Ni muda gani sahihi wa kufanya mapenzi?

Ni muda gani sahihi wa kufanya mapenzi?

Nikimkamata anaekuficha huko PM ntalogin kwa ID ya moderator ntampiga ban ya lifetime
🤣🤣🤣🤣🤣
Aisee nimekumiss kweli. Kuna id inatumia avatar yako, nikajua umebadili jina. Nikamsalimia, nashangaa jibu silielewi!! Kumbe sio🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
🤣🤣🤣🤣🤣
Aisee nimekumiss kweli. Kuna id inatumia avatar yako, nikajua umebadili jina. Nikamsalimia, nashangaa jibu silielewi!! Kumbe sio🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
ID yangu ni hii haitabadilika na avatar ni hiyo hiyo

Unapotea sana jukwaani dada
 
usiku mda mzuri watoto wamelala, ila enzi za watoto bado, achaaa bana 😆,, kokote pale iwe bafuni, jikoni , sebuleni., peleka 🔥
 
Back
Top Bottom