Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,951
- 183,446
Bando mgogoro mdogo wangu. Ukiona nimepotea sana, unanishtukiza na vigb viwili.ID yangu ni hii haitabadilika na avatar ni hiyo hiyo
Unapotea sana jukwaani dada
Cc min -me na Half american
Bando mgogoro mdogo wangu. Ukiona nimepotea sana, unanishtukiza na vigb viwili.ID yangu ni hii haitabadilika na avatar ni hiyo hiyo
Unapotea sana jukwaani dada
Kama una matumizi ya kawaida tu unanunua hata ya buku kwa airtel MB 490 wanakupa MB 500 bonusBando mgogoro mdogo wangu. Ukiona nimepotea sana, unanishtukiza na vigb viwili.
Cc min -me na Half american
Hayana muda kama upo na mwenzi wako hisia zimekuja mazingira ni Rafiki mnafanya tuu.Wakuu,
Kwa wanandoa tu,ni muda gani sahii wa kumwingilia mweza wako? Je mchana,asubuhi au usiku?
😳😳😳😳😳😳Kama una matumizi ya kawaida tu unanunua hata ya buku kwa airtel MB 490 wanakupa MB 500 bonus
Kama una matumizi makubwa unaunga la 3000/5000
Kama kazi zako za siku zinakutaka uwe online muda wote chukua router inayoendana na bajeti yako nzuri ni zile za unlimited
🤣🤣🤣🤣🤣Shindikanaa siku hizi nimeokoka
Nipo shindikanaa, wewe ndio umepotea.🤣🤣🤣🤣🤣
Ulipotelea wapi?
Unashangaaa nn😳😳😳😳😳😳
Na ukishtuliwa hakikisha unashtuka. Usipotee sana humu unajua we ni mtu wa maana sana japo ni dipresheni za bundle huwa zinakupitia.😂Bando mgogoro mdogo wangu. Ukiona nimepotea sana, unanishtukiza na vigb viwili.
Cc min -me na Half american
😂 naomba yasinitokee hayo mkuu maana n fedheha. Ikichelewa kdogo kuchomoza baada ya round kadhaa huwa kuna namna nafeel tofauti.itapigwa handeli mpaka isimame.... 😀
Kuoa bado sana labda kama utanichangia kadi 100 za harusi 😂Hebu uoe huko, usiwe muharibifu kama min -me
🤣🤣🤣🤣 umeamua uzidishe dipresheni zangu sio😭😭😭Na ukishtuliwa hakikisha unashtuka. Usipotee sana humu unajua we ni mtu wa maana sana japo ni dipresheni za bundle huwa zinakupitia.😂
Kwenye ukweli huwa sifichi kitu 😂🤣🤣🤣🤣 umeamua uzidishe dipresheni zangu sio😭😭😭
Mweeeeeh! Yaani kuoa unaoa wewe, ila mchango natoa mimi😭😭😭😭Kuoa bado sana labda kama utanichangia kadi 100 za harusi 😂
Miko plus vikoba yaani full dipresheni😭😭😭Kwenye ukweli huwa sifichi kitu 😂
Kwa tarehe hizi n uongo kuwa na dipresheni labda kama ulikopa😂