Ni mtumishi gani wa umma anayetoa SIRI za Serikali kwa watu nje!

Moja ya sababu za mahangaisho kwa watumishi wa umma. Mtu anaenda ripoti kwa mange matatizo ya ofisin anategemea nn kwamba rais awe anaendeshwa na mange aiseeeee labda awamu nyingine ila sio kwa mwanaume toka chato
Okey unahtaj aseme wapi kama ambae anamwambia hafuatilii au hakupi nafas ya kukusikilza? Mangapi yamerekebishwa baada ya kumfikia yule dada wa marekan? Unafikr hawaon anachokifanya yule dada wanakitambua sana ndio maana hawaishiw matamko
 
Marekebisho yapi hayo yaliyofanyika,kuna mishahara imepanda?waalimu wameacha kunyanyaswa?kuna watumishi waliopandishwa madaraja? Maandamano je yamekubaliwa? Matamko wanayoyatoa ni kuonyesha hawajaribiwi,ni sawa na mzazi akisikia mwanae anashadidia ugomvi wa jiran anatoa kalipio kali kwa mwanae na kwa sauti kubwa hapo hajali jiran atasikia au la cha msingi mtoto keshafahamu mzazi hakubalian anachoshabikia
Okey unahtaj aseme wapi kama ambae anamwambia hafuatilii au hakupi nafas ya kukusikilza? Mangapi yamerekebishwa baada ya kumfikia yule dada wa marekan? Unafikr hawaon anachokifanya yule dada wanakitambua sana ndio maana hawaishiw matamko
 
Mange amekuwa akipata baadhi ya taarifa za ndani sana za Serikali na hata watu wengine wamekuwa wakijigamba kuwa kila linalofanyika ndani ya Serikali wao wanapata taarifa hizo A to Z.

Swali la kawaida tu ni nani hao wanaotoa hizo taarifa kwa watu ambao hawapo katika mfumo huo wa kupata taarifa hizo.

Lengo lao ni nini kwa hao watumishi kwa kutoa hizo siri kama kweli wanazipata toka kwa hao watumishi wa umma.

Kiutaratibu ndni ya Serikali kuna taarifa za kawaida ambazo mwananchi anatakiwa kuzipata lakini kuna taarifa ambazo ni nyeti lakini bado taarifa hizo hata mwananchi wa kawaida hazina shida sana lakini kuna taarifa ambazo ni SIRI tena kwa muhuri wa rangi nyekundu unazikuta mitaani ni nani huyo ambaye anathubutu kutoa taarifa kama hiyo kwa watu wasiohusika.

Serikali ifuate taratibu zake kuhakikisha watumishi kama hao wanapatikana na kufikishwa mbele ya sheria.
Mfano wa hzo taarifa zenye muhuri wa rangi nyekundu?
 
Mange amekuwa akipata baadhi ya taarifa za ndani sana za Serikali na hata watu wengine wamekuwa wakijigamba kuwa kila linalofanyika ndani ya Serikali wao wanapata taarifa hizo A to Z.

Swali la kawaida tu ni nani hao wanaotoa hizo taarifa kwa watu ambao hawapo katika mfumo huo wa kupata taarifa hizo.

Lengo lao ni nini kwa hao watumishi kwa kutoa hizo siri kama kweli wanazipata toka kwa hao watumishi wa umma.

Kiutaratibu ndni ya Serikali kuna taarifa za kawaida ambazo mwananchi anatakiwa kuzipata lakini kuna taarifa ambazo ni nyeti lakini bado taarifa hizo hata mwananchi wa kawaida hazina shida sana lakini kuna taarifa ambazo ni SIRI tena kwa muhuri wa rangi nyekundu unazikuta mitaani ni nani huyo ambaye anathubutu kutoa taarifa kama hiyo kwa watu wasiohusika.

