mtanganyika wa kweli
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 2,420
- 1,718
ww ndo mchicha pori bila kuangalia usingejuaTamthilia za star tv
Sizipendi na mwanaume anae angaliaga namuona mchicha pori
ww ndo mchicha pori bila kuangalia usingejuaTamthilia za star tv
Sizipendi na mwanaume anae angaliaga namuona mchicha pori
Moja ya filamu zangu nzr za muda wote.My name is khan
Hii filamu haikuweza kunishawishi/sikuipenda,lakini baadhi ya Rafiki zangu wanaikubali mno.
Nasikia zinatisha balaa, pamoja na zile za Saw, mimi ni muoga sana wa hizi movie, lakini ngoja nitafute moja niiangalie kuanzaia saa 7 usiku nikiwa pekeyangu.The conjuring nzuri ukiangalia usiku
Tafuta conjuring 2 ila ukichukua zote ni bestNasikia zinatisha balaa, pamoja na zile za Saw, mimi ni muoga sana wa hizi movie, lakini ngoja nitafute moja niiangalie kuanzaia saa 7 usiku nikiwa pekeyangu.
Sijawahi kuipenda kabisaa hio movie.My name is khan
Hii filamu haikuweza kunishawishi/sikuipenda,lakini baadhi ya Rafiki zangu wanaikubali mno.
Otea
Aisee hii movie siipendi japokuwa huwa naona watu wanaikubali lakini kila nikicheki siielewi naiacha.Game of Throne...navyoisubiria ila jamaa na marafiki hawaikubali..