cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,651
- 137,377
Ukishakua.
Ukishakua.
Madrassa ama?
Hana pesa huyo, na km anayo bas hajiongezi.Kuna mademu bado wana misimamo mzee. Nina jamaa yangu anamfukuzia sister wa kikatoliki mwaka wa pili sasa kila siku anaambiwa ntakujibu kesho.
UsicheleweNina swali, ninahitaji majibu ya haraka sana. Hivi ni baada ya muda gani ninaweza kumtongoza msichana mara baada ya kuzoeana kidogo(kufahamu jina lake, anapoishi, n.k)? Je, ni vizuri kutumia neno 'nakupenda'?
Ni muda gani?
Nawasilisha!
AsanteUkishakua.
Wee huwa unafanyaje?Ulimwengu huu bado kuna watu huwa mnatongoza?
Malizia ....mkubwa...!Ukishakua.
Ahsante kaka, JF is better!ukiamua mda wowote utapata unachoitaji,ni maamuzi yako tu..
Kwanza wewe ni mwanamke au mwanaume?Wee huwa unafanyaje?
Maisha ya siku hizi kwa vijana mnaochipuka raha sana.Unaingia mtandaoni halafu unauliza tu:Nina swali, ninahitaji majibu ya haraka sana. Hivi ni baada ya muda gani ninaweza kumtongoza msichana mara baada ya kuzoeana kidogo(kufahamu jina lake, anapoishi, n.k)? Je, ni vizuri kutumia neno 'nakupenda'?
Ni muda gani?
Nawasilisha!
Muda Inategemea mwanaume na mwanamke.Nina swali, ninahitaji majibu ya haraka sana. Hivi ni baada ya muda gani ninaweza kumtongoza msichana mara baada ya kuzoeana kidogo(kufahamu jina lake, anapoishi, n.k)? Je, ni vizuri kutumia neno 'nakupenda'?
Ni muda gani?
Nawasilisha!
Jibu la swali nlilo kuuliza linahusiana na jinsia yangu?Kwanza wewe ni mwanamke au mwanaume?
Hivi mwalimu wa somo la hesabu anaitwa nani kweli?Nina swali, ninahitaji majibu ya haraka sana. Hivi ni baada ya muda gani ninaweza kumtongoza msichana mara baada ya kuzoeana kidogo(kufahamu jina lake, anapoishi, n.k)? Je, ni vizuri kutumia neno 'nakupenda'?
Ni muda gani?
Nawasilisha!