Serikali ifuate taratibu zake kuhakikisha watumishi kama hao wanapatikana na kufikishwa mbele ya sheria.
Inawezekana ni Roho mtakatifu maana yy hufunua yaliyo ya sirini
 
Marekebisho yapi hayo yaliyofanyika,kuna mishahara imepanda?waalimu wameacha kunyanyaswa?kuna watumishi waliopandishwa madaraja? Maandamano je yamekubaliwa? Matamko wanayoyatoa ni kuonyesha hawajaribiwi,ni sawa na mzazi akisikia mwanae anashadidia ugomvi wa jiran anatoa kalipio kali kwa mwanae na kwa sauti kubwa hapo hajali jiran atasikia au la cha msingi mtoto keshafahamu mzazi hakubalian anachoshabikia
Kwahyo unahis hayafanyik hayo kwasababu wanamwambia Mange kuwa serius hata kidogo malalamiko ya walimu yameanza jana au juzi? Mwaka jana waliambiwa watapandishiwa madaraja ile november ila kuna kilichotokea? So watumish wa uma wasitoe malalmiko yao kwasababu wakiongea kwa mtu atakasirika? Usiwafanye watumish kama wako kwnye closed circle unapombana mtu akipata nafas ya kupumulia shida zake huwa anaongea
 
Unataka humu Jamii forum ndio tuwataje, vikao vyao wenyewe na wahenga walisema hakuna Siri ya watu WAWILI
 
Hapo sasa tatizo la wengi wamechanganya siasa hadi kujiharibia ajira.yaan wangefahamu hii slogan Nenda kazin fanya kazi una malalamiko toa kwa viongozi ndan ya ofisin si wana vyama vyao hawa,kutoa nje haisaidiii bali inazidisha usugu

Aaah watu wengine bana
Mbali ya hiyo, sifa mojawapo ya utumishi wa umma ni kutokutoa siri nje ya ofisi.
Mali ya ofisi ibaki kuwa ya ofisi, na kinachostahili kutoka nje kitoke katika muda muafaka na kitolewe na aliyepewa dhamana ya kufanya hivyo.
 
Mkuu unajielewa kweli?? Bila ya hao wachache unaowakebehi ungepata wapi kujua yasiyostahili yanayofanyika?
Kujua kunasaidia nini zaidi ya unafki tu,
Muelewe kwanza Huyo mpinzani aliwahi mpk kugombea cheo CCM miaka mi4 tu iliyopita.
Mwanamke Huyo ni lutu na atawaingiza chaka.
Anafanya yote hayo uchonganyishi si kwa kumsaidia MTZ yoyote .
Nimesha HIDE your ID.
 
Mange amekuwa akipata baadhi ya taarifa za ndani sana za Serikali na hata watu wengine wamekuwa wakijigamba kuwa kila linalofanyika ndani ya Serikali wao wanapata taarifa hizo A to Z.

Swali la kawaida tu ni nani hao wanaotoa hizo taarifa kwa watu ambao hawapo katika mfumo huo wa kupata taarifa hizo.

Lengo lao ni nini kwa hao watumishi kwa kutoa hizo siri kama kweli wanazipata toka kwa hao watumishi wa umma.

Kiutaratibu ndni ya Serikali kuna taarifa za kawaida ambazo mwananchi anatakiwa kuzipata lakini kuna taarifa ambazo ni nyeti lakini bado taarifa hizo hata mwananchi wa kawaida hazina shida sana lakini kuna taarifa ambazo ni SIRI tena kwa muhuri wa rangi nyekundu unazikuta mitaani ni nani huyo ambaye anathubutu kutoa taarifa kama hiyo kwa watu wasiohusika.

Serikali ifuate taratibu zake kuhakikisha watumishi kama hao wanapatikana na kufikishwa mbele ya sheria.



Dunia hii kuna SIRI kweli kwa akili yako?

Utakua mnafiki sana,tuseme hujui tabia zetu sisi wanadamu?Au wewe sii mwanadamu?
 
Kwahyo unahis hayafanyik hayo kwasababu wanamwambia Mange kuwa serius hata kidogo malalamiko ya walimu yameanza jana au juzi? Mwaka jana waliambiwa watapandishiwa madaraja ile november ila kuna kilichotokea? So watumish wa uma wasitoe malalmiko yao kwasababu wakiongea kwa mtu atakasirika? Usiwafanye watumish kama wako kwnye closed circle unapombana mtu akipata nafas ya kupumulia shida zake huwa anaongea
Achana na huyo mtu anajifanya mjuaji sana
 
Enzi za JK walikua huru,je kile walichokitaka kilitokea?na je malalamiko ya watumish wa umma yalianza awamu hii au zote?all in all dunia nzima watoa siri hawafai kubakishwa makazin,uhuru usivukwe mipaka

Haya wameedna lalamika hawajapandishwa madaraja je matusi ya mange yamesaidia ahadi kutimizwa? Nataman kukuelewa ila sikubaliana na hawa watoa siri hata siku moja

Ni sawa na mke kwenda kulalamika mitandaon mambo yao ya chumbani akizan atasifiwa au kurekebisha tatizo

Kabla ya kupata ajira serikalin unasain mkataba kukubaliana na yote utakayoyakuta kazini hutaki acha. Sekta binafsi kuna matatizo chungu nzima ila wamebanwa sana ukidakwa unatoa siri kazi huna na kesi juu.
Kwahyo unahis hayafanyik hayo kwasababu wanamwambia Mange kuwa serius hata kidogo malalamiko ya walimu yameanza jana au juzi? Mwaka jana waliambiwa watapandishiwa madaraja ile november ila kuna kilichotokea? So watumish wa uma wasitoe malalmiko yao kwasababu wakiongea kwa mtu atakasirika? Usiwafanye watumish kama wako kwnye closed circle unapombana mtu akipata nafas ya kupumulia shida zake huwa anaongea
 
Hapo sasa tatizo la wengi wamechanganya siasa hadi kujiharibia ajira.yaan wangefahamu hii slogan Nenda kazin fanya kazi una malalamiko toa kwa viongozi ndan ya ofisin si wana vyama vyao hawa,kutoa nje haisaidiii bali inazidisha usugu

Aaah watu wengine bana


Ukitaka siri kama kweli mi siri zisitoke nje ya hizo ofisini zenu ambazo infact ni zetu,tendeni mema..


Basi

Mnavyotenda mabaya lazima yatufikie!

Hayo mabaya mnayoona ni "siri" infact sio "siri".

Hivyo tendeni mema
 
Mange amekuwa akipata baadhi ya taarifa za ndani sana za Serikali na hata watu wengine wamekuwa wakijigamba kuwa kila linalofanyika ndani ya Serikali wao wanapata taarifa hizo A to Z.

Swali la kawaida tu ni nani hao wanaotoa hizo taarifa kwa watu ambao hawapo katika mfumo huo wa kupata taarifa hizo.

Lengo lao ni nini kwa hao watumishi kwa kutoa hizo siri kama kweli wanazipata toka kwa hao watumishi wa umma.

Kiutaratibu ndni ya Serikali kuna taarifa za kawaida ambazo mwananchi anatakiwa kuzipata lakini kuna taarifa ambazo ni nyeti lakini bado taarifa hizo hata mwananchi wa kawaida hazina shida sana lakini kuna taarifa ambazo ni SIRI tena kwa muhuri wa rangi nyekundu unazikuta mitaani ni nani huyo ambaye anathubutu kutoa taarifa kama hiyo kwa watu wasiohusika.

Serikali ifuate taratibu zake kuhakikisha watumishi kama hao wanapatikana na kufikishwa mbele ya sheria.

Ukiona taarifa za siri, za serikali zinatoka nje, basi ujue..

1. Watu wamechoka na namna serikali inavyoendesha mambo yake..

2. Watu wanatoa mapendekezo huko mkwenye vikao vya siri vinavyopelekea taarifa hizo kuzaliwa, mapendekezo hayo yanatupwa..

3. Watu wanashauri, lakini ushauri ukienda AGAINST anayeshauriwa, basi mtoa ushauri anakiona cha mtema kuni...

4. Yale yaliyokuwa yanapatikana kama posho kwa kuhudhuria vikao vinavyozalisha taafifa hizo, HAYAPO...

5. WATU WANAITWA KWENYE VIKAO HIVYO KUPEWA TAARIFA NA SI KUJADILI NA HATIMAYE KUFIKIA UAMUZI WA PAMOJA...

6. WATUNZA TAARIFA WANAONEKANA HAWANA MAANA YOYOTE, NA HATA KUWEPO KWAO SI LOLOTE....


NB: ALL OF THE ABOVE, ni matokeo ya ONE MAN SHOW...
 
Hapo sasa tatizo la wengi wamechanganya siasa hadi kujiharibia ajira.yaan wangefahamu hii slogan Nenda kazin fanya kazi una malalamiko toa kwa viongozi ndan ya ofisin si wana vyama vyao hawa,kutoa nje haisaidiii bali inazidisha usugu

Aaah watu wengine bana
Siasa bora = Utumishi bora.
Kama kushajengeka dhana ya ukosoaji akilini mwa mtu, sio rahisi kufutika..
 
Back
Top Bottom