Ni mtizamo tu

Kuna mtu mwenye Microscope humu? Aniazime ili niisome hii thread vizuri, (miwani yangu imefeli)
 
Unakaa na mwanaume mwaka wa 3hajaenda kwenu, hata kujitambulisha, bado unaitwa mke jamani C balaa. Bado unamzalia wazazi wake hawashtuki, kama kunakutoa mahari,
Bac utakuta mtu anavumilia(mwanamke), then anatafutiwa mwanamke mwingine anazaa naye.
Bado mwanamke anavumilia.
Cjaelewa hao watu ni wapenzi, mme na mke, au mahawala, ni mtazamo wangu tu, jamani
Duuuh yamekukuta,pole sna
 
Afu utakuta mtu wa hvyo analinga et nmeolewa...na mkopo bank unaenda kuchukua mjenge au mnnue kiwanja, my dear dada he is nt your hubby hilo ni danga tu sema wew unadangia nyumban mwanamke anaejitambua awez Kujigemula et kisa ndoa and sababu anakaa na wew unampa kila kitu wala haend kwenu kutoa mahali mwsho wa cku unaachwa anaolewa mwngne.... You are a human being not a glass kua unaweza vunjika! Kaa kwenu...
 
Afu utakuta mtu wa hvyo analinga et nmeolewa...na mkopo bank unaenda kuchukua mjenge au mnnue kiwanja, my dear dada he is nt your hubby hilo ni danga tu sema wew unadangia nyumban mwanamke anaejitambua awez Kujigemula et kisa ndoa and sababu anakaa na wew unampa kila kitu wala haend kwenu kutoa mahali mwsho wa cku unaachwa anaolewa mwngne.... You are a human being not a glass kua unaweza vunjika! Kaa kwenu...
Hahaha my dear danga usikie!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom