo Bungeni jambo ambalo Jana Chadema wameitangazia Dunia kuwa Ndugai alikuwa Sahihi kuwaacha wabunge Waendelee kulihudumia Bunge kwa sababu...

Spika wa bunge aliyepita siku zote alipokuwa akiulizwa kuhusu akina Halima Mdee alikuwa akijibu kuwa hajataarifiwa kwa mujibu wa katiba na kwamba hatambui kuwa tayari wamefukuzwa uanachama hivyo yeye kama Spika hawezi kuwafukuza bungeni.

Chadema na baadhi ya vijana wenye chuki Kwa Serikali ya Magufuli wakaifanya kuwa ajenda na kutaka kutumia kigezo hicho kulichafua bunge.

Baada ya muda umepita leo tunayaona yale ambayo spika aliyepita alikuwa anayewaambia CHADEMA kila siku ili aweze kuwaondoa kina Mdee bungeni ameweza kuyafanya na chama kama chama Rasmi kimewafukuza uanachama jambo ambalo nyuma lilikuwa halijafanyika hivyo ukiangalia kwa umakini utagundua yapo mengi tu mabaya waliamua kuyazusha kwa mzee Magufuli ili tu kumchafua na siku zinavyozidi kwenda huenda tukajua hata waliompiga Tundu Lissu risasi.
Hayati sio sawa na mwendazake. Nenda kazikwe nae
 
Kaka huna akil*,mdee na wenzake Jana ilikuwa wanasikiliza rufaa Yao ya kupinga kufukuzwa uanachama, na Jana rufaa Yao imetupiliwa mbali na mkutano mkuu.

Hivi huwa mnafanyaga makusudi au ni kweli huwa hamchanganui hata vitu vidogo Kama hivi?
Wewe ndio huna Akili Kama rufaa ulikua hajasikilizwa VIP spika awafukuze? Na wakienda mahakamani wataendelea kuwa wabunge tu mpaka utaratibu huu wa kisheria ukamilike.
 
Kwanini familia zao hao watu wasifanye hivyo na tundu lissu siyupo hai wewe unadhani kwanini lissu anaogopa kurudi wakati jpm kesha kufa ukweli hata lissu ana ujua kuwa siyo jpm aliye kuwa nyuma ya hayo matukio hivyo waliokuwa nyuma bado wanaishi
NDUGU, wewe ndio umonyesha kuwa unazo tetesi za uhakika kuhusu maswala haya NYETI. Kama umeanza kuona shaka yafaa ukakae na washirika/waliyokutuma ili muanze kutafuta plan B. Kama hili nalo huliwezi basi nenda kajipumzishe na kujitafakari ili upate nguvu ya kutubu na kumkataa shetani anaekuzungukia. AMEN.
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo napenda kuwaambia kuwa unafiki huwa haudumu watu walitumia kila aina ya uchafu kumchafua Hayati Dkt. Magufuli juu ya mambo mengi likiwemo la akina Halima Mdee kuwepo Bungeni jambo ambalo Jana Chadema wameitangazia Dunia kuwa Ndugai alikuwa Sahihi kuwaacha wabunge Waendelee kulihudumia Bunge kwa sababu...

Spika wa bunge aliyepita siku zote alipokuwa akiulizwa kuhusu akina Halima Mdee alikuwa akijibu kuwa hajataarifiwa kwa mujibu wa katiba na kwamba hatambui kuwa tayari wamefukuzwa uanachama hivyo yeye kama Spika hawezi kuwafukuza bungeni.

Chadema na baadhi ya vijana wenye chuki Kwa Serikali ya Magufuli wakaifanya kuwa ajenda na kutaka kutumia kigezo hicho kulichafua bunge.

Baada ya muda umepita leo tunayaona yale ambayo spika aliyepita alikuwa anayewaambia CHADEMA kila siku ili aweze kuwaondoa kina Mdee bungeni ameweza kuyafanya na chama kama chama Rasmi kimewafukuza uanachama jambo ambalo nyuma lilikuwa halijafanyika hivyo ukiangalia kwa umakini utagundua yapo mengi tu mabaya waliamua kuyazusha kwa mzee Magufuli ili tu kumchafua na siku zinavyozidi kwenda huenda tukajua hata waliompiga Tundu Lissu risasi.
Hopeless!

Hivi huwa ukisoma unaelewa?

Baraza Kuu limebariki maamuzi ya Kamati Kuu. Kwa hiyo kimsingi Covid 19 wamefukuzwa uwanachama na Kamati Kuu, siyo Baraza Kuu. Wao Covid 19, baada ya kufukuzwa uwanachama na Kamati Kuu, waliamua kukata rufaa Baraza Kuu, ndiyo maana kwao kumepatikana nafasi ya pili ya kuhojiwa, vinginevyo pale Kamati Kuu ilipowafukuza, ndipo uwanachama wao ulipokoma. Kama rufaa yao wangeshinda, wangerudishiwa uwanachama. Hivyo muda wote wamekuwepo Bungeni kwa mapenzi ya dikteta Magufuli na vibaraka wake Mahera na Ndugai.
 
Kaka huna akil*,mdee na wenzake Jana ilikuwa wanasikiliza rufaa Yao ya kupinga kufukuzwa uanachama, na Jana rufaa Yao imetupiliwa mbali na mkutano mkuu.

Hivi huwa mnafanyaga makusudi au ni kweli huwa hamchanganui hata vitu vidogo Kama hivi?
Hawa wafuasi wa dikteta marehemu Magufuli, wengi wao, akili na uelewa wao katika mambo mengi ni duni sana.
 
May be siko sahihi, ila nimeona mifano mingi kwenye kesi zenye hukumu ambazo upo uwezekano wa rufaa. Mtoa hukumu akishamaliza husema kuwa mlalamikiwa ana haki ya kukata rufaa, baadae mlalamikiwa akisema anakata rufaa na kufanya hivyo, ile hukumu inawekwa kiporo kusubiri rufaa.

Kipindi hicho mfano kama adhabu ilikuwa kifungo, na aina ya kesi ina dhamana, mtu huyo hatokwenda kifungoni bali ataendelea kukaa nje kwa dhamana hadi pale shauri la rufaa likiisha.

Maana ya hili ni kuwa, rufaa inaweza kusababisha ama adhabu kufutwa, kupunguzwa au pia kuongezwa zaidi ya iliyotoka awali.
Hupo sahihi kabisa. Upo mbali sana na ukwelo. Kama kungekuwa na uwezekano huo, magereza yasingekuwa na watu.

Sugu alipohukumiwa kwenda jela miezo 4 na yule hakimu michongo kule Mbeya, na yeye Sugu kusema anakata rufaa, aliwekewa mdhamana na kwemda nyumbani au alipelekwa gerezani?
 
Jibu swali! Kwanini kikao cha kuwafukuza baada ya rufaa haikusikilizwa miaka yote hiyo, inasikilizwa leo?
Kweli hata hiki chama chenu ni usanii mnaufanya!
Pole sana ambaye hujui kuwa vyama huwa na ratiba za vikao.

Namwunga mkono aliyesema marehemu amewaacha wehu wengi. Mlikuwa wehu akiwa hai, na mmeendelea kuwa wehu waaminifu hata baada ya kifo chake.
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo napenda kuwaambia kuwa unafiki huwa haudumu watu walitumia kila aina ya uchafu kumchafua Hayati Dkt. Magufuli juu ya mambo mengi likiwemo la akina Halima Mdee kuwepo Bungeni jambo ambalo Jana Chadema wameitangazia Dunia kuwa Ndugai alikuwa Sahihi kuwaacha wabunge Waendelee kulihudumia Bunge kwa sababu...

Spika wa bunge aliyepita siku zote alipokuwa akiulizwa kuhusu akina Halima Mdee alikuwa akijibu kuwa hajataarifiwa kwa mujibu wa katiba na kwamba hatambui kuwa tayari wamefukuzwa uanachama hivyo yeye kama Spika hawezi kuwafukuza bungeni.

Chadema na baadhi ya vijana wenye chuki Kwa Serikali ya Magufuli wakaifanya kuwa ajenda na kutaka kutumia kigezo hicho kulichafua bunge.

Baada ya muda umepita leo tunayaona yale ambayo spika aliyepita alikuwa anayewaambia CHADEMA kila siku ili aweze kuwaondoa kina Mdee bungeni ameweza kuyafanya na chama kama chama Rasmi kimewafukuza uanachama jambo ambalo nyuma lilikuwa halijafanyika hivyo ukiangalia kwa umakini utagundua yapo mengi tu mabaya waliamua kuyazusha kwa mzee Magufuli ili tu kumchafua na siku zinavyozidi kwenda huenda tukajua hata waliompiga Tundu Lissu risasi.
Sukuma Gang on duty
 
Unaandika kwa mhemko. Hata Sabaya alikwenda gerezani akisuhiri dhamana, ns yuko gerezani sasa aliposhinda rufaa. Soma nilichoandika, ukitaka kuelewa utaelewa nilichoandika.
 
Back
Top Bottom