tramadol
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 5,383
- 4,318
Mange amekuwa akipata baadhi ya taarifa za ndani sana za Serikali na hata watu wengine wamekuwa wakijigamba kuwa kila linalofanyika ndani ya Serikali wao wanapata taarifa hizo A to Z.
Swali la kawaida tu ni nani hao wanaotoa hizo taarifa kwa watu ambao hawapo katika mfumo huo wa kupata taarifa hizo.
Lengo lao ni nini kwa hao watumishi kwa kutoa hizo siri kama kweli wanazipata toka kwa hao watumishi wa umma.
Kiutaratibu ndni ya Serikali kuna taarifa za kawaida ambazo mwananchi anatakiwa kuzipata lakini kuna taarifa ambazo ni nyeti lakini bado taarifa hizo hata mwananchi wa kawaida hazina shida sana lakini kuna taarifa ambazo ni SIRI tena kwa muhuri wa rangi nyekundu unazikuta mitaani ni nani huyo ambaye anathubutu kutoa taarifa kama hiyo kwa watu wasiohusika.
Serikali ifuate taratibu zake kuhakikisha watumishi kama hao wanapatikana na kufikishwa mbele ya sheria.
Swali la kawaida tu ni nani hao wanaotoa hizo taarifa kwa watu ambao hawapo katika mfumo huo wa kupata taarifa hizo.
Lengo lao ni nini kwa hao watumishi kwa kutoa hizo siri kama kweli wanazipata toka kwa hao watumishi wa umma.
Kiutaratibu ndni ya Serikali kuna taarifa za kawaida ambazo mwananchi anatakiwa kuzipata lakini kuna taarifa ambazo ni nyeti lakini bado taarifa hizo hata mwananchi wa kawaida hazina shida sana lakini kuna taarifa ambazo ni SIRI tena kwa muhuri wa rangi nyekundu unazikuta mitaani ni nani huyo ambaye anathubutu kutoa taarifa kama hiyo kwa watu wasiohusika.
Serikali ifuate taratibu zake kuhakikisha watumishi kama hao wanapatikana na kufikishwa mbele ya sheria